Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
We jamaa una kisiraniMTAPIGA Kila kelele.
WAKUBWA TULIISHA WAAMBIA MJIANDAE KISAIKOLOJIA. TULIYOYASHAURI WAKATI NA KABLA YA USAJILI YALIPUUZWA.
Dirisha la Usajili CAF na TFF limefungwa RASMI niliyoshauri yafanyiwe kazi Simba HAYAJAFANYIKA, Wanasimba mjiandae kisaikolojia
Hellow Wana JF. Dirisha la Usajili la shirikisho la Soka Tanzania TFF na Lile la CAF limefungwa RASMI Jana 31AUGUST 2023. Yale yote niliyoyaomba na Kupendekeza yafanyike ndani ya wekundu WA Msimbazi hayajafanyiwa kazi kwa asilimia 90% Hii imeniuma mno kama shabiki mwanachama na Mfanyakazi wa...www.jamiiforums.com
Jamaa kila wakitaka kufurahi wanakuta ushindiwao kwa kiasi kikubwa unachangiwa na marefa[emoji3][emoji3]11) Refalii ndiyo man of the match natoa kongolee kwakwe.
Nafasi ya Miqson bora tungesajili namba sita ya maana pale katiMTAPIGA Kila kelele.
WAKUBWA TULIISHA WAAMBIA MJIANDAE KISAIKOLOJIA. TULIYOYASHAURI WAKATI NA KABLA YA USAJILI YALIPUUZWA.
Dirisha la Usajili CAF na TFF limefungwa RASMI niliyoshauri yafanyiwe kazi Simba HAYAJAFANYIKA, Wanasimba mjiandae kisaikolojia
Hellow Wana JF. Dirisha la Usajili la shirikisho la Soka Tanzania TFF na Lile la CAF limefungwa RASMI Jana 31AUGUST 2023. Yale yote niliyoyaomba na Kupendekeza yafanyike ndani ya wekundu WA Msimbazi hayajafanyiwa kazi kwa asilimia 90% Hii imeniuma mno kama shabiki mwanachama na Mfanyakazi wa...www.jamiiforums.com
11) Refalii ndiyo man of the match natoa kongolee kwakwe.
Badilisha heading ibaki simba tu...Naona walikuwa wanacheza wenyewe bila upinzani1. Simba imeshinda lakini bado Chemistry haijapatikana
2.Che Malone Fondoh ni ukuta wa Yericko kweli sio masihara
3.Kibu Dennis amebadilika sana, hakuna mchezaji wa kumweka benchi awe wa
kigeni au wa nje
4.Loius Micquisone amebaki jina tu
5.Yule Maroon Tchakei ni fundi hasa wa mpira
6.John Bocco anaikosesha sana Simba ushindi, Robertinho awe anamuingiza
kipindi cha 2 kama anampenda
7.Robertinho anapaswa kumuamini Shaaban Chilunda
8.Robertinho anapaswa kuamini kiungo Abdallah Hamis badala ya Kanoute
9.Simba isipobadilisha aina ya uchezaji, Al Ahly watatuadhibu tarehe 20 hapa hapa kwa Mkapa
10.Licha ya kufunga goli Mosses Phiri bado ni mzito na kiwango kimeshuka.
Kote tuko pamoja, ila hapo #8 hapana Abdallah Hamis hapana, mengine niko na wewe 100%1. Simba imeshinda lakini bado Chemistry haijapatikana
2.Che Malone Fondoh ni ukuta wa Yericko kweli sio masihara
3.Kibu Dennis amebadilika sana, hakuna mchezaji wa kumweka benchi awe wa
kigeni au wa nje
4.Loius Micquisone amebaki jina tu
5.Yule Maroon Tchakei ni fundi hasa wa mpira
6.John Bocco anaikosesha sana Simba ushindi, Robertinho awe anamuingiza
kipindi cha 2 kama anampenda
7.Robertinho anapaswa kumuamini Shaaban Chilunda
8.Robertinho anapaswa kuamini kiungo Abdallah Hamis badala ya Kanoute
9.Simba isipobadilisha aina ya uchezaji, Al Ahly watatuadhibu tarehe 20 hapa hapa kwa Mkapa
10.Licha ya kufunga goli Mosses Phiri bado ni mzito na kiwango kimeshuka.
Halafu tunataka mawazo ,mipango na mbinu zetu za kijiweni ,ndio zitumike na kocha mwenye LESENI A CAF PROUmeongea vema kama shabiki.
Vinginevyo kocha ndiye anayejua ni nani anayefaa kucheza wakati gani kulingana na aina ya mazoezi yaliyofanyika.
Uzuri ni kwamba kila shabiki anadhani anaweza kufundisha mpira, lakini ukweli hauko hivyo.
na pia bado hatuna furaha. Waliofungwa wana furaha1. Simba imeshinda lakini bado Chemistry haijapatikana
Acheni mihemko yakimpira hivi unajua uongiaji wa miquisson ulileta mikimbio na movement zenye madhara san langoni mwa wapinzan akilink na mosses phiri au nyie mnaangalia madhaifu tu mazuri hamuangalii pasi ya goli ilitok kwa miquesson kwasasa ni bora yake kuliko chama anaepoteza pas10+ kwenye mechi za mkoan sabb y poor controlNafasi ya Miqson bora tungesajili namba sita ya maana pale kati