Mambo 10 yanayoharibu figo lako jiepushe nayo utakuwa upo salama.

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363





i. Kutokojoa mapema mkojo uki kushika

ii. Kuto kunywa maji ya kutosha

iii. Kula chumvi nyingi sana kwenye chakula.

iv. Kutokujitibu magonjwa ya kawaida kama vile mafua kwa haraka na vizuri

v. Kula nyama sana

vi. Kutokula chakula cha kutosha

vii. Kutumia Vidonge vya kukata maumivu kwa wingi

viii. Kutokula kwa wingi vyakula vya virutubisho

ix. Kunywa pombe kupita kiasi

x. Kutopumzika kiasi cha kutosha.

CHANZO.
MAMBO 10 YANAYOHARIBU FIGO LAKO JIEPUSHE NAYO UTAKUWA UPO SALAMA.
 

Mkojo upi kiongoz???
 
Coriander juice ndo nin mheshiniwa (kiswahili tafadhali)
Coriander juice ni Majani ya Gilgilani unatengeza juisi yake unayakata kata kisha unatia ndani ya mashine ya Blenda na unaweka kidogo maji kusaga inakuwa juisi unakunywa yanasaidia kusafisha Figo. Au Majani ya Parsley pia yanasafisha Figo lako ukitengeneza juisi na kunywa asubuhi kabla ya kula kitu kila siku. Kwa muda wa siku 7 au siku 14 au siku 21.

CLEAN YOUR KIDNEYS


CLEAN YOUR KIDNEYS

Years pass by and our kidneys are filtering the blood by removing salt, poison and any unwanted entering our body. With time, the salt accumulates and this needs to undergo cleaning treatments and how are we going to overcome this?

It is very easy, first take a bunch of parsley or Cilantro ( Coriander Leaves ) and wash it clean
Then cut it in small pieces and put it in a pot and pour clean water and boil it for ten minutes and let it cool down and then filter it and pour in a clean bottle and keep it inside refrigerator to cool.

Drink one glass daily and you will notice all salt and other accumulated poison coming out of your kidney by urination also you will be able to notice the difference which you never felt before.

Parsley (Cilantro) is known as best cleaning treatment for kidneys and it is natural!

Ukiwa na Shida au Swali lolote waweza kunitafuta kwa kubonyeza hapa.
Mawasiliano
 
Namba tano inaathari kivipi mkuu?


....kwa mimi ambaye chakula hakiwi chakula bila nyam basi naamini hata hizi figo zishayeyuka, maana mwaka wa 30 huu nakula nyama utafikiri natoka jamii ya simba
 
Hiyo no Tisa ingefafanuliwa zaidi
Mkuu Gide MK (ix. Kunywa pombe kupita kiasi) Kuathiri Figo na ini mwilini mwako?



  • MADHARA YA POMBE KIAFYA.

    Pombe za aina zote zina kemikali ambazo baadhi ya hizo kemikali huwa ni sumu mwilini,hivyo

    kuacha athari ya kiafya kwa mtumiaji.Pombe inaweza ikamdhuru mtumiaji kwa kumsababishia

    madhara yafuatayo:

    1.Vidonda vya tumbo.


    2.Kansa ya utumbo.


    3.Kusinyaa kwa Ini.


    4.Kansa ya Ini.


    5.Kansa ya umio(oesophagus)


    6.Vindonda kwenye mapafu.


    7.Utapiamlo hasa wale wanaokunywa huku lishe duni.


    8.Matatizo ya ganzi miguuni na mikononi(Peripheral Neuropathy).


    9.Kisukari.


    10.Figo kushindwa kufanya kazi.(Renal failure)


    11.Kansa ya figo


    12.Kukosa au upungufu wa hamu ya tendo la ndoa.(Loss of Libido)


    13.Upungufu wa nguvu za kiume.


    14.Kuongeza kasi kwa baadhi ya magonjwa hata kama unatumia dawa kama vile Kifua Kikuu,Kansa,Kisukari,Shinikizo la damu la kupanda.n.k


    15.Kukosa hamu ya kula.(Anorexia)


    16.Kutovyonzwa vyema kwa chakula(Malabosorption)


    17.Ugonjwa wa kongosho.(Pancreatis).


    18.Magonjwa ya moyo.


    19.Mwili kutetema(Tremors)


    20.Kichaa cha pombe(mtu hawezi kufanya kazi bila ya pombe,au anakuwa kama mgonjwa lakini akipewa pombe tu anakuwa mzima)


    HAYA NI BAADHI TU YA MADHARA YA POMBE KIFYA.ACHA KUNYWA POMBE UIMARISHE AFYA YAKO.




 

  • v. (Kula nyama sana) Kula nyama sana nyama ya Ng'ombe ina madhara ukila sana inaweza pia kuathiri figo lako ukila nyama ya ng'ombe kwa wingi kupita kiasi.





@MziziMkavu, hii haijalishi namna ya hii nyama inavyoandaliwa sio? Mishikaki, roast, supu, kichuri nk
 
Mkojo upi kiongoz???
Mkojo unapokushika ukiwa usingizini au ukiwa upo njia mkojo umekushika wewe hutaki kwenda kukojowa unaharibu figo lako nguvu zake Mkuu kingdon wewe ukihisi kukojowa nenda haraka kukojowa usiuzuie mkojo ukitaka kutoka.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…