Mambo 10 Niliyoyaona leo Dodoma Jiji Vs Simba S.C Club

Mambo 10 Niliyoyaona leo Dodoma Jiji Vs Simba S.C Club

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
1. Kocha Fahdu anatakiwa aaambiwe ugumu wa mechi za mikoani otherwise atadondosha sana pointi ugenini hasa kule Mbeya, Kagera, Singida na Kigoma.
2. Fahdu amezidiwa kabisa kimbinu leo na Dodoma Jiji kama sio uzoefu mambo yangekuwa magumu leo
3.Fahdu akubali kuwa mechi za ugenini ni za akina Chasambi, Awesu, Balua na wazawa wengine
4.Steven Mukwala leo amenidhihirishia kuwa dirisha dogo anarudi kwao bila chenga
5.Kama tutaendelea kucheza kwa mbinu zile zile tutaendelea kudanganyana kuwa tunatafuta muunganiko
6. Kumtoa Kibbu Dennis kumesaidia sana Dodoma kuishambulia Simba leo kwani Ateba alibakia peke ake
7. Ningekuwa mimi leo ningeanza na viungo Ngoma, Mavambo, Kibbu, Chasambi, Awesu badala ya Mukwala na Ahoua
8. Wana Simba tuwe wavumilivu hadi Mpanzu atakapoingia dirisha dogo kwani hawa viungo wa pembeni ukimuondoa Kibbu ni wazinguaji kinoma
9.Kama tusingemsajili Ateba na tungeendelea na Mukwala tungekuwa na Wakati mgumu sana msimu huu
10. Kwa kweli Kazi kubwa inatakiwa kufanyika katika kuijenga hii timu ili ifanane na ile Simba ya marehemu James Sianga.
 
Yanga alienda Kagera mbumbumbu wakasema imeshinda ushindi mwembamba ivyo ubora wao umeshuka, yanga wakaenda mbeya wakarudi na ngonjera zile zile za yanga wameshuka kiwango, sasa wao Leo wamesubili hisani ya refa kuwapa goli la penalty ili washinde mechi🤣🤣
Na bado huo ni mwanzo tu na mtaiheshimu yanga na kuipa Maya yake kwamba ni timu iliyoimarika ata ikicheza vibaya mikoani lazima ipate ushindi wake wa halali na sio kubebwa!
 
1. Kocha Fahdu anatakiwa aaambiwe ugumu wa mechi za mikoani otherwise atadondosha sana pointi ugenini hasa kule Mbeya, Kagera, Singida na Kigoma.
2. Fahdu amezidiwa kabisa kimbinu leo na Dodoma Jiji kama sio uzoefu mambo yangekuwa magumu leo
3.Fahdu akubali kuwa mechi za ugenini ni za akina Chasambi, Awesu, Balua na wazawa wengine
4.Steven Mukwala leo amenidhihirishia kuwa dirisha dogo anarudi kwao bila chenga
5.Kama tutaendelea kucheza kwa mbinu zile zile tutaendelea kudanganyana kuwa tunatafuta muunganiko
6. Kumtoa Kibbu Dennis kumesaidia sana Dodoma kuishambulia Simba leo kwani Ateba alibakia peke ake
7. Ningekuwa mimi leo ningeanza na viungo Ngoma, Mavambo, Kibbu, Chasambi, Awesu badala ya Mukwala na Ahoua
8. Wana Simba tuwe wavumilivu hadi Mpanzu atakapoingia dirisha dogo kwani hawa viungo wa pembeni ukimuondoa Kibbu ni wazinguaji kinoma
9.Kama tusingemsajili Ateba na tungeendelea na Mukwala tungekuwa na Wakati mgumu sana msimu huu
10. Kwa kweli Kazi kubwa inatakiwa kufanyika katika kuijenga hii timu ili ifanane na ile Simba ya marehemu James Sianga.
Nyakati zinabadilika broo. Kipindi cha James Siang’a (RIP) sio sasa. Binafsi kipindi cha kwanza ile simba tunayoitaka imeonekana sana. Free flowing futbal kubwa.

Naamini kadiri ya muda, timu inaendelea kuimarika mhm pia tusipoteze point. Huyu Mukwala bado nahifadhi maneno.
 
1. Kocha Fahdu anatakiwa aaambiwe ugumu wa mechi za mikoani otherwise atadondosha sana pointi ugenini hasa kule Mbeya, Kagera, Singida na Kigoma.
2. Fahdu amezidiwa kabisa kimbinu leo na Dodoma Jiji kama sio uzoefu mambo yangekuwa magumu leo
3.Fahdu akubali kuwa mechi za ugenini ni za akina Chasambi, Awesu, Balua na wazawa wengine
4.Steven Mukwala leo amenidhihirishia kuwa dirisha dogo anarudi kwao bila chenga
5.Kama tutaendelea kucheza kwa mbinu zile zile tutaendelea kudanganyana kuwa tunatafuta muunganiko
6. Kumtoa Kibbu Dennis kumesaidia sana Dodoma kuishambulia Simba leo kwani Ateba alibakia peke ake
7. Ningekuwa mimi leo ningeanza na viungo Ngoma, Mavambo, Kibbu, Chasambi, Awesu badala ya Mukwala na Ahoua
8. Wana Simba tuwe wavumilivu hadi Mpanzu atakapoingia dirisha dogo kwani hawa viungo wa pembeni ukimuondoa Kibbu ni wazinguaji kinoma
9.Kama tusingemsajili Ateba na tungeendelea na Mukwala tungekuwa na Wakati mgumu sana msimu huu
10. Kwa kweli Kazi kubwa inatakiwa kufanyika katika kuijenga hii timu ili ifanane na ile Simba ya marehemu James Sianga.
Yaani unataka kutuambia wewe unamzidi mbinu hadi kocha wa Simba!! Basi tukupe timu tuone kama tutatoboa!!
 
Strategically my team played well today.
Hakuna match vs Maxime iliwahi kuwa rahisi pamoja na yule Denis kitambi sijui...
Mi nadhani leo simba imecheza vizuri kuliko siku zote japo ushindi mwembamba ,pia Dodoma jiji wameonesha kwanini bado wapo ligi kuu.
 
1. Kocha Fahdu anatakiwa aaambiwe ugumu wa mechi za mikoani otherwise atadondosha sana pointi ugenini hasa kule Mbeya, Kagera, Singida na Kigoma.
2. Fahdu amezidiwa kabisa kimbinu leo na Dodoma Jiji kama sio uzoefu mambo yangekuwa magumu leo
3.Fahdu akubali kuwa mechi za ugenini ni za akina Chasambi, Awesu, Balua na wazawa wengine
4.Steven Mukwala leo amenidhihirishia kuwa dirisha dogo anarudi kwao bila chenga
5.Kama tutaendelea kucheza kwa mbinu zile zile tutaendelea kudanganyana kuwa tunatafuta muunganiko
6. Kumtoa Kibbu Dennis kumesaidia sana Dodoma kuishambulia Simba leo kwani Ateba alibakia peke ake
7. Ningekuwa mimi leo ningeanza na viungo Ngoma, Mavambo, Kibbu, Chasambi, Awesu badala ya Mukwala na Ahoua
8. Wana Simba tuwe wavumilivu hadi Mpanzu atakapoingia dirisha dogo kwani hawa viungo wa pembeni ukimuondoa Kibbu ni wazinguaji kinoma
9.Kama tusingemsajili Ateba na tungeendelea na Mukwala tungekuwa na Wakati mgumu sana msimu huu
10. Kwa kweli Kazi kubwa inatakiwa kufanyika katika kuijenga hii timu ili ifanane na ile Simba ya marehemu James Sianga.
Point ya kwanza inaonyesha unaandika bila kutafiti..hii mechi ya tatu au nne hapo jamhuri Simba anashindaga goli moja..hivyo sio issue ya Fadlu
 
1. Safari ya Unguja to Dodoma ilifanywa kimazoea, ingekuwa ya ndege moja kwa moja.

2. Mukwala alifanya kazi kubwa ya kumkaba Ateba kipindi cha kwanza, na kufanya tukimbie sana.

3. Sub ya Kibu lilikuwa boko, tena huku Ateba akiwa kaumia na akamaliza mechi akichechemea.
- Hii ilifanya timu isikabie juu kama kawaida.

Ova
 
Back
Top Bottom