Mamalishe Mtwara walia kupanda bei mafuta ya kula na unga wa ngano waomba Serikali iingilie kati!

Hao wanatuzushia sio tuko vizuri mafuta yako bei sawa na tunayamudu ! Mitano tena
 
Halafu utashangaa wanajitokeza hasharani kila mwezi na kujisifia ya kwamba mfumuko wa bei umeshuka kwa asilimia 0.000 ngapi sijui!!

Bla bla nyingiiii!!! Huku maisha yakiendelea kukaza kila uchao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…