Ujumbe muruaaaaa kweli huu ni PM basi tuongee kirefu.
wengine tuna guu haswa na ni wachaga
Umemsahau dada yako? Huna kwenu wewe! Yaani tangu ulipoondoka hujarudi tena nyumbani. Huyu sio yule dada yako uliyemwacha darasa la 3 ulipoondoka?huyo maza mchaga nini?
...Hiyo inaitwa Turbo charge...ukiwa unamega lazima uwe na tochi pembeni vinginevyo unaweza kuingia porini...:smile::smile-big:Ewaaaaaaaaaaaa hapo mkuu umepatia wala hujakosea.
wa ....kichaga?!wew paka hujatulia ww
Wee paka nini?akufanyeje,... mfanyeje? usinitanie mwanaume
km vp pete yako utaikuta kwa bucha n I'm gone forever
Wee umenambia niwe bibi wa wajukuu zako afu huku unatafuta miguu??
usntanie kwan mi miguu sina?
kwa taarifa yako NINA MIGUU NA VISIGINO vyake!!!!!
ungemwambia afute afta kusoma mi mbona nikifanya ivo nawaambiaga wanaume wafute?ili usijue?niheshimu mistaki kabisa tabia hii.
...Hiyo inaitwa Turbo charge...ukiwa unamega lazima uwe na tochi pembeni vinginevyo unaweza kuingia porini...:smile::smile-big:
Umemsahau dada yako? Huna kwenu wewe! Yaani tangu ulipoondoka hujarudi tena nyumbani. Huyu sio yule dada yako uliyemwacha darasa la 3 ulipoondoka?
Utakua ume mix..mchaga na mhaya au msukumawengine tuna guu haswa na ni wachaga
Africa ndo tuna penda unene ila sio mzuri kabisaaa!ni kama ugonjwa mwingine tu