nazaidi ya 4 yrs sijawahi lala zaidi ya Massa 5 sasa kama ndio hivyo simajanga haya niki jumlisha work +zoezi asubuhi ndani ya 2hrs kila siku bila kupumzika .
lakini chakushangaza mwili ushazoea mbaya .
nikianza kulala 8hrs nitakuwa ----- like kuku wakienyeji