Mama wa Kihaya kahamia jirani na mimi. Ameokoka ila...

Huwa nawashauri wamama au wadada ambao wamefanya uhuni sana maeneo wanayoishi na watu kuwaona kuwa hawafai kudeti nao,kua wahamie sehemu ambazo wataonekana ni wageni,wakifika huko,kuna wadau watashoboka nao yawezekana wakawaoa kabisa.Hatakama ni waathirika na jamii inatowazunguka inafahamu kua ni waathirika wasihofu,wahame maeneo hayo,waende sehemu nyingine,wataonekana ni lulu,na wahusika watajiona wenye bahati kuwafuata.Nchi ni kubwa sana hii.Hongera mzee,una bahati sana,FAKAMIA.
 
Ni mweusi, mrefu, ana tacle lile og, macho legevu, analegeza sauti akiongea na mimi. Ni jirani mwema sana.
Huyo atakuwa mama Sarah, najua mienendo yake
 
Asubuhi hii kweli mzungu atashindwa kuitawala afrika. Our problem we love pleasure than pains
Mzungu ni kizazi/Race bora kabisa kuwahi kuumbwa maana huwa wanalisisha vizazi na vizazi na ndo kusudi la Mungu! Wanapata maumivu leo ili vizazi vyake vije vifaidi.

Sasa ukija kwetu waafrika hataki kuumia yeye ni kutumia wengine watajijua mbele ya safari
 
Huyo alikuwa huku masankuloni tunamoti kwa buku mbili, peku 3 na Yas mix buku
 
Mhuni hajifichi kiongozi. Ukikaa naye nusu saa utamjua vizuri tu hata kama atakaa kimya dakika zote 30.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…