Mama zetu waliingia kwenye ndoa kama wasaidizi wa baba zetu ila dada zetu wanaingia kwenye ndoa na fantasies za Princess & Prince!

Mama zetu waliingia kwenye ndoa kama wasaidizi wa baba zetu ila dada zetu wanaingia kwenye ndoa na fantasies za Princess & Prince!

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Ni kwa kiasi gani mwanaume afanye ili mwanamke aoene hata inatosha amid dunia ilivyokuwa chungu, haijawahi kutosha kwa mwanamke, anaishi huku akiisemea nafsi yake kuwa kuna "kuna cha ziada zaidi, kuna cha ziada zaidi".

Atleast mama zetu walipata mawazo haya ila walijipiga kofi ili kujikumbushia nafasi yao ila hawa wa leo ni mwendo wa kuwa na fairy tales.

Wanaume nao wamekuwa weak, kuruhusu feminism ku-systemize mfumo mzima wa mahusiano.
 
Ni kwa kiasi gani mwanaume afanye ili mwanamke aoene hata inatosha amid dunia ilivyokuwa chungu, haijawahi kutosha kwa mwanamke, anaishi huku akiisemea nafsi yake kuwa kuna "kuna cha ziada zaidi, kuna cha ziada zaidi".

Atleast mama zetu walipata mawazo haya ila walijipiga kofi ili kujikumbushia nafasi yao ila hawa wa leo ni mwendo wa kuwa na fairy tales.

Wanaume nao wamekuwa weak, kuruhusu feminism ku-systemize mfumo mzima wa mahusiano.
Wanadhania taasisi ya ndoa ni sawa na movie za kikorea, wanasahau Yale ni mambo ya action na mtu akikosea anarudia script, nipo siti ya mbele kabisa nawashangaa hawa watu.
 
Wanadhania taasisi ya ndoa ni sawa na movie za kikorea, wanasahau Yale ni mambo ya action na mtu akikosea anarudia script, nipo siti ya mbele kabisa nawashangaa hawa watu.
😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom