Mama'ake anapodandia bili ya mwanawe!

pole kaka!! Ndo ukubwa, utasamehewa dhambi. ila makovu lazima ubaki nayo.

Haika............Dhambi ipi ya kupenda ambacho kilikuwa free like a molecule?
 
Last edited by a moderator:

Haika..........mie siyo hit and run hata chembe kila kitu kilikusudiwa ni mtu baadaye kunibadilishia somo kinyume na makubaliano yetu ya awali...............ninajilaumu kwanini sikuyaandika...........
 
Last edited by a moderator:
Kigarama sijui hujanielewa. . . .
Nimemaanisha kuwa awe ananunua vitu vya mtoto badala ya kupeleka cash ili awe na uhakika sio pesa yake inayotumika kunywea bia, kulipa kodi, kumnunulia huyo mtoto mwingine nguo n.k

[MENTION]Lizzy, Kigarama[/MENTION] huo muda wa kuchezea sina............................kwa hiyo aridhike na laki saba kwa mwezi zinamtosha na mgogoro utakuwa hakuna...........
 

Kigarama umenielewa......................mzazi mwenzangu anachotaka ni minoti na suala la kumwingilia matumizi yake huo ugomvi wake utakuwa ni mkubwa sana na mie sitaki kusikiliza matusi yake.................
 
Last edited by a moderator:

Kigarama umenielewa......................mzazi mwenzangu anachotaka ni minoti na suala la kumwingilia matumizi yake huo ugomvi wake utakuwa ni mkubwa sana na mie sitaki kusikiliza matusi yake.................
 

JOJEETA....................mzazi mwenzangu anadai kuwa anataka kum'mwaga yule jamaa yake anirudie...lakini mimi sitaki kwa sababu naona hiyo ni vurugu........mtu akishaishia ni vyema aishie jumla.....................nikila matapishi yangu tena..........hata ardhi italaaniwa..........
 
Last edited by a moderator:
Hata kama linazama,
Hao wana chao chama,

kigarama kwanza heshima yako mkubwa,hakuna hujuma wala chama ila kila mtu na maisha aliyoishi na alivyolewawa kwa wewe wa zamani hii hali sio ya kawaida,kwa hilo nakubaliana na ww, lakini kwa Tanzania ya leo ambayo kila siku afadhali ya jana hiyo laki 7 haitoshi.SEMA KWELI JAPOKUWA INAUMA Uchungu,mateso, na malezi ya mwana ajuaye mama ye rutashubanyuma kuleta vijisenti vyake na kuondoka acheni ukatili jamani.HAKUNA KAMA MAMA


 
Hahaahahaha mwacheni jamani mbona yeye alibeba mimba bila msaada?

Well, hapo ndo tatizo lilipo sasa, hatujui lolote la upande wa pili zaidi ya tunayoambiwa hapa.

Lizzy yeye anachotaka ni minoti.......kubeba mimba haikuwa bakhati mbaya tulikuwa tumekamiana tuzae pamoja na majukumu tukagawana..........lakini alipopata huyu hawara yake........................ndipo akaona kapunjwa sasa anakuja kutaka ugali mkubwa nje ya makubaliano yetu............
 
Last edited by a moderator:

ummu kulthum................be fair yaani unasema laki saba kwa mwezi haitoshi sasa alipwe ngapi?.................nishauri wakati ukijua yeye anataka Tshs 2.1 Millions/= per month kwa kazi ipi wajamani? mtoto yeye mwenyewe alikuwa amenishinikiza sikujua kumbe sasa atakuwa ni blackmailer..............
 
Last edited by a moderator:

Makubaliano yenu ya awali yalikuwaje Ruta? Kuzaa na kuishi pamoja au kuzaa tu? Kama na kaboifrendi kake hakafanyi kazi basi anakukomoa hivyo naanza kukuonea huruma. Be a man and stand up for yourself.
 
Last edited by a moderator:

Congo ubishi uliopo ni nimlipe kiasi gani kwa mwezi? Sasa hivi anakula laki saba kwa mwezi haridhiki na ananisumbua sana yeye anadai alipwe tshs 2.1m/= kwa mwezi wewe unaona madai yake yana msingi? Kama yana msingi nipe mchanganuo wako wa atazitumiaje hela zote hizo kama siyo kunikomoa mie?
 
Last edited by a moderator:
Makubaliano yenu ya awali yalikuwaje Ruta? Kuzaa na kuishi pamoja au kuzaa tu? Kama na kaboifrendi kake hakafanyi kazi basi anakukomoa hivyo naanza kukuonea huruma. Be a man and stand up for yourself.

[MENTION]Lizzy [/MENTION] makubaliano yalikuwa tuzae na mie nitakuwa nampa laki saba kwa mwezi kwa malezi ya mtoto. mambo yamekuwa hayana shida lakini sasa ana mwaka anaishi na njemba fulani ndiyo imemtia ujinga..........na ndiyo amekuja na madai mapya ya tshs 2.1 m/= kwa mwezi kinyume na makubalino yetu na ninajilaumu kwa kumkubalia kuzaa naye.............moyo wangu ulisita sana sasa najua lati ningeliusikiliza hizi vurugu zisingenikuta..........
 

Congo kinachoniunganisha naye ni mtoto tu.....................jiulize kama mtoto angelikuwa hayupo hizo gharama zake ni nani angelibeba?...............haiwezekani mtoto sasa iwe kisingizio ya kuwa ni mke wangu..................ambaye hayo majukumu yangelikuwa yanabebeka bilza ya zengwe hata chembe..............
 
Last edited by a moderator:
[MENTION]
Congo[/MENTION] tunda hakunipa kwa vile nilimhonga ilikuwa ni mapenzi yake kwangu tu...................kama kuna vitu alifaidi hiyo ni bakhati yake tu. siyo nimemzalisha ila tumezaa wote..........na hata nikiacha kutenganisha malezi ya mama na mtoto je hiyo laki saba haimtoshi mama na mtoto?
 

mimi sikutaka kumkadiria ila nilimweleza ajipimie mwenyewe na yeye ndiye aliyenitamkia hiyo laki saba nami nikasema haya tufunge goli.............masuala ya matibabu kila kitu kimo humo ndani ya laki saba kwa mwezi na mtot wala haumwiumwi yuko fiti......hajawahi kudai matibabu na mie nina insurance na mtot yumo ila mama'ake hayumo.............kwa hiyo kama akiumwa anajua pa kumpeleka.................jamani anatakiwa aridhike na huo ugali unamtosha ndiyo khoja khapo.........
 
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiii inaumaje jamani???? pole sana!

cacico..............it hurts so much........when someone you once cared for now takes you for a ride....I really dfeel cheated and abused.....................deep down in my heart..........
 
Last edited by a moderator:
Rutashubanyuma, umeoa?
Kwanini ukubaliane na mtu kuzaa tu, na si kufunga ndoa?
Unajua hii ya single parenting inaathiri sana watoto. Mimi kuna maswali huwa naulizwa hadi nakosa majibu!

Na kwanini unaogopa publicity in case mkienda mahakamani? Itakuathiri kijamii, kibiashara au kindoa (in case u r married)?
 
Last edited by a moderator:
Kama analipiwa na shelter basi huyo mama ni mkorofi. Halafu yeye anacontribute kiasi gani? Still hii case haiwezi kumalizwa kwa mapatano ya kisheria not necessarily mahakamani?

lemonade.................anachotaka ni hela. Pango alipiwe kwa sababu zipi?.........yeye mchango ni nguvu kazi ya kumlea mtoto kazi hafanyi na wala hana mpango wa kutafuta kazi.............mie sasa ndiye mpagasi wake.................
 
Last edited by a moderator:

Kaunga umenitia kitanzini......nikijibu haya maswali niakuwa nimejimaliza........................kwa kifupi tu bila ya kumwaga mtama kwenye kuku wengi................maana hata yeye ni mwana JF...............kwa hiyo asije akajua udhaifu wangu a akautumia dhidi yangu ni kuwa...................I have a name to protect..........sleaze publicity will hurt my name........
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahah. . yani unataka kuleta uzungu uswahilini? Huyo dada ana haki kabisa ya kukuchezea kama mpira. Yani wewe umzalishe tu bila.kuwa na mpango nae alafu akuache hivi hivi.Get real bana. . . mngekua mlikua mnapendana alafu mambo yakaenda ndivyo sivyo ningekuonea huruma, kama mko kibiashara zaidi toka mwanzo na wewe kubali tu kutumwa kama wewe ulivyo/unavyo mtumia mwenzio kama kizalio tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…