Huyo mama alienda pia kwenye kigoma cha Wema alichokifanyia sijui ndo Escape 1 pale.
Tena akapanda hadi kwenye jukwaa.
Akawa anajitikisa tikisa kama wale wadada wengine walivyokywa wanafanya.
Hajielewi huyo mwanamke.
Lakini huyo maza hata mvuto hana.Usikute kuna vidume 'wameshawapanga' mtu na mama yake
watu hawana dini kwenye mambo yale kama utulivu zero
Una haraka gani?Tulia andika habari itakayoeleweka kwa kila mtu hata ambaye hajui mkasaLeo mama wema nimekushusha huku mtaani kwetu tunasema nimekushusha vyeo yaani heshima nimesikiliza mahojiano yako na Soudy Brown wa Clouds fm muda huu nimeshangaa unavyopayuka kuhusu ugomvi wa mwanao na Man Fongo hata haingii akilini kwa kuchukua maneno ya kuambiwa ndo kuwa source yako kubwa kuamini na kuongea maneno ambayo hata mwanao angeongea ningemdharau ila umekuja kuongea wewe naona bado ujauzoea umaarufu we ni mtu mzima unatakiwa ujiepushe na mambo hayo ya kitoto mana hata mwanao ni binadamu na anakosea sijapenda kabisa
Ni vigumu Mbuzi kuzaa kondoo.Huyo mama alienda pia kwenye kigoma cha Wema alichokifanyia sijui ndo Escape 1 pale.
Tena akapanda hadi kwenye jukwaa.
Akawa anajitikisa tikisa kama wale wadada wengine walivyokuwa wanafanya.
Hajielewi huyo mwanamke.