ukwaju_wa_ kitambo
Senior Member
- Sep 15, 2024
- 150
- 173
TANZIA: MH: TEMBA AFIWA NA MAMA YAKE MZAZI.
Msanii mkongwe kwenye kiwanda cha Bongo Flava katika miondoko ya Rap na member wa kundi la muziki la TMK WANAUME FAMILY, Mh. Temba amefiwa na mama yake mzazi mchana wa leo Oktoba 25, taarifa ambayo imethibitishwa na Temba mwenyewe kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Rest in peace Mama🕊️, pole sana Legend Temba🤝
Ukwaju wa kitambo
Msanii mkongwe kwenye kiwanda cha Bongo Flava katika miondoko ya Rap na member wa kundi la muziki la TMK WANAUME FAMILY, Mh. Temba amefiwa na mama yake mzazi mchana wa leo Oktoba 25, taarifa ambayo imethibitishwa na Temba mwenyewe kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Rest in peace Mama🕊️, pole sana Legend Temba🤝
Ukwaju wa kitambo