Eshacky JF-Expert Member Joined Apr 26, 2011 Posts 965 Reaction score 252 Oct 3, 2012 #21 Riwa said: Jamaa wanalipuka pamba hata wakienda hospitali?! Click to expand... hata mm nimewaza yan, huend hospital, mpk mvae sare! au wametokea kwny Send Off. pole mama platinum, ikishindikana India faster, sawa mama.
Riwa said: Jamaa wanalipuka pamba hata wakienda hospitali?! Click to expand... hata mm nimewaza yan, huend hospital, mpk mvae sare! au wametokea kwny Send Off. pole mama platinum, ikishindikana India faster, sawa mama.
Simba Mkali JF-Expert Member Joined Jan 31, 2012 Posts 620 Reaction score 239 Oct 3, 2012 #22 Umeyaona magezeti ya rangi, eti mimba, mtu anaumwa Maralia wanakimbilia kwenye mimba, kwani mimba ugonjwaaa?
Umeyaona magezeti ya rangi, eti mimba, mtu anaumwa Maralia wanakimbilia kwenye mimba, kwani mimba ugonjwaaa?
Mamndenyi JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 43,242 Reaction score 60,939 Oct 4, 2012 #23 Pole mwaya, utapona tu uendelee kula matunda ya mwanao, acha wenye wivu wajinyonge.
Kirode JF-Expert Member Joined Mar 25, 2011 Posts 3,566 Reaction score 84 Oct 4, 2012 #24 Mimba......... Au........ tedo said: Eti kutapika ni dalili za nn tena..? Click to expand...