Mama wa kizungu amenitafuta tena na leo anataka kampani yangu

Mtu na nusu

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2020
Posts
680
Reaction score
1,306
Habari zenu wana JF

Juzi tar 26 nilileta Uzi hapa jamvini wa kumtafuna jimama wa kizungu

Na leo tarehe 28 amenitafuta tena anataka leo saa 11 jion niende kwake nikampe kampani kisa anafeel loneliness.

Naona kama bahati imeniangukia make juzijuzi tuu nimelizwa na binti wa kimeru

Now nipo najiandaa niende, baadae nitakuja hapa jamvini niwape mrejesho.
 
Beba na begi la safari kabisa, anga lishafunguliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…