Mkuu hapo mwisho nasikitika kusemaJamii haitArudi katika hali yake ya zamani ..Hapa ni kama vile tunajaribu kurudisha Ice Age na dinosaur ...Ndugu zangu tusiwe wanafiki kujidai kushangaa kuhusu haya mambo. Mambo ambayo hayaripotiwi ni mengi na ambayo hayaja wekwa hadharani pia ni mengi mno huku mitaani, kwa majirani, kwa ndugu zetu n.k.Shetani ameingia kwenye eneo la divine sex na kuleta ubunifu wa kishetani ambao lengo lake ni kutimiza tamaa za kimwili kwa staili ambayo mtu anataka. We are living in the era where eros has significantly been defiled. Magazeti, Mikanda na ngono, Tv n.k vime shift kwa kiasi kikubwa maana halali ya kufanya sex na kwenda ktk extreme tunazoziona sasa. Ndugu zanguni ili kubadili hali hii inahitaji tu divine intervention ili morality ktk jamii tunamwoishi irudi katika hali yake.
Inasikitisha hata kusimulia coz imezoeleka wanaume ndio wamekuwa wakiwafanyia watoto wakike vibaya sasa huyu mama amebainika alikua akimlazimisha mtoto wa miaka 9 amnyonye sehemu za siri au kama ilivyo zoeleka amshukie chumvini 'uvinza'' kwa takribani miez 5.hali hii iligundulika baada ya kasichana hako kukutwa na mwalimu wake kana michubuko na vipele mdomoni na kwenye ulimi pia kalikuwa hakana raha kabisa shuleni! Lol! Kweli mama wa kambo ni mama lakiniiiii!! ! ! Source TGNP.
Khaaaa mbona unamwaga point za ukweli hivyo leo?!?!Tatizo hapa sio mama wa baba wa kambo.Tatizo ni tabia ya mtu...huyo mama kama asingekua na huyo binti nyumbani kwake angeweza mchukua hata wa jirani au kama angekua na wake mwenyewe angeweza akamtumia hivyo vile vile.Binafsi nimeshuhudia watu wananyanyaswa sana na mama zao wa kambo ila najua na nnaamini wapo wengine wazuri na wanamalezi kuliko mama wa kambo.Kwahiyo huyu mama ahukumiwe kama mwanamke mshenzi na sio kama mama wa kambo.Mkuu hapo mwisho nasikitika kusemaJamii haitArudi katika hali yake ya zamani ..Hapa ni kama vile tunajaribu kurudisha Ice Age na dinosaur ...
Kama kuna nilomkwaza kwa post yangu naomba msamaha wa dhati. Ila ...... Mama wa kambo noma. Hakuna mama anayeweza kufanya kitendo hicho kwa mtoto wake wa kuzaa. Hiyo nakataa kabisa tusidanganyanye kwa sababu hatuonani. Acheni longolongo mnaomtetea huyo mama nawashangaa sana. Again - sory for my post
Ala unaomba msamaha hapo hapoUnarudia kosa " mama wa kambo noma "??Kwanini usiweke neno sio wote? ..Jifunze kuongea na watu kheshima hainunuliwi..Kama kuna nilomkwaza kwa post yangu naomba msamaha wa dhati. Ila ...... Mama wa kambo noma. Hakuna mama anayeweza kufanya kitendo hicho kwa mtoto wake wa kuzaa. Hiyo nakataa kabisa tusidanganyanye kwa sababu hatuonani. Acheni longolongo mnaomtetea huyo mama nawashangaa sana. Again - sory for my post
Mi sio kijana wewe! Angalia... kuwa na adabu.kijana mbona unakurupuka sana wewe, kuna mahali mtu amemtetea huyu mama?
Ala unaomba msamaha hapo hapoUnarudia kosa " mama wa kambo noma "??Kwanini usiweke neno sio wote? ..Jifunze kuingea na watu kheshima hainunuliwi..
Mbona lugha yako kama hata ukijana ndo unaufikia?!Jinsi unavyowakilisha mada yako inaweza kuonyesha kama unastahili heshima ya kiutu uzima au la....kwa hapa umechemka!!Mi sio kijana wewe! Angalia... kuwa na adabu.
Acha kuharisha maneno basi...Ok, isiwe ligi, ila ujumbe umefika. Kwa heri. MAMA WA KAMBO SIO MAMA (KITUO KIKUBWA)
iMi sio kijana wewe! Angalia... kuwa na adabu.
LD hutaweza kumlea wakati asubuhi unaenda kazini na kumuacha na hg,wanaofanyiwa vitendo hivyo na ma hg niwengi sana yupo mmoja aliambukizwa maradhi na hg,WANAWAKE MPO??Woman right!!!
Acha kuharisha maneno basi...
Inasikitisha hata kusimulia coz imezoeleka wanaume ndio wamekuwa wakiwafanyia watoto wakike vibaya sasa huyu mama amebainika alikua akimlazimisha mtoto wa miaka 9 amnyonye sehemu za siri au kama ilivyo zoeleka amshukie chumvini 'uvinza'' kwa takribani miez 5.hali hii iligundulika baada ya kasichana hako kukutwa na mwalimu wake kana michubuko na vipele mdomoni na kwenye ulimi pia kalikuwa hakana raha kabisa shuleni! Lol! Kweli mama wa kambo ni mama lakiniiiii!! ! ! Source TGNP.
Kufanya kwake huu ulimbukeni ni sababu ya kuwa ni mama wa Kambo au ni ushetani wake na ulimbukeni....., Sidhani kama kuna uhusiano kati ya hayo mawili; huyu mama angepata opportunity angefanya hayo kwa mtoto yoyote hata asingekuwa mama wa kamboInasikitisha hata kusimulia coz imezoeleka wanaume ndio wamekuwa wakiwafanyia watoto wakike vibaya sasa huyu mama amebainika alikua akimlazimisha mtoto wa miaka 9 amnyonye sehemu za siri au kama ilivyo zoeleka amshukie chumvini 'uvinza'' kwa takribani miez 5.hali hii iligundulika baada ya kasichana hako kukutwa na mwalimu wake kana michubuko na vipele mdomoni na kwenye ulimi pia kalikuwa hakana raha kabisa shuleni! Lol! Kweli mama wa kambo ni mama lakiniiiii!! ! ! Source TGNP.
[TD="class: btext, colspan: 2"] [TD="class: orange2, width: 99%, bgcolor: #FFFFFF"] |
Inasikitisha hata kusimulia coz imezoeleka wanaume ndio wamekuwa wakiwafanyia watoto wakike vibaya sasa huyu mama amebainika alikua akimlazimisha mtoto wa miaka 9 amnyonye sehemu za siri au kama ilivyo zoeleka amshukie chumvini 'uvinza'' kwa takribani miez 5.hali hii iligundulika baada ya kasichana hako kukutwa na mwalimu wake kana michubuko na vipele mdomoni na kwenye ulimi pia kalikuwa hakana raha kabisa shuleni! Lol! Kweli mama wa kambo ni mama lakiniiiii!! ! ! Source TGNP.