brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
hajielewi huyo alaf anaonekana ni mrahisi sana ukimuomba gemuHuyu mama leo kanichekesha pia eti anamwambia soud nikueleze wewe kama nanii etii mm naongea na baba ake sio man fongo jaman wasanii ni wengi tuu ila huwa mama zao hawaongeii ,huyu mama ilipaswa mambo mengine akipigiwa simu awe anakata tuu simu asijibu lolote lile ili heahima yake iwepo ila kuongea kwenye media utamchapa soudy wewe jaman hiv ni vitukoo
There U are!!!unamaanisha wali mla kidaka au ??[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Alikuwa zaidi ya WemaHaina shaka kabisa kuwa huyu mama ujana wake ulikuwa kama tunavyomuona Wema kwa sasa.
KWANI ANA HESHIMA GANI........?Leo mama wema nimekushusha huku mtaani kwetu tunasema nimekushusha vyeo yaani heshima nimesikiliza mahojiano yako na Soudy Brown wa Clouds fm muda huu nimeshangaa unavyopayuka kuhusu ugomvi wa mwanao na Man Fongo hata haingii akilini kwa kuchukua maneno ya kuambiwa ndo kuwa source yako kubwa kuamini na kuongea maneno ambayo hata mwanao angeongea ningemdharau ila umekuja kuongea wewe naona bado ujauzoea umaarufu we ni mtu mzima unatakiwa ujiepushe na mambo hayo ya kitoto mana hata mwanao ni binadamu na anakosea sijapenda kabisa
Hiyo WCB watamuachia babu talentMzee kashatangulia mbele za haki hvyo kabaki anaongozwa na watoto,sasa hv utasikia naye kapata mpenzi pale Wasafi clinic
Hapa ndo nataka kuamini kabila la Wanyaturu Singida ni nomaa sana...!!Usikute kuna vidume 'wameshawapanga' mtu na mama yake
watu hawana dini kwenye mambo yale kama utulivu zero
Hata iweje jee wewe unaweza kumwambia mama yako kuwa 'anapayuka??' kwa watu wa pwani huo ni ukosaji wa adabu uliopindukia. Hivi hakuna mbadala wa maneno ambayo ungeweza kuyatumia??? au kwa vile ni mama wa mwenzio???Leo mama wema nimekushusha huku mtaani kwetu tunasema nimekushusha vyeo yaani heshima nimesikiliza mahojiano yako na Soudy Brown wa Clouds fm muda huu nimeshangaa unavyopayuka kuhusu ugomvi wa mwanao na Man Fongo hata haingii akilini kwa kuchukua maneno ya kuambiwa ndo kuwa source yako kubwa kuamini na kuongea maneno ambayo hata mwanao angeongea ningemdharau ila umekuja kuongea wewe naona bado ujauzoea umaarufu we ni mtu mzima unatakiwa ujiepushe na mambo hayo ya kitoto mana hata mwanao ni binadamu na anakosea sijapenda kabisa
Ukisha piga bapa haina haja ya ndimu! Unamvutia hisia kwa Zari huku ukipiga mzingo!Kwa umri wake lazma ukamulie ndimu nyingi ili alike vizuri[emoji3] [emoji3]
Ukisha piga bapa haina haja ya ndimu! Unamvutia hisia kwa Zari huku ukipiga mzingo!Kwa umri wake lazma ukamulie ndimu nyingi ili alike vizuri[emoji3] [emoji3]
Nyelele - Nyerere
Kamwalibu - kamuaribu
Kumbe BansenBurner ndiye barafu!Kamuharibu = Kamharibu
Kiswahili noma!
Kivipi?Kumbe BansenBurner ndiye barafu!
Angalia comment ambayo huyo jamaa aliinukuu utaona uliandika kwa id yako hii halafu jamaa alipoquote ikasomeka ni barafu.Kivipi?
Hata sikuelewi unasema nn nimejaribu kucheki labda barafu anisaidie" alaf karbu jf naona ni siku yako ya 8 leo.Angalia comment ambayo huyo jamaa aliinukuu utaona uliandika kwa id yako hii halafu jamaa alipoquote ikasomeka ni barafu.
Huyu jamaa kaingia bila breki JF....Wewe uliandikaHata sikuelewi unasema nn nimejaribu kucheki labda barafu anisaidie" alaf karbu jf naona ni siku yako ya 8 leo.
unataka kuema nini hasa? huelewekiMliodhani vijana kama hawa ndio wanaoifanya clouds iwepo ongezeni na wazazi wao pia ...hivi unaweza kusikia conversation za kidaku hivi kwenye radio 1 mfano!?
Leo mama wema nimekushusha huku mtaani kwetu tunasema nimekushusha vyeo yaani heshima nimesikiliza mahojiano yako na Soudy Brown wa Clouds fm muda huu nimeshangaa unavyopayuka kuhusu ugomvi wa mwanao na Man Fongo hata haingii akilini kwa kuchukua maneno ya kuambiwa ndo kuwa source yako kubwa kuamini na kuongea maneno ambayo hata mwanao angeongea ningemdharau ila umekuja kuongea wewe naona bado ujauzoea umaarufu we ni mtu mzima unatakiwa ujiepushe na mambo hayo ya kitoto mana hata mwanao ni binadamu na anakosea sijapenda kabisa