Mamalishe Mtwara walia kupanda bei mafuta ya kula na unga wa ngano waomba Serikali iingilie kati!

Mamalishe Mtwara walia kupanda bei mafuta ya kula na unga wa ngano waomba Serikali iingilie kati!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mama lishe mkoani Mtwara wameiomba serikali kuingilia kati upandaji holela wa bei za mafuta ya kula na unga wa ngano.

Wajasiriamali hao wamedai upandaji bei wa bidhaa mbalimbali kiholela unawafanya wapate hasara kubwa katika shughuli zao na endapo serikali haitaingilia kati hali itakuwa mbaya zaidi.

Chanzo: ITV habari!

Maendeleo hayana vyama.
 
Hao mama lishe wanafanya biashara au wanatoa huduma?

Alietakiwa kulalamika ni walaji na sio wao.
 
Hawa inaonekana siyo wazalendo. Wanalalamokaje wakati ndiyo kwanza tumeingia uchumi wa kati? Wasubiri kidogo tuingie uchumi wa juu ya kati mambo yao yatakuwa mazuri kabisa. ...5 tena
 
Hawa inaonekana siyo wazalendo. Wanalalamokaje wakati ndiyo kwanza tumeingia uchumi wa kati? Wasubiri kidogo tuingie uchumi wa juu ya kati mambo yao yatakuwa mazuri kabisa. ...5 tena
Serikali ya CCM ni sikivu!
 
Mama lishe mkoani Mtwara wameiomba serikali kuingilia kati upandaji holela wa bei za mafuta ya kula na unga wa ngano.

Wajasiriamali hao wamedai upandaji bei wa bidhaa mbalimbali kiholela unawafanya wapate hasara kubwa katika shughuli zao na endapo serikali haitaingilia kati hali itakuwa mbaya zaidi.

Source ITV habari!

Maendeleo hayana vyama.

Mitano tena
 
Kuna Meli yenye shehena ya unga wa ngano ambayo itatia nanga bandarini hivi karibuni na kumaliza hilo tatizo la unga nao kupanda bei. Mama lishe wa Mtwara kueni wavumilivu
 
So What!??
Mkuu umenikumbusha mbali sana Kuna lecturer wangu alinifundisha journalism alikuwa Ana kwambia u aandika habari....inatakiwa ujibu Hilo swali so what? give w and h on you news, what, when, why, when and to whom. then how....that is news
 
Walie tuu
Kama ilivyokuwa kwa sukari ,saruji, nondo na mabati bei haitashuka ng'o
Nchi hii Ni sembe pekee ndio kuna nyakati bei inapungua lakini kwenye ripoti ya mfumuko wa bei utasikia umepungua kila mwezi
 
Hoja mbadala, badala ya kulalamikia ngano na mafuta, kwa nini isiwe fursa kwetu kuongeza uzalishaji?
 
Hao wamama wanataka kuleta uchochezi!

Igp awashughulikie mapema
 
Mama lishe mkoani Mtwara wameiomba serikali kuingilia kati upandaji holela wa bei za mafuta ya kula na unga wa ngano.

Wajasiriamali hao wamedai upandaji bei wa bidhaa mbalimbali kiholela unawafanya wapate hasara kubwa katika shughuli zao na endapo serikali haitaingilia kati hali itakuwa mbaya zaidi.

Chanzo: ITV habari!

Maendeleo hayana vyama.
Wafikishie ujumbe wa mitano tena

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Uzalishaji huo utauongezea wapi?

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Mkuu mbona nchi imejaa mapori, ngano inastawi kwa mda gani? Hatujawa serious tu, ndoo ya lita 20 ya mawese Kyela ni 25,000. Milima ya makete yote ngano inastawi vizuri, Kuna kitu hakijawekwa vizuri. Sisi tunatakiwa kuuza sio kununua ngano na mafuta toka nje.
 
Back
Top Bottom