MAMA

fuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2016
Posts
214
Reaction score
407
baada ya kukengeuka sana kama kijana...ni kitu gani mama yako alikisema ama alikifanya na kikakurudisha katika mstari mnyoofu???

Share na mimi mkuu kama itakupendeza.

Dedication
OCTOPIZZO mama

Ikuliwaze kipindi unachangia

KARIBU
 
Nipishe nyumban kwangu " baada ya wiki 1 nilichukua kila kilicho changu, na mpaka Leo cjalud nyumbani kwake,ni mwaka sasa umepita kila siku anatuma watu nirud home na Mimi nmegoma Co'z nilihisi hanipendi' japo mambo huwa yakienda mlama huwa nampiga mizinga [HASHTAG]#mamadalo[/HASHTAG]
 
hakusema kitu ila nilipokea kipigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…