MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wakuu,
Najua Taifa limejaa homa juu ya game ya kesho. Ni kweli ni game ngumu kwa Simba kuliko game zote imecheza hivi karibuni. Pamoja na kazi kubwa ya viongozi na makocha nimeona niandae mambo 10 muhimu kuelekea hicho kipute.
1) Simba lazima ashinde magoli yasiyopungua matatu bila kuruhusu goli
2) Larry Bwalya na Bernard Morrison kama wataamka vizuri ndio silaha kuu kesho
3) Simba lazima wawe quick kwenye transitions maana Pirates counter zao ukitoa Mamelody ni hatari! Hatari!
4) Mashabiki zimeni TV muende uwanjani. Nguvu yenu ina 30% kuwapa wachezaji moto. Msizomee mchezaji akiharibu. Lawama baada ya game
5) Gomez alipenda hadi wachezaji walio nje kusaidia kushauri wenzao kila fursa ikipatikana. Hii huleta hamasa na kujitoa, itumike kesho ikibidi Chama pia awepo kwa kazi maalum.
6) Simba tuna tatizo la kuruhusu mashambulizi kupenya kirahisi viungo na pressing kubwa kufanyika maeneo hatari. Hawa speed yao ni hatari, washambuliaji na viungo wafanye kazi kubwa
7) Orlando pirates watalazimisha wapate goli au magoli ugenini. Statistics zinawabeba, bila kuanzia viungo na washambuliaji ku press si rahisi kuwazuia wasipate goli
8) Nimesikia wachezaji wetu wameambiwa umakini mkubwa sababu ya VAR, wasisitizwe hadi dk ya mwisho.
9) Mashabiki wekeni hamasa bila kujali timu ipo nyuma hata kama ni goli 2. Msukumo wenu ndio unaweza kubadili hali yoyote mbaya.
10) CAF kutumia generator kwenye VAR wamezuia hujuma za kukata umeme makusudi......Hii game lazima tushinde, uzoefu na uwezo upo ndani na nje ya uwanja ..................Let go [emoji881]
Najua Taifa limejaa homa juu ya game ya kesho. Ni kweli ni game ngumu kwa Simba kuliko game zote imecheza hivi karibuni. Pamoja na kazi kubwa ya viongozi na makocha nimeona niandae mambo 10 muhimu kuelekea hicho kipute.
1) Simba lazima ashinde magoli yasiyopungua matatu bila kuruhusu goli
2) Larry Bwalya na Bernard Morrison kama wataamka vizuri ndio silaha kuu kesho
3) Simba lazima wawe quick kwenye transitions maana Pirates counter zao ukitoa Mamelody ni hatari! Hatari!
4) Mashabiki zimeni TV muende uwanjani. Nguvu yenu ina 30% kuwapa wachezaji moto. Msizomee mchezaji akiharibu. Lawama baada ya game
5) Gomez alipenda hadi wachezaji walio nje kusaidia kushauri wenzao kila fursa ikipatikana. Hii huleta hamasa na kujitoa, itumike kesho ikibidi Chama pia awepo kwa kazi maalum.
6) Simba tuna tatizo la kuruhusu mashambulizi kupenya kirahisi viungo na pressing kubwa kufanyika maeneo hatari. Hawa speed yao ni hatari, washambuliaji na viungo wafanye kazi kubwa
7) Orlando pirates watalazimisha wapate goli au magoli ugenini. Statistics zinawabeba, bila kuanzia viungo na washambuliaji ku press si rahisi kuwazuia wasipate goli
8) Nimesikia wachezaji wetu wameambiwa umakini mkubwa sababu ya VAR, wasisitizwe hadi dk ya mwisho.
9) Mashabiki wekeni hamasa bila kujali timu ipo nyuma hata kama ni goli 2. Msukumo wenu ndio unaweza kubadili hali yoyote mbaya.
10) CAF kutumia generator kwenye VAR wamezuia hujuma za kukata umeme makusudi......Hii game lazima tushinde, uzoefu na uwezo upo ndani na nje ya uwanja ..................Let go [emoji881]