Mama Zitto Kabwe amkampenia JK

Status
Not open for further replies.

Asante kaka nimekupata. hayo maneo ya bluu nakubaliana nayo kabisa ungeanza na hayo tangu awali , mbona tungekuwa pamoja mkuu, mie mwenzako nimesha-confirm wapinzani wote ni wasaliti tangu siku nyingi sana. 'kusaliti jamii iliyowaamini hapo awali'

Asante post yako imejaa ustaarabu na critical thinking this time. I always take insult smoothly and pass it to the ground like lightning conductor, especially when my message has been received , I normally don't care the response of receiver.

cheers
 
Naona Tanzania Daima peke yao ndio walikuwa katika huo mkutano wa mama Zitto!
Watanzania tuwe macho sana na kulishwa kasa! Fuatilieni habari za Tanzania Daima zinazomhusu Zitto toka alipogombea na Mbowe uenyekiti.
 
Naona watu mtanataka kumsukumia Mbowe lawama,it is unfair. Jadilini ya kwenu mumuache Mbowe wa watu.he has nothing to do with ma mistakes yenu.hebu jadilini hoja.Nilitaka nisichangie kabisa hii thread lakini kwakuwa mnataka kumgeuzia kibao Mbowe nimeamua kujibu.
 

umeamua kumjibia. Nzuri sana hiyo. Inakuweka pazuri. Hata kina Zitto walikuwa wanamjibia sana. Kashfa ya NSSF, wangwe nk. Hautakuwa wa kwanza.
 
umeamua kumjibia. Nzuri sana hiyo. Inakuweka pazuri. Hata kina Zitto walikuwa wanamjibia sana. Kashfa ya NSSF, wangwe nk. Hautakuwa wa kwanza.

Sio kumjibia ila naona it is unfair kumsema kwenye ishu zisizomhusu.Nawapenda viongozi wangu.Pale kwenye ukweli lazima nitasema ila kama kweli wanakuwa wamekosa hapo huwa sina la kusema.Hata wewe nakupenda pia na huwa nakutetea pale ninapoona unaonewa.
 
ah kumbe wewe chadema sikujua.
mimi unanitetea? huwa naonewa? Ninaamini una maanisha mtu mwingine au umechanganya madesa
 
ah kumbe wewe chadema sikujua.
mimi unanitetea? huwa naonewa? Ninaamini una maanisha mtu mwingine au umechanganya madesa

Ofczo mimi ni CHADEMA and watu wote wanaofuatilia posts zangu wanalifahamu hili.sio madesa it you my dia.I know you.We are close.
 
Ofczo mimi ni CHADEMA and watu wote wanaofuatilia posts zangu wanalifahamu hili.sio madesa it you my dia.I know you.We are close.
mimi sikujui na hivyo hatuwezi kuwa close. Labda wewe unanijua. Sina hata interest ya kukujua na ndio maana ya privacy hapa. Wanaotaka kujulikana na kuwajuwa wengine wanaweka majina yaa halisi nk.
 
Usisahau kua ni hizi hizi katiba na demokrasia ndio zilizotufikisha hapa tulipo. Nchi isiyo na matumaini.


Sawa mkuu.Lakini hatuwezi kuzuia haki na uhuru wa kutoa maoni eti kwavile katiba na demokrasia ndiyo zimetufikisha tulipo.
 
mimi sikujui na hivyo hatuwezi kuwa close. Labda wewe unanijua. Sina hata interest ya kukujua na ndio maana ya privacy hapa. Wanaotaka kujulikana na kuwajuwa wengine wanaweka majina yaa halisi nk.

Hata mimi sijakuambia ujifahamu wala sina mpango wa kujitambulisha kwako.Never na ndio maana hata mimi sikutumia jina langu halisi.
 
- Ndio maana nimesema sana weekend hii kwamba something is not right na vilio vyetu na huenda hatuwawakilishi wananchi wengi wa taifa hili,

- Kumtukana mwananchi kama huyu mama kwa mawazo yake ni waste of time, cha muhimu ingejadiliwa hoja yake ya kumshabikia Rais wa sasa, ili afundishwe upungufu wa hoja zake,

- Maaana wenye akili nyingi watashindwa kutenganisha kati yetu na huyu mama nani hasa ni Great Thinker, na ni ushauri wa bure tu!

Respect.

FMEs!
 

Mimi nilishasema hapa zamani sana kuwa Zitto alikuwa njiani kurudi sisiemu. Hii ilikuwa kama miaka miwili iliyopita. Anayofanya Zitto na mama yake sasa hivi sio mapya kwa watu wanaomjua Zitto vizuri kama mimi.
 

Bado hujapinga alichoandika zaidi tu ya kutoa mitusi na maneno ya kashfa. Watu wengine bana ....... yale yaleeee
 

Ona unavyotokota ... Mbowe kusema kuwa JK avunje baraza la mawaziri ni sawa na kusema kuwa Mbowe anatambua kikatiba kuwa JK ni raisi halali wa Tanzania kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi.

Hii inamaanisha kuwa Mbowe anataka raisi atumie nguvu aliyonayo kikatiba ili kufanya kazi zake na kuisaidia nchi na sio kusubiri mpaka miaka mitano mingine itakapofika na uchaguzi mwingine ufanyike.

Kwa logic hii, no wonder wewe unamsifia Zitto na kulama miguu yake kila siku hapa jamvini.

Habari iko humu humu JF, ebu jikumbushe hiyo thread. However nimependa ulivyouliza swali lako

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/47458-jk-vunja-baraza-la-mawaziri-mbowe.html

nadhani nimejaribu kujibu

cheers

Hii habari imeonyesha exactly kile Mbowe alitakiwa kusema.
 
Naona Tanzania Daima peke yao ndio walikuwa katika huo mkutano wa mama Zitto!
Watanzania tuwe macho sana na kulishwa kasa! Fuatilieni habari za Tanzania Daima zinazomhusu Zitto toka alipogombea na Mbowe uenyekiti.

Bigilankana akiona thread ya Zitto tu anatoka "mafichoni alikokuwa"
 
umeamua kumjibia. Nzuri sana hiyo. Inakuweka pazuri. Hata kina Zitto walikuwa wanamjibia sana. Kashfa ya NSSF, wangwe nk. Hautakuwa wa kwanza.

Bwa ha ha hah a,

kashfa za NSSF na Wangwe ni zipi hizo?
 

Asante kaka!
 

Duh, sina mengi sana maana nilielewa tofauti na wewe. Zitto ataniunga mkono kwa hili. Najua anachunguliaga.
 
Huyu mama kwani ana nguvu gani kisiasa? Naona haishi ktk vyombo vya habari wakati wabunge wengine mama zao wamesettle tu kulikoni?

Huyu mama ni kiongozi wa ngazi za juu huko Chadema. Anampigia debe muungwana kwasababu amedokezewa kuwa kama muungwana atafanikiwa kuwa Rais hapo mwakani kuna uwezekano wa mwanae kuukwaa uwaziri!! Mama ndio hivyo anajipendekeza ili ndoto ya mwanae kuwa waziri itimie!! Mambo ya Dowans hayo; king maker bado anafanya vitu vyake.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…