Mambo 11 Niliyoyaona Simba ikiiangamiza Coastal Union

Mambo 11 Niliyoyaona Simba ikiiangamiza Coastal Union

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
1. Mchezo ulikuwa super ingawa mashabiki walikuwa na hofu sana walipoona mabadiliko ya kikosi, kikosi alichokuwa akikipanga mara kwa mara kocha Fahdu kiliwafanya wapinzani wajue namna ya kuwakabili ndani na nje ya uwanja.

2. Simba leo ilikuwa faster sana kutokana na kiungo Fernandez Mavambo kumiliki vizuri sehemu ya katikati akishirikiana na fundi wa mpira Yussuph Kagoma.Mavambo hata hivyo apunguze kujisahau, anaweza kukaa na mpira halafu ghafla akaporwa na adui, hilo alifanyie kazi tarehe 8.

3. Duchu amecheza vizuri sana na huenda ikawa safari ya mwisho kwa Kevin Kijiri ingawa to me naamini Kijiri bado mzuri sana, cjui kwann bado kuna hasira ya kujifunga ile mechi vs Yanga.Ila Duchu awe makini sana ukabaji wake ndani ya penati box vinginevyo kuna siku atakuja kusababisha penati ya kijinga kama leo, kama sio refa kukausha ilikuwa inawekwa kwenye kisanduku ile.

4.Valentine Nouma ni beki mzuri sana, ana nguvu, ana mashuti, ana krosi, mimi sioni hofu yoyote tarehe 8 akasimama kushoto kusukuma mashambulizi badala ya Tshabalaa ambaye anaelekea kufika mwisho.

Soma Pia: FT | Coastal Union 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Arusha | 01 March, 2025

5.Abdulrazack Hamza anasifiwa ni beki mzuri, ni kweli lakini ajirekebishe.Yuko slow sana na anachelewa kufanya maamuzi.Hamza hawezi kupiga pasi ndefu, yeye akipewa mpira anamwangalia Camara au Malone/Chamou au Kagoma au Kapombe au Tshabalala au Nouma, huwezi muona Hamza anapewa mpira anairusha kwa Mpanzu au Ateba kama alivyokuwa akifanya Serge Wawa.

Halafu apunguze kujiamini kwa sababu hana kasi kama leo angetuingiza chaka kwa uzembe wake.Mechi ya kwanza Hamza alimshika Dube kwa sababu ya spidi akala kadi ya njano, afanyie sana kazi suala la spidi na kurudisha mipira nyuma.

6.Aisee Joshua Mutale kwa kweli mpira hapa bongo umemkataa, kuna wakati nilikuwa namhisi vibaya Edwin Balua kuwa kamchezea nn ili nyota yake ife.Mutale nini kimemkuta.Kama kuna kamba amefungwa zifunguliwe kama alivyofunguliwa Mukwala.

7. Elie Mpanzu ni mashine haihitaji kelele nyingi kujua mwamba huyu anajua boli, siku Mpanzu acheze na Feitoto, kushoto Kibu, katikati Chama na Jonathan Sowah, mamake walai.

8.Jeans Charles Ahoua ni mchezaji mzuri lakini mechi kubwa kubwa kama hii na Yanga haiwezi.Hebu tuwe wa kweli ukimwangalia Ahoua anacheza vile utaweza kumfananisha kweli na Kibu anavyocheza au Mpanzu? Akianza na Yanga itakuwa faida kubwa kwao Yanga.

9.Mukwala alikuwa amepigwa pini, pini zimefunguliwa sasa hivi pini amepigwa Ateba, tunaomba pini hizo zifunguliwe kwa Ateba.Vinginevyo nipeni mimi nimpeleke kule kwa watu wangu, hamtaamini.

10.Wale Coastal wana wachezaji wawili wanastahili kuchezea Simba, kale ka winga Bakary Seleman aliyeingia kipindi cha pili na Semfuko Charles fundi sana wa mpira yule kijana, anaweza kusaidiana na Yussf Kagoma bila shaka yoyote.

11.Tarehe 8 Machi ni Simba na Yanga, tafadhalini viongozi wetu, kufungwa na Yanga mara ya 6 mfululizo halafu nyie mnaona sawa tu haikubaliki, haikubaliki, haikubaliki.Narudia, kufungwa na Yanga mara ya 6 mfululizo iwe mwisho tarehe 8 Machi, wakitufunga hatutakuwa na sababu tena ya kulalamikia GSM wala nini.
 
Hayo tu..?

'Shuka safi' La Ally Salum hujaliona na Hat trick ya Straika Lefu kuliko goli hujaona..?
 
Siyo mbaya umejitahidi kuchambua kwa maoni yako, ila nikurekebishe hapo yanga amemfunga simba mara nne mfululizo mpaka sasa, na akimfunga tena tarehe nane itakuwa ni kwa mara ya tano
 
Mwambieni Ahmed Ally aache kuongea wiki nzima hii hadi derby ipite. Hii mechi haihitaji majigambo. Wanasimba hasa viongozi na wachezaji inabidi kupiga kimya hii wiki nzima.

Derby iliyopita Ateba aliropoka wakamkamia. Juzi mechi na Azam ambayo ingeweza kuchezwa kifamilia, semaji anapandisha watu mzuka kwa kuwaita inzi.
 
1. Mchezo ulikuwa super ingawa mashabiki walikuwa na hofu sana walipoona mabadiliko ya kikosi, kikosi alichokuwa akikipanga mara kwa mara kocha Fahdu kiliwafanya wapinzani wajue namna ya kuwakabili ndani na nje ya uwanja.

2. Simba leo ilikuwa faster sana kutokana na kiungo Fernandez Mavambo kumiliki vizuri sehemu ya katikati akishirikiana na fundi wa mpira Yussuph Kagoma.Mavambo hata hivyo apunguze kujisahau, anaweza kukaa na mpira halafu ghafla akaporwa na adui, hilo alifanyie kazi tarehe 8.

3. Duchu amecheza vizuri sana na huenda ikawa safari ya mwisho kwa Kevin Kijiri ingawa to me naamini Kijiri bado mzuri sana, cjui kwann bado kuna hasira ya kujifunga ile mechi vs Yanga.Ila Duchu awe makini sana ukabaji wake ndani ya penati box vinginevyo kuna siku atakuja kusababisha penati ya kijinga kama leo, kama sio refa kukausha ilikuwa inawekwa kwenye kisanduku ile.

4.Valentine Nouma ni beki mzuri sana, ana nguvu, ana mashuti, ana krosi, mimi sioni hofu yoyote tarehe 8 akasimama kushoto kusukuma mashambulizi badala ya Tshabalaa ambaye anaelekea kufika mwisho.

Soma Pia: FT | Coastal Union 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Arusha | 01 March, 2025

5.Abdulrazack Hamza anasifiwa ni beki mzuri, ni kweli lakini ajirekebishe.Yuko slow sana na anachelewa kufanya maamuzi.Hamza hawezi kupiga pasi ndefu, yeye akipewa mpira anamwangalia Camara au Malone/Chamou au Kagoma au Kapombe au Tshabalala au Nouma, huwezi muona Hamza anapewa mpira anairusha kwa Mpanzu au Ateba kama alivyokuwa akifanya Serge Wawa.

Halafu apunguze kujiamini kwa sababu hana kasi kama leo angetuingiza chaka kwa uzembe wake.Mechi ya kwanza Hamza alimshika Dube kwa sababu ya spidi akala kadi ya njano, afanyie sana kazi suala la spidi na kurudisha mipira nyuma.

6.Aisee Joshua Mutale kwa kweli mpira hapa bongo umemkataa, kuna wakati nilikuwa namhisi vibaya Edwin Balua kuwa kamchezea nn ili nyota yake ife.Mutale nini kimemkuta.Kama kuna kamba amefungwa zifunguliwe kama alivyofunguliwa Mukwala.

7. Elie Mpanzu ni mashine haihitaji kelele nyingi kujua mwamba huyu anajua boli, siku Mpanzu acheze na Feitoto, kushoto Kibu, katikati Chama na Jonathan Sowah, mamake walai.

8.Jeans Charles Ahoua ni mchezaji mzuri lakini mechi kubwa kubwa kama hii na Yanga haiwezi.Hebu tuwe wa kweli ukimwangalia Ahoua anacheza vile utaweza kumfananisha kweli na Kibu anavyocheza au Mpanzu? Akianza na Yanga itakuwa faida kubwa kwao Yanga.

9.Mukwala alikuwa amepigwa pini, pini zimefunguliwa sasa hivi pini amepigwa Ateba, tunaomba pini hizo zifunguliwe kwa Ateba.Vinginevyo nipeni mimi nimpeleke kule kwa watu wangu, hamtaamini.

10.Wale Coastal wana wachezaji wawili wanastahili kuchezea Simba, kale ka winga Bakary Seleman aliyeingia kipindi cha pili na Semfuko Charles fundi sana wa mpira yule kijana, anaweza kusaidiana na Yussf Kagoma bila shaka yoyote.

11.Tarehe 8 Machi ni Simba na Yanga, tafadhalini viongozi wetu, kufungwa na Yanga mara ya 6 mfululizo halafu nyie mnaona sawa tu haikubaliki, haikubaliki, haikubaliki.Narudia, kufungwa na Yanga mara ya 6 mfululizo iwe mwisho tarehe 8 Machi, wakitufunga hatutakuwa na sababu tena ya kulalamikia GSM wala nini.
Chama na Sowah hawahitajiki Simba. Hao wachezaji wa Coastal uliowataja sijawazingatia ila tuache kufanya makosa ya kuangalia mchezaji kwa mechi moja tu. Kwa mengine yote nakubaliana na wewe 100%
 
Niliyoyaona Mechi imehujumiwa, refa kapewa mlungula, Coastal union wamedhulumiwa ushindi wao, Chamou alifanya faulo kwa kumzuia Maabad anaeenda kufunga huku akiwa beki wa mwisho , ukileta ushabiki maandazi angalia marudio ya video utaona na kisha soma sheria za soka kuhusu beki wa mwisho kucheza faulo ya kumzuia mshambuliaje asiende kufunga, Chamou alipaswa kupewa red card na sio yellow card , ilipaswa Chamou atoke nje, simba walipaswa kucheza kumi uwanjani wakiwa na goal moja na Coast wangerudisha na kuongeza, njaa za marefa zimezidi. Je ingekuwa kosa lile wamefanya Coast refa angetoa yellow au red card? Kolowizard acheni kuonea timu ndogo imezidi sasa hadi inatia kinyaa.

Nilichoona leo ni muendelezo wa mbeleko kwa kolowizard, shangwe za ushindi usio halali na uharibifu wa ligi tu japo sote tunajua Yanga bingwa na tarehe 8 Yanga 2 - 0 Kolo!
 
1. Mchezo ulikuwa super ingawa mashabiki walikuwa na hofu sana walipoona mabadiliko ya kikosi, kikosi alichokuwa akikipanga mara kwa mara kocha Fahdu kiliwafanya wapinzani wajue namna ya kuwakabili ndani na nje ya uwanja.

2. Simba leo ilikuwa faster sana kutokana na kiungo Fernandez Mavambo kumiliki vizuri sehemu ya katikati akishirikiana na fundi wa mpira Yussuph Kagoma.Mavambo hata hivyo apunguze kujisahau, anaweza kukaa na mpira halafu ghafla akaporwa na adui, hilo alifanyie kazi tarehe 8.

3. Duchu amecheza vizuri sana na huenda ikawa safari ya mwisho kwa Kevin Kijiri ingawa to me naamini Kijiri bado mzuri sana, cjui kwann bado kuna hasira ya kujifunga ile mechi vs Yanga.Ila Duchu awe makini sana ukabaji wake ndani ya penati box vinginevyo kuna siku atakuja kusababisha penati ya kijinga kama leo, kama sio refa kukausha ilikuwa inawekwa kwenye kisanduku ile.

4.Valentine Nouma ni beki mzuri sana, ana nguvu, ana mashuti, ana krosi, mimi sioni hofu yoyote tarehe 8 akasimama kushoto kusukuma mashambulizi badala ya Tshabalaa ambaye anaelekea kufika mwisho.

Soma Pia: FT | Coastal Union 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Arusha | 01 March, 2025

5.Abdulrazack Hamza anasifiwa ni beki mzuri, ni kweli lakini ajirekebishe.Yuko slow sana na anachelewa kufanya maamuzi.Hamza hawezi kupiga pasi ndefu, yeye akipewa mpira anamwangalia Camara au Malone/Chamou au Kagoma au Kapombe au Tshabalala au Nouma, huwezi muona Hamza anapewa mpira anairusha kwa Mpanzu au Ateba kama alivyokuwa akifanya Serge Wawa.

Halafu apunguze kujiamini kwa sababu hana kasi kama leo angetuingiza chaka kwa uzembe wake.Mechi ya kwanza Hamza alimshika Dube kwa sababu ya spidi akala kadi ya njano, afanyie sana kazi suala la spidi na kurudisha mipira nyuma.

6.Aisee Joshua Mutale kwa kweli mpira hapa bongo umemkataa, kuna wakati nilikuwa namhisi vibaya Edwin Balua kuwa kamchezea nn ili nyota yake ife.Mutale nini kimemkuta.Kama kuna kamba amefungwa zifunguliwe kama alivyofunguliwa Mukwala.

7. Elie Mpanzu ni mashine haihitaji kelele nyingi kujua mwamba huyu anajua boli, siku Mpanzu acheze na Feitoto, kushoto Kibu, katikati Chama na Jonathan Sowah, mamake walai.

8.Jeans Charles Ahoua ni mchezaji mzuri lakini mechi kubwa kubwa kama hii na Yanga haiwezi.Hebu tuwe wa kweli ukimwangalia Ahoua anacheza vile utaweza kumfananisha kweli na Kibu anavyocheza au Mpanzu? Akianza na Yanga itakuwa faida kubwa kwao Yanga.

9.Mukwala alikuwa amepigwa pini, pini zimefunguliwa sasa hivi pini amepigwa Ateba, tunaomba pini hizo zifunguliwe kwa Ateba.Vinginevyo nipeni mimi nimpeleke kule kwa watu wangu, hamtaamini.

10.Wale Coastal wana wachezaji wawili wanastahili kuchezea Simba, kale ka winga Bakary Seleman aliyeingia kipindi cha pili na Semfuko Charles fundi sana wa mpira yule kijana, anaweza kusaidiana na Yussf Kagoma bila shaka yoyote.

11.Tarehe 8 Machi ni Simba na Yanga, tafadhalini viongozi wetu, kufungwa na Yanga mara ya 6 mfululizo halafu nyie mnaona sawa tu haikubaliki, haikubaliki, haikubaliki.Narudia, kufungwa na Yanga mara ya 6 mfululizo iwe mwisho tarehe 8 Machi, wakitufunga hatutakuwa na sababu tena ya kulalamikia GSM wala nini.
Umeongea points tupu, hongera sana mkuu. Hili jambo la 11 naomba nitangulize pole!!!
 
Niliyoyaona Mechi imehujumiwa, refa kapewa mlungula, Coastal union wamedhulumiwa ushindi wao, Chamou alifanya faulo kwa kumzuia Maabad anaeenda kufunga huku akiwa beki wa mwisho , ukileta ushabiki maandazi angalia marudio ya video utaona na kisha soma sheria za soka kuhusu beki wa mwisho kucheza faulo ya kumzuia mshambuliaje asiende kufunga, Chamou alipaswa kupewa red card na sio yellow card , ilipaswa Chamou atoke nje, simba walipaswa kucheza kumi uwanjani wakiwa na goal moja na Coast wangerudisha na kuongeza, njaa za marefa zimezidi. Je ingekuwa kosa lile wamefanya Coast refa angetoa yellow au red card? Kolowizard acheni kuonea timu ndogo imezidi sasa hadi inatia kinyaa.

Nilichoona leo ni muendelezo wa mbeleko kwa kolowizard, shangwe za ushindi usio halali na uharibifu wa ligi tu japo sote tunajua Yanga bingwa na tarehe 8 Yanga 2 - 0 Kolo!
Kabla hujachangia umuombe kwanza Mtu akusaidie kuchomoa mwiko ukimaliza aurudishie, maana comment za mihemuko kama hizi ni hatari kwa afya yako ya akili.
 
Kabla hujachangia umuombe kwanza Mtu akusaidie kuchomoa mwiko ukimaliza aurudishie, maana comment za mihemuko kama hizi ni hatari kwa afya yako ya akili.
Hoja yako ni ipi mtani?
Kanusha nilichosema kwa kuleta hoja za kikolo za kutetea ujinga wa marefa wa kolowizard au kubali yaishe kisha useme yanga bingwa. Kujibu bila hoja ni kunipa ushindi.

Kolo jibu hoja kwa hoja kama mtu wa mpira and great thinker wa jf, mambo ya afya waachie madokta kadi za bima zipo ndo kazi yake na madokta wanalipwa mshahara.
 
Hoja yako ni ipi mtani?
Kanusha nilichosema kwa kuleta hoja za kikolo za kutetea ujinga wa marefa wa kolowizard au kubali yaishe kisha useme yanga bingwa. Kujibu bila hoja ni kunipa ushindi.

Kolo jibu hoja kwa hoja kama mtu wa mpira and great thinker wa jf, mambo ya afya waachie madokta kadi za bima zipo ndo kazi yake na madokta wanalipwa mshahara.
Kama ingekuwa huongozwi na mihemuko basi hapa ungeongelea rafu ya kikoti aliyomchezea Chamu.
 
1. Mchezo ulikuwa super ingawa mashabiki walikuwa na hofu sana walipoona mabadiliko ya kikosi, kikosi alichokuwa akikipanga mara kwa mara kocha Fahdu kiliwafanya wapinzani wajue namna ya kuwakabili ndani na nje ya uwanja.

2. Simba leo ilikuwa faster sana kutokana na kiungo Fernandez Mavambo kumiliki vizuri sehemu ya katikati akishirikiana na fundi wa mpira Yussuph Kagoma.Mavambo hata hivyo apunguze kujisahau, anaweza kukaa na mpira halafu ghafla akaporwa na adui, hilo alifanyie kazi tarehe 8.

3. Duchu amecheza vizuri sana na huenda ikawa safari ya mwisho kwa Kevin Kijiri ingawa to me naamini Kijiri bado mzuri sana, cjui kwann bado kuna hasira ya kujifunga ile mechi vs Yanga.Ila Duchu awe makini sana ukabaji wake ndani ya penati box vinginevyo kuna siku atakuja kusababisha penati ya kijinga kama leo, kama sio refa kukausha ilikuwa inawekwa kwenye kisanduku ile.

4.Valentine Nouma ni beki mzuri sana, ana nguvu, ana mashuti, ana krosi, mimi sioni hofu yoyote tarehe 8 akasimama kushoto kusukuma mashambulizi badala ya Tshabalaa ambaye anaelekea kufika mwisho.

Soma Pia: FT | Coastal Union 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Arusha | 01 March, 2025

5.Abdulrazack Hamza anasifiwa ni beki mzuri, ni kweli lakini ajirekebishe.Yuko slow sana na anachelewa kufanya maamuzi.Hamza hawezi kupiga pasi ndefu, yeye akipewa mpira anamwangalia Camara au Malone/Chamou au Kagoma au Kapombe au Tshabalala au Nouma, huwezi muona Hamza anapewa mpira anairusha kwa Mpanzu au Ateba kama alivyokuwa akifanya Serge Wawa.

Halafu apunguze kujiamini kwa sababu hana kasi kama leo angetuingiza chaka kwa uzembe wake.Mechi ya kwanza Hamza alimshika Dube kwa sababu ya spidi akala kadi ya njano, afanyie sana kazi suala la spidi na kurudisha mipira nyuma.

6.Aisee Joshua Mutale kwa kweli mpira hapa bongo umemkataa, kuna wakati nilikuwa namhisi vibaya Edwin Balua kuwa kamchezea nn ili nyota yake ife.Mutale nini kimemkuta.Kama kuna kamba amefungwa zifunguliwe kama alivyofunguliwa Mukwala.

7. Elie Mpanzu ni mashine haihitaji kelele nyingi kujua mwamba huyu anajua boli, siku Mpanzu acheze na Feitoto, kushoto Kibu, katikati Chama na Jonathan Sowah, mamake walai.

8.Jeans Charles Ahoua ni mchezaji mzuri lakini mechi kubwa kubwa kama hii na Yanga haiwezi.Hebu tuwe wa kweli ukimwangalia Ahoua anacheza vile utaweza kumfananisha kweli na Kibu anavyocheza au Mpanzu? Akianza na Yanga itakuwa faida kubwa kwao Yanga.

9.Mukwala alikuwa amepigwa pini, pini zimefunguliwa sasa hivi pini amepigwa Ateba, tunaomba pini hizo zifunguliwe kwa Ateba.Vinginevyo nipeni mimi nimpeleke kule kwa watu wangu, hamtaamini.

10.Wale Coastal wana wachezaji wawili wanastahili kuchezea Simba, kale ka winga Bakary Seleman aliyeingia kipindi cha pili na Semfuko Charles fundi sana wa mpira yule kijana, anaweza kusaidiana na Yussf Kagoma bila shaka yoyote.

11.Tarehe 8 Machi ni Simba na Yanga, tafadhalini viongozi wetu, kufungwa na Yanga mara ya 6 mfululizo halafu nyie mnaona sawa tu haikubaliki, haikubaliki, haikubaliki.Narudia, kufungwa na Yanga mara ya 6 mfululizo iwe mwisho tarehe 8 Machi, wakitufunga hatutakuwa na sababu tena ya kulalamikia GSM wala nini.
Mechi iliuzwa hiyo.
 
Mwambieni Ahmed Ally aache kuongea wiki nzima hii hadi derby ipite. Hii mechi haihitaji majigambo. Wanasimba hasa viongozi na wachezaji inabidi kupiga kimya hii wiki nzima.

Derby iliyopita Ateba aliropoka wakamkamia. Juzi mechi na Azam ambayo ingeweza kuchezwa kifamilia, semaji anapandisha watu mzuka kwa kuwaita inzi.
walimkamia wapi ilhali alipata nafasi akakosa
 
Huwezi mnya
Mwambieni Ahmed Ally aache kuongea wiki nzima hii hadi derby ipite. Hii mechi haihitaji majigambo. Wanasimba hasa viongozi na wachezaji inabidi kupiga kimya hii wiki nzima.

Derby iliyopita Ateba aliropoka wakamkamia. Juzi mechi na Azam ambayo ingeweza kuchezwa kifamilia, semaji anapandisha watu mzuka kwa kuwaita inzi.
Mazisha mtu ambae kuongea ni jukumu lake.
 
Niliyoyaona Mechi imehujumiwa, refa kapewa mlungula, Coastal union wamedhulumiwa ushindi wao, Chamou alifanya faulo kwa kumzuia Maabad anaeenda kufunga huku akiwa beki wa mwisho , ukileta ushabiki maandazi angalia marudio ya video utaona na kisha soma sheria za soka kuhusu beki wa mwisho kucheza faulo ya kumzuia mshambuliaje asiende kufunga, Chamou alipaswa kupewa red card na sio yellow card , ilipaswa Chamou atoke nje, simba walipaswa kucheza kumi uwanjani wakiwa na goal moja na Coast wangerudisha na kuongeza, njaa za marefa zimezidi. Je ingekuwa kosa lile wamefanya Coast refa angetoa yellow au red card? Kolowizard acheni kuonea timu ndogo imezidi sasa hadi inatia kinyaa.

Nilichoona leo ni muendelezo wa mbeleko kwa kolowizard, shangwe za ushindi usio halali na uharibifu wa ligi tu japo sote tunajua Yanga bingwa na tarehe 8 Yanga 2 - 0 Kolo!
Punguza Mbio Za Kuandika.
Wakati Chamou Anamzuia Maabad Ilikuwa Tayari Coastal Ashafungwa 0-3 Kwa Hiyo Swala La Kuchomoa Na Kushinda Ni Lamri Chonganishi.
InaonyeshA Mahaba Yamekujaa Kwa Uto.
Hata Kikoti Hukumuona Rafu Aliyoifanya Au Mmefundishana Wimbo Wa Marefa Ili Kuififisha Hoja Ya Upangaji Matokeo Inayofanywa Na Gsm Yanga Na Team Washirika?
 
1. Mchezo ulikuwa super ingawa mashabiki walikuwa na hofu sana walipoona mabadiliko ya kikosi, kikosi alichokuwa akikipanga mara kwa mara kocha Fahdu kiliwafanya wapinzani wajue namna ya kuwakabili ndani na nje ya uwanja.

2. Simba leo ilikuwa faster sana kutokana na kiungo Fernandez Mavambo kumiliki vizuri sehemu ya katikati akishirikiana na fundi wa mpira Yussuph Kagoma.Mavambo hata hivyo apunguze kujisahau, anaweza kukaa na mpira halafu ghafla akaporwa na adui, hilo alifanyie kazi tarehe 8.

3. Duchu amecheza vizuri sana na huenda ikawa safari ya mwisho kwa Kevin Kijiri ingawa to me naamini Kijiri bado mzuri sana, cjui kwann bado kuna hasira ya kujifunga ile mechi vs Yanga.Ila Duchu awe makini sana ukabaji wake ndani ya penati box vinginevyo kuna siku atakuja kusababisha penati ya kijinga kama leo, kama sio refa kukausha ilikuwa inawekwa kwenye kisanduku ile.

4.Valentine Nouma ni beki mzuri sana, ana nguvu, ana mashuti, ana krosi, mimi sioni hofu yoyote tarehe 8 akasimama kushoto kusukuma mashambulizi badala ya Tshabalaa ambaye anaelekea kufika mwisho.

Soma Pia: FT | Coastal Union 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Arusha | 01 March, 2025

5.Abdulrazack Hamza anasifiwa ni beki mzuri, ni kweli lakini ajirekebishe.Yuko slow sana na anachelewa kufanya maamuzi.Hamza hawezi kupiga pasi ndefu, yeye akipewa mpira anamwangalia Camara au Malone/Chamou au Kagoma au Kapombe au Tshabalala au Nouma, huwezi muona Hamza anapewa mpira anairusha kwa Mpanzu au Ateba kama alivyokuwa akifanya Serge Wawa.

Halafu apunguze kujiamini kwa sababu hana kasi kama leo angetuingiza chaka kwa uzembe wake.Mechi ya kwanza Hamza alimshika Dube kwa sababu ya spidi akala kadi ya njano, afanyie sana kazi suala la spidi na kurudisha mipira nyuma.

6.Aisee Joshua Mutale kwa kweli mpira hapa bongo umemkataa, kuna wakati nilikuwa namhisi vibaya Edwin Balua kuwa kamchezea nn ili nyota yake ife.Mutale nini kimemkuta.Kama kuna kamba amefungwa zifunguliwe kama alivyofunguliwa Mukwala.

7. Elie Mpanzu ni mashine haihitaji kelele nyingi kujua mwamba huyu anajua boli, siku Mpanzu acheze na Feitoto, kushoto Kibu, katikati Chama na Jonathan Sowah, mamake walai.

8.Jeans Charles Ahoua ni mchezaji mzuri lakini mechi kubwa kubwa kama hii na Yanga haiwezi.Hebu tuwe wa kweli ukimwangalia Ahoua anacheza vile utaweza kumfananisha kweli na Kibu anavyocheza au Mpanzu? Akianza na Yanga itakuwa faida kubwa kwao Yanga.

9.Mukwala alikuwa amepigwa pini, pini zimefunguliwa sasa hivi pini amepigwa Ateba, tunaomba pini hizo zifunguliwe kwa Ateba.Vinginevyo nipeni mimi nimpeleke kule kwa watu wangu, hamtaamini.

10.Wale Coastal wana wachezaji wawili wanastahili kuchezea Simba, kale ka winga Bakary Seleman aliyeingia kipindi cha pili na Semfuko Charles fundi sana wa mpira yule kijana, anaweza kusaidiana na Yussf Kagoma bila shaka yoyote.

11.Tarehe 8 Machi ni Simba na Yanga, tafadhalini viongozi wetu, kufungwa na Yanga mara ya 6 mfululizo halafu nyie mnaona sawa tu haikubaliki, haikubaliki, haikubaliki.Narudia, kufungwa na Yanga mara ya 6 mfululizo iwe mwisho tarehe 8 Machi, wakitufunga hatutakuwa na sababu tena ya kulalamikia GSM wala nini.
Mkicheza mchezo mbovu kama huu wa Coast unaousifu mnapigwa tena.
 
Punguza Mbio Za Kuandika.
Wakati Chamou Anamzuia Maabad Ilikuwa Tayari Coastal Ashafungwa 0-3 Kwa Hiyo Swala La Kuchomoa Na Kushinda Ni Lamri Chonganishi.
InaonyeshA Mahaba Yamekujaa Kwa Uto.
Hata Kikoti Hukumuona Rafu Aliyoifanya Au Mmefundishana Wimbo Wa Marefa Ili Kuififisha Hoja Ya Upangaji Matokeo Inayofanywa Na Gsm Yanga Na Team Washirika?
Daima mbele nyuma mwiko, shika, achia twende tukaue makolo tar 8, tutawafunga sana simba kila derby kwa kuwa mbeleko fc mna udhaifu mkubwa, nyie ni mbumbumbu pro max, makolo huwa hamkubali ukweli wowote akiusema uto, ni kawaida yenu huwa hamuwezi kujibu hoja kwa hoja, sema ukweli ile ya Chamou ni red card or not? Kama ni red card kwanini refa katoa yellow card kwani ni kichaa hajui sheria za soka? Kwanini mnawapa hela marefa mechi zenu wanakuwa vichaa? Je unajua marefa wenu wanasababisha timu ndogo zishuke daraja kwa kuzionea against simba? Unajua point moja tu inaibakisha timu ligi kuu? Makolo acheni kununua marefa mnashusha thamani ya ligi yetu maana kila mtu anaona uonevu dunia nzima kupitia azam tv. Simba isipofunga goli la ushindi basi mechi itachezwa ikibidi hata 24 hrs, shame on simba kulazimisha kubeba kombe kwa njia haram! Kombe ambalo litarudi jangwani kwao
 
Mwambieni Ahmed Ally aache kuongea wiki nzima hii hadi derby ipite. Hii mechi haihitaji majigambo. Wanasimba hasa viongozi na wachezaji inabidi kupiga kimya hii wiki nzima.

Derby iliyopita Ateba aliropoka wakamkamia. Juzi mechi na Azam ambayo ingeweza kuchezwa kifamilia, semaji anapandisha watu mzuka kwa kuwaita inzi.
anawapigia yanga promotion hii mechi haituhusu
 
Back
Top Bottom