Mambo 10 Niliyoyaona Simba ikiidadavua Namungo ya GSM

Mambo 10 Niliyoyaona Simba ikiidadavua Namungo ya GSM

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
1. Mchezo ulikuwa mzuri isipokuwa wachezaji wetu wana fatigue na huu mkakati tuliowekewa wa kucheza baada ya siku 2 nna uhakika tunaenda kudondosha point hasa kule mkoani vs Mashujaa lakn mungu atakuwa upande wetu

2. Kipa wetu Camara amekamilika sana nadhan kiongozi mmoja alipomuita 3 times hakuwa na nia mbaya isipokuwa alimtaka aongeze umakini tu maana Simba sio Kuku

3 Dah Shomary Kapombe ameubonda sana leo amenikumbusha enzi za marehemu Raphael Paul ama RP
3 Valentino Nouma anahitaji kucheza sana ili awe na ubora maana amecheza vzr lkn sio kwa kiwango cha kumtisha Tshabalala

4. Che Malone Fondoh anacheza vizuri sana lkn ana dharau fulani hivi ambazo Inonga alikuwa akizifanya na kutuudhi hadi kesho, akumbushwe

5 Chamou Karaboue bado mzito sana jambo ambalo ni hatari huko mbeleni tuendako

6 Fabrice Mwamba Ngoma ameamua kuwa serious baada ya kuona dharau, benchi na kutemwa dirisha dogo kunamnyemelea, piga sana pasi za upendo leo

7 Joshua Mutale kwa heri dirisha dogo

8. Augustine Okajepha kumbe kiungo wa chini huwa wanakuonea t, pambana hivyo hivyo tutamsahau muda c mrefu Fernandez

9. Mukwala amesumbua sana lakn Simba ni timu kubwa, tunahitaji mastriker aina ya Leonel Ateba, hajashawishi bado

10. Pole sana Awesu Awesu, mimi bila kukuona dimbani pale unyamani sina raha, kama kuna mtu anamroga ajue Zanzibar ndiko dini ilipoanzia, itapigwa Kurujuan mtatafutana wenyewe
 
FB_IMG_17298731617686246.jpg
FB_IMG_17298731812748991.jpg
FB_IMG_17298733252378041.jpg
FB_IMG_17298731790231521.jpg
 
Hapana, mutale kaanza kujiongeza, akiimarisha kiwango chake zaidi atatufaa, game ya pili hii naona mabadiliko.

Kuhusu ngoma ni suala la muda tu, nimekuwa nikibishana sana na watu juu ya ngoma, ngoma ni kiungo ambae simba hatuna dizaini yake, pasi za mita 10,15 anazipiga sana na iwe za kushambulia ama kumiliki mpira.
 
Game mbili za mwisho Vs Uto na Leo Vs Namungo ,Mutale kacheza vzr Sana. Ak8endelea hivi atakuwa Bora Sana na kelele zitabaki historia kama kwa Kibu
 
Yote yamezungumzwa, ila improvement ya Mutale ni Kubwa sana.

Yeyote ambaye amemfanya anacheza kama 8 au 10 ameokoa maisha yake msimbazi.

Sitashangaa kama ataendelea kubaki msimbazi.
Nakuunga mkono
 
1. Mchezo ulikuwa mzuri isipokuwa wachezaji wetu wana fatigue na huu mkakati tuliowekewa wa kucheza baada ya siku 2 nna uhakika tunaenda kudondosha point hasa kule mkoani vs Mashujaa lakn mungu atakuwa upande wetu
2. Kipa wetu Camara amekamilika sana nadhan kiongozi mmoja alipomuita 3 times hakuwa na nia mbaya isipokuwa alimtaka aongeze umakini tu maana Simba sio Kuku
3 Dah Shomary Kapombe ameubonda sana leo amenikumbusha enzi za marehemu Raphael Paul ama RP
3 Valentino Nouma anahitaji kucheza sana ili awe na ubora maana amecheza vzr lkn sio kwa kiwango cha kumtisha Tshabalala
4. Che Malone Fondoh anacheza vzr sana lkn ana dharau fulan hivi ambazo Inonga alikuwa akizifanya na kutuudhi hadi kesho, akumbushwe
5 Chamou Karaboue bado mzito sana jambo ambalo ni hatari huko mbeleni tuendako
6 Fabrice Mwamba Ngoma ameamua kuwa serious baada ya kuona dharau, benchi na kutemwa dirisha dogo kunamnyemelea, piga sana pasi za upendo leo
7 Joshua Mutale kwa heri dirisha dogo
8. Augustine Okajepha kumbe kiungo wa chini huwa wanakuonea t, pambana hivyo hivyo tutamsahau muda c mrefu Fernandez
9. Mukwala amesumbua sana lakn Simba ni timu kubwa, tunahitaji mastriker aina ya Leonel Ateba, hajashawishi bado
10. Pole sana Awesu Awesu, mm bila kukuona dimbani pale unyamani sina raha, kama kuna mtu anamroga ajue Zanzibar ndiko dini ilipoanzia, itapigwa Kurujuan mtatafutana wenye

1. Mchezo ulikuwa mzuri isipokuwa wachezaji wetu wana fatigue na huu mkakati tuliowekewa wa kucheza baada ya siku 2 nna uhakika tunaenda kudondosha point hasa kule mkoani vs Mashujaa lakn mungu atakuwa upande wetu
2. Kipa wetu Camara amekamilika sana nadhan kiongozi mmoja alipomuita 3 times hakuwa na nia mbaya isipokuwa alimtaka aongeze umakini tu maana Simba sio Kuku
3 Dah Shomary Kapombe ameubonda sana leo amenikumbusha enzi za marehemu Raphael Paul ama RP
3 Valentino Nouma anahitaji kucheza sana ili awe na ubora maana amecheza vzr lkn sio kwa kiwango cha kumtisha Tshabalala
4. Che Malone Fondoh anacheza vzr sana lkn ana dharau fulan hivi ambazo Inonga alikuwa akizifanya na kutuudhi hadi kesho, akumbushwe
5 Chamou Karaboue bado mzito sana jambo ambalo ni hatari huko mbeleni tuendako
6 Fabrice Mwamba Ngoma ameamua kuwa serious baada ya kuona dharau, benchi na kutemwa dirisha dogo kunamnyemelea, piga sana pasi za upendo leo
7 Joshua Mutale kwa heri dirisha dogo
8. Augustine Okajepha kumbe kiungo wa chini huwa wanakuonea t, pambana hivyo hivyo tutamsahau muda c mrefu Fernandez
9. Mukwala amesumbua sana lakn Simba ni timu kubwa, tunahitaji mastriker aina ya Leonel Ateba, hajashawishi bado
10. Pole sana Awesu Awesu, mm bila kukuona dimbani pale unyamani sina raha, kama kuna mtu anamroga ajue Zanzibar ndiko dini ilipoanzia, itapigwa Kurujuan mtatafutana wenyewe
Hakuna mchezaji wa hovyo kama shomari anaingia kwenye box mara 3 zote anapoteza
 
Angalau sasa GSM amepumzika kuoga matusi.
Sijaona ulipoweka makosa ya waamuzi. Offside 2 za Kagere hazikuwa sahihi na bado kimya kimetanda. Huu ushabiki wenu wa kitanzania wa Simba na Yanga ni wa ovyo Sana.
 
1. Mchezo ulikuwa mzuri isipokuwa wachezaji wetu wana fatigue na huu mkakati tuliowekewa wa kucheza baada ya siku 2 nna uhakika tunaenda kudondosha point hasa kule mkoani vs Mashujaa lakn mungu atakuwa upande wetu

2. Kipa wetu Camara amekamilika sana nadhan kiongozi mmoja alipomuita 3 times hakuwa na nia mbaya isipokuwa alimtaka aongeze umakini tu maana Simba sio Kuku

3 Dah Shomary Kapombe ameubonda sana leo amenikumbusha enzi za marehemu Raphael Paul ama RP
3 Valentino Nouma anahitaji kucheza sana ili awe na ubora maana amecheza vzr lkn sio kwa kiwango cha kumtisha Tshabalala

4. Che Malone Fondoh anacheza vizuri sana lkn ana dharau fulani hivi ambazo Inonga alikuwa akizifanya na kutuudhi hadi kesho, akumbushwe

5 Chamou Karaboue bado mzito sana jambo ambalo ni hatari huko mbeleni tuendako

6 Fabrice Mwamba Ngoma ameamua kuwa serious baada ya kuona dharau, benchi na kutemwa dirisha dogo kunamnyemelea, piga sana pasi za upendo leo

7 Joshua Mutale kwa heri dirisha dogo

8. Augustine Okajepha kumbe kiungo wa chini huwa wanakuonea t, pambana hivyo hivyo tutamsahau muda c mrefu Fernandez

9. Mukwala amesumbua sana lakn Simba ni timu kubwa, tunahitaji mastriker aina ya Leonel Ateba, hajashawishi bado

10. Pole sana Awesu Awesu, mimi bila kukuona dimbani pale unyamani sina raha, kama kuna mtu anamroga ajue Zanzibar ndiko dini ilipoanzia, itapigwa Kurujuan mtatafutana wenyewe
Mzee Magufuli......una masihara Sana.Awesu hajarogwa .Kiwango akipandishe tu mwenyewe.Simba timu kubwa afu ni TAASISI
 
Mzee Magufuli......una masihara Sana.Awesu hajarogwa .Kiwango akipandishe tu mwenyewe.Simba timu kubwa afu ni TAASISI
Jana Kocha alizungumzia tatizo la Awesu kwamba alipata homa na alikuwa haya recover kikamilifu.Wacheni imani za kishirikina
 
We jamaa au una chuki na Mutale? Jamaa kaubonda sana mechi za karibuni kapitie tena marudio. Karabwaa hata mimi bado sijamuelewa.
 
Muwe hivi siku zote inapendeza sana sio team ikifungwa mnakuwa kama banda la vifaranga vya kuku kelele Kila kona na kinachosemwa hakijulikani
 
1. Mchezo ulikuwa mzuri isipokuwa wachezaji wetu wana fatigue na huu mkakati tuliowekewa wa kucheza baada ya siku 2 nna uhakika tunaenda kudondosha point hasa kule mkoani vs Mashujaa lakn mungu atakuwa upande wetu

2. Kipa wetu Camara amekamilika sana nadhan kiongozi mmoja alipomuita 3 times hakuwa na nia mbaya isipokuwa alimtaka aongeze umakini tu maana Simba sio Kuku

3 Dah Shomary Kapombe ameubonda sana leo amenikumbusha enzi za marehemu Raphael Paul ama RP
3 Valentino Nouma anahitaji kucheza sana ili awe na ubora maana amecheza vzr lkn sio kwa kiwango cha kumtisha Tshabalala

4. Che Malone Fondoh anacheza vizuri sana lkn ana dharau fulani hivi ambazo Inonga alikuwa akizifanya na kutuudhi hadi kesho, akumbushwe

5 Chamou Karaboue bado mzito sana jambo ambalo ni hatari huko mbeleni tuendako

6 Fabrice Mwamba Ngoma ameamua kuwa serious baada ya kuona dharau, benchi na kutemwa dirisha dogo kunamnyemelea, piga sana pasi za upendo leo

7 Joshua Mutale kwa heri dirisha dogo

8. Augustine Okajepha kumbe kiungo wa chini huwa wanakuonea t, pambana hivyo hivyo tutamsahau muda c mrefu Fernandez

9. Mukwala amesumbua sana lakn Simba ni timu kubwa, tunahitaji mastriker aina ya Leonel Ateba, hajashawishi bado

10. Pole sana Awesu Awesu, mimi bila kukuona dimbani pale unyamani sina raha, kama kuna mtu anamroga ajue Zanzibar ndiko dini ilipoanzia, itapigwa Kurujuan mtatafutana wenyewe
Yanga Bingwa.
 
Back
Top Bottom