Jesuitdon
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 3,153
- 2,673
Aisee sikuitafuta ila kutokana na maelezo yako nimekumbuka sindoile baba Ni Dr anawafanyia michezo ukiwapiga pic wanajitambua Noma sana Get out.Ndio mkuu.
Kuna black mmoja alipata zari la mentali la mtoto mzuri wa kizungu.
Dem anakaa kando ya mji jamaa anakaa mje mwingine,huyu demu wazazi wake ni matajiri sana na jumba lao la kifahari.
Wakapanga safari waende japokuwa jamaa alimuwa anasitasita ila wakaenda.
Walipofika kumbe ile nyumba yule demu anafanya kazi ya kujitongozesha kwa blacks then anawaleta pale wanauzwa hao wanaume kwa kazi mbalimbali wanafanywa na hao wazungu.
Jamaa kafika ukweni watu wanapiga mnada hii mali mpya ambae ni mshikaji,mshikaji hajui.
Ila akashtuka kuna mtu alikuwa anamjua alafu yule mtu yupo na bibi wa kizungu kama zezeta,na huyu jamaa ambaye nni kama zezeta alipotea juko uraiani kwa mazingira ya utata.
Jamaa akaanza kuusoma mchezo alipokuja kugundua kuwa annapigwa mnada kazi ikaanzia hapo sasa.
Jamaa anataka ajinasue kwenye jengo kubwa la wakatili,na hawa wakatili wameshtukia sasa wanafight asitoke hatari sana.
Ma don wananunua watu kwa jamaa namcompare na yule mbibi ila Ana kijana Hadi watu wanashangaa