Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Aisee naomba msaada wa dawa gani nimpe mama yangu maana anakohoa Sana Tena kwa muda mrefu huu ni mwaka wa tatu.
Ila sio korona maana hamuambukizi mtu na kazi anafanya Kama kawaida ila kwakweli amekohoa muda mrefu mpaka namuonea huruma.
Nimejaribu kuulizia Kuna wanaosema ana kikohozi Cha moyo. Sasa kikohozi Cha moyo ndio kikoje? Na kinasababushwa na Nini?
Umri. Wake ni 63yrs
Pia ana presha na kisukari.
Ila sio korona maana hamuambukizi mtu na kazi anafanya Kama kawaida ila kwakweli amekohoa muda mrefu mpaka namuonea huruma.
Nimejaribu kuulizia Kuna wanaosema ana kikohozi Cha moyo. Sasa kikohozi Cha moyo ndio kikoje? Na kinasababushwa na Nini?
Umri. Wake ni 63yrs
Pia ana presha na kisukari.