Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
1. Simba imeshinda lakini bado Chemistry haijapatikana
2.Che Malone Fondoh ni ukuta wa Yericko kweli sio masihara
3.Kibu Dennis amebadilika sana, hakuna mchezaji wa kumweka benchi awe wa
kigeni au wa nje
4.Loius Micquisone amebaki jina tu
5.Yule Maroon Tchakei ni fundi hasa wa mpira
6.John Bocco anaikosesha sana Simba ushindi, Robertinho awe anamuingiza
kipindi cha 2 kama anampenda
7.Robertinho anapaswa kumuamini Shaaban Chilunda
8.Robertinho anapaswa kuamini kiungo Abdallah Hamis badala ya Kanoute
9.Simba isipobadilisha aina ya uchezaji, Al Ahly watatuadhibu tarehe 20 hapa hapa kwa Mkapa
10.Licha ya kufunga goli Mosses Phiri bado ni mzito na kiwango kimeshuka.
2.Che Malone Fondoh ni ukuta wa Yericko kweli sio masihara
3.Kibu Dennis amebadilika sana, hakuna mchezaji wa kumweka benchi awe wa
kigeni au wa nje
4.Loius Micquisone amebaki jina tu
5.Yule Maroon Tchakei ni fundi hasa wa mpira
6.John Bocco anaikosesha sana Simba ushindi, Robertinho awe anamuingiza
kipindi cha 2 kama anampenda
7.Robertinho anapaswa kumuamini Shaaban Chilunda
8.Robertinho anapaswa kuamini kiungo Abdallah Hamis badala ya Kanoute
9.Simba isipobadilisha aina ya uchezaji, Al Ahly watatuadhibu tarehe 20 hapa hapa kwa Mkapa
10.Licha ya kufunga goli Mosses Phiri bado ni mzito na kiwango kimeshuka.