Mambo 5 Niliyoyaona leo Azam vs Simba Uwanja wa Amani

Mambo 5 Niliyoyaona leo Azam vs Simba Uwanja wa Amani

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
1. Refa ni wa simba
Mpira wetu matokeo tunapanga sana. refa katumwa na simba washinde mechi. shame ila alikwau na maelekezo

2. Magoli yote offiside ya simba.
Kibendela nae katumwa. yani hii ligi refa ni alajiga tu. wengine wote ni wezi. sio kwamba quality awana ila wanatumwa. kitu awajui . they miss big money in caf

3. Azam FC na Simba sio derby
Why, bosi wa azam fc anawatuma azam fc kwenda kufungwa na simba. the last time they win ni 2022. kila mechi lazima waachie game. washinde. azam wamewapa free chance 5 za kufunga from defence mistake alone.

4. Wachezaji wa Azam FC wakubwa by January wataondoka wote.
Why nimeona frustration ya wachezaji kisa kupanga matokeo. which is bad

5. Simba wanajua kukaba tu. ila pasi awajui.
that's what I saw. amna kipya

6. Huyu kocha wa Azam FC ataondoka mapema sana. a

7. Wachezaji wa Azam FC wamecheza kichovu sana sana.

8. TFF na Kalia. ni muda sasa watupishe . its possible wamepanga matokeo ya hii mechi, wakijua refa alajiga anakuwa caf

9. Mpira ulikuwa mbaya kama sio derby. wastage of money and time

10. Azam FC sio timu serious. mashabiki wake wote ni wajinga wajinga kushabikia timu ina panga matokeo ya derby na simba kila mwaka.

Soma Pia: FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 2024

Azam fc yangu ni matapeli.
 
1. refa ni wa simba

mpira wetu matokeo tunapanga sana. refa katumwa na simba washinde mechi. shame ila alikwau na maelekezo

2. magoli yote offiside ya simba.

kibendela nae katumwa. yani hii ligi refa ni alajiga tu. wengine wote ni wezi. sio kwamba quality awana ila wanatumwa. kitu awajui . they miss big money in caf

3. azam f na simba sio derby

why, bosi wa azam fc anawatuma azam fc kwenda kufungwa na simba. the last time they win ni 2022. kila mechi lazima waachie game. washinde. azam wamewapa free chance 5 za kufunga from defence mistake alone.

4. wachezaji wa azam fc wakubwa by January wataondoka wote.

why nimeona frustration ya wachezaji kisa kupanga matokeo. which is bad

5. simba wanajua kukaba tu. ila pasi awajui.
that's what I saw. amna kipya

6.huyu kocha wa azam fc ataondoka mapema sana. a

7. wachezaji wa azam fc wamecheza kichovu sana sana.

8. tff na Kalia. ni muda sasa watupishe . its possible wamepanga matokeo ya hii mechi, wakijua refa alajiga anakuwa caf

9. mpira ulikuwa mbaya kama sio derby. wastage of money and time

10. azam FC sio timu serious. mashabiki wake wote ni wajinga wajinga kushabikia timu ina panga matokeo ya derby na simba kila mwaka.

azam fc yangu ni matapeli.
Title inasema mambo 5, uzi umeeleza mambo zaidi ya nane..

KWa hizi akili huwezi shindwa kunya sebleni
 
1. refa ni wa simba

mpira wetu matokeo tunapanga sana. refa katumwa na simba washinde mechi. shame ila alikwau na maelekezo

2. magoli yote offiside ya simba.

kibendela nae katumwa. yani hii ligi refa ni alajiga tu. wengine wote ni wezi. sio kwamba quality awana ila wanatumwa. kitu awajui . they miss big money in caf

3. azam f na simba sio derby

why, bosi wa azam fc anawatuma azam fc kwenda kufungwa na simba. the last time they win ni 2022. kila mechi lazima waachie game. washinde. azam wamewapa free chance 5 za kufunga from defence mistake alone.

4. wachezaji wa azam fc wakubwa by January wataondoka wote.

why nimeona frustration ya wachezaji kisa kupanga matokeo. which is bad

5. simba wanajua kukaba tu. ila pasi awajui.
that's what I saw. amna kipya

6.huyu kocha wa azam fc ataondoka mapema sana. a

7. wachezaji wa azam fc wamecheza kichovu sana sana.

8. tff na Kalia. ni muda sasa watupishe . its possible wamepanga matokeo ya hii mechi, wakijua refa alajiga anakuwa caf

9. mpira ulikuwa mbaya kama sio derby. wastage of money and time

10. azam FC sio timu serious. mashabiki wake wote ni wajinga wajinga kushabikia timu ina panga matokeo ya derby na simba kila mwaka.

azam fc yangu ni matapeli.
Bila shaka ww ni shabiki wa nyuma mwiko feel the pain
 
1. refa ni wa simba

mpira wetu matokeo tunapanga sana. refa katumwa na simba washinde mechi. shame ila alikwau na maelekezo

2. magoli yote offiside ya simba.

kibendela nae katumwa. yani hii ligi refa ni alajiga tu. wengine wote ni wezi. sio kwamba quality awana ila wanatumwa. kitu awajui . they miss big money in caf

3. azam f na simba sio derby

why, bosi wa azam fc anawatuma azam fc kwenda kufungwa na simba. the last time they win ni 2022. kila mechi lazima waachie game. washinde. azam wamewapa free chance 5 za kufunga from defence mistake alone.

4. wachezaji wa azam fc wakubwa by January wataondoka wote.

why nimeona frustration ya wachezaji kisa kupanga matokeo. which is bad

5. simba wanajua kukaba tu. ila pasi awajui.
that's what I saw. amna kipya

6.huyu kocha wa azam fc ataondoka mapema sana. a

7. wachezaji wa azam fc wamecheza kichovu sana sana.

8. tff na Kalia. ni muda sasa watupishe . its possible wamepanga matokeo ya hii mechi, wakijua refa alajiga anakuwa caf

9. mpira ulikuwa mbaya kama sio derby. wastage of money and time

10. azam FC sio timu serious. mashabiki wake wote ni wajinga wajinga kushabikia timu ina panga matokeo ya derby na simba kila mwaka.

azam fc yangu ni matapeli.
Ikiuma 'Chomoa' na kimbia.
 
1. Refa ni wa simba
Mpira wetu matokeo tunapanga sana. refa katumwa na simba washinde mechi. shame ila alikwau na maelekezo

2. Magoli yote offiside ya simba.
Kibendela nae katumwa. yani hii ligi refa ni alajiga tu. wengine wote ni wezi. sio kwamba quality awana ila wanatumwa. kitu awajui . they miss big money in caf

3. Azam FC na Simba sio derby
Why, bosi wa azam fc anawatuma azam fc kwenda kufungwa na simba. the last time they win ni 2022. kila mechi lazima waachie game. washinde. azam wamewapa free chance 5 za kufunga from defence mistake alone.

4. Wachezaji wa Azam FC wakubwa by January wataondoka wote.
Why nimeona frustration ya wachezaji kisa kupanga matokeo. which is bad

5. Simba wanajua kukaba tu. ila pasi awajui.
that's what I saw. amna kipya

6. Huyu kocha wa Azam FC ataondoka mapema sana. a

7. Wachezaji wa Azam FC wamecheza kichovu sana sana.

8. TFF na Kalia. ni muda sasa watupishe . its possible wamepanga matokeo ya hii mechi, wakijua refa alajiga anakuwa caf

9. Mpira ulikuwa mbaya kama sio derby. wastage of money and time

10. Azam FC sio timu serious. mashabiki wake wote ni wajinga wajinga kushabikia timu ina panga matokeo ya derby na simba kila mwaka.

azam fc yangu ni matapeli.
Tunaomba uchambuzi wa mechi ya yanga na kengold pia
 
1. Refa ni wa simba
Mpira wetu matokeo tunapanga sana. refa katumwa na simba washinde mechi. shame ila alikwau na maelekezo

2. Magoli yote offiside ya simba.
Kibendela nae katumwa. yani hii ligi refa ni alajiga tu. wengine wote ni wezi. sio kwamba quality awana ila wanatumwa. kitu awajui . they miss big money in caf

3. Azam FC na Simba sio derby
Why, bosi wa azam fc anawatuma azam fc kwenda kufungwa na simba. the last time they win ni 2022. kila mechi lazima waachie game. washinde. azam wamewapa free chance 5 za kufunga from defence mistake alone.

4. Wachezaji wa Azam FC wakubwa by January wataondoka wote.
Why nimeona frustration ya wachezaji kisa kupanga matokeo. which is bad

5. Simba wanajua kukaba tu. ila pasi awajui.
that's what I saw. amna kipya

6. Huyu kocha wa Azam FC ataondoka mapema sana. a

7. Wachezaji wa Azam FC wamecheza kichovu sana sana.

8. TFF na Kalia. ni muda sasa watupishe . its possible wamepanga matokeo ya hii mechi, wakijua refa alajiga anakuwa caf

9. Mpira ulikuwa mbaya kama sio derby. wastage of money and time

10. Azam FC sio timu serious. mashabiki wake wote ni wajinga wajinga kushabikia timu ina panga matokeo ya derby na simba kila mwaka.

azam fc yangu ni matapeli.
Kelele mwaka huu zimeanza mapema Kisingizio namba 1 Azam na Feisal .Namba 2 Karia na TFF. Namba 3 Marefa.
 
Tunaomba uchambuzi wa mechi ya yanga na kengold pia
Uchambuzi ulikuwepo leo kipyenga cha mwisho, Baka katoka nyuma na kufunga goli halali, mpira wa Ken Gold haukuvuka mstari, kichaka kimefyekwa rasmi na Othman Kazi kwa msaada wa marudio ya picha za video!!

Kilichobaki ni magoli ya offside ya leo mzizima derby!!shame on Kolo Sasii na mbumbumbu FC. Azam amenyongwa live, hii ni mbaya sana kwa simba ndo maana ipo panapoistahili , kombe la rede, kombe la kina mama, kombe la mademu shirikisho!!

Jinsi ya kunyamazisha makolo ni kuchukua points 6 toka kwao, maana maelekezo ya kuibeba simba kwa marefa yako wazi hasa Sasii, hatumtaki kabisa derby ya kariakoo, hafai!
 
1. Refa ni wa simba
Mpira wetu matokeo tunapanga sana. refa katumwa na simba washinde mechi. shame ila alikwau na maelekezo

2. Magoli yote offiside ya simba.
Kibendela nae katumwa. yani hii ligi refa ni alajiga tu. wengine wote ni wezi. sio kwamba quality awana ila wanatumwa. kitu awajui . they miss big money in caf

3. Azam FC na Simba sio derby
Why, bosi wa azam fc anawatuma azam fc kwenda kufungwa na simba. the last time they win ni 2022. kila mechi lazima waachie game. washinde. azam wamewapa free chance 5 za kufunga from defence mistake alone.

4. Wachezaji wa Azam FC wakubwa by January wataondoka wote.
Why nimeona frustration ya wachezaji kisa kupanga matokeo. which is bad

5. Simba wanajua kukaba tu. ila pasi awajui.
that's what I saw. amna kipya

6. Huyu kocha wa Azam FC ataondoka mapema sana. a

7. Wachezaji wa Azam FC wamecheza kichovu sana sana.

8. TFF na Kalia. ni muda sasa watupishe . its possible wamepanga matokeo ya hii mechi, wakijua refa alajiga anakuwa caf

9. Mpira ulikuwa mbaya kama sio derby. wastage of money and time

10. Azam FC sio timu serious. mashabiki wake wote ni wajinga wajinga kushabikia timu ina panga matokeo ya derby na simba kila mwaka.

Soma Pia: FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 2024

Azam fc yangu ni matapeli.
Watashinda vip kipindi cha pili chote timu haina hata short on target,kipindi cha kwanza shambulio la maana ni lile shoot lilokula nguzo la Fei. Japo refa alitoa boko goli la pili, ila Azam jana walicheza vibaya.
 
Back
Top Bottom