Kama inauma chomoa...uzi wako ni takataka1. Refa ni wa simba
Mpira wetu matokeo tunapanga sana. refa katumwa na simba washinde mechi. shame ila alikwau na maelekezo
2. Magoli yote offiside ya simba.
Kibendela nae katumwa. yani hii ligi refa ni alajiga tu. wengine wote ni wezi. sio kwamba quality awana ila wanatumwa. kitu awajui . they miss big money in caf
3. Azam FC na Simba sio derby
Why, bosi wa azam fc anawatuma azam fc kwenda kufungwa na simba. the last time they win ni 2022. kila mechi lazima waachie game. washinde. azam wamewapa free chance 5 za kufunga from defence mistake alone.
4. Wachezaji wa Azam FC wakubwa by January wataondoka wote.
Why nimeona frustration ya wachezaji kisa kupanga matokeo. which is bad
5. Simba wanajua kukaba tu. ila pasi awajui.
that's what I saw. amna kipya
6. Huyu kocha wa Azam FC ataondoka mapema sana. a
7. Wachezaji wa Azam FC wamecheza kichovu sana sana.
8. TFF na Kalia. ni muda sasa watupishe . its possible wamepanga matokeo ya hii mechi, wakijua refa alajiga anakuwa caf
9. Mpira ulikuwa mbaya kama sio derby. wastage of money and time
10. Azam FC sio timu serious. mashabiki wake wote ni wajinga wajinga kushabikia timu ina panga matokeo ya derby na simba kila mwaka.
Soma Pia: FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 2024
Azam fc yangu ni matapeli.
Rafiki yangu pamoja na madudu ya refa Ely sasii ambaye tunajua uwa ni mnazi wa Simba lakini Azam pia kwa namna wanavyocheza kwa sasa ata wangecheza kwa mwezi mzima iyo mechi wasingepata chochote, angalia defence yao, angalia safu yao ya ushambuliaji ni ovyo kabisa, ata wakicheza na timu ndogo wanaangaika kufunga magoli, wenzao wanacheza objective football wao wanacheza Mpira wa kuposes tu ambao auna faida yoyote!1. Refa ni wa simba
Mpira wetu matokeo tunapanga sana. refa katumwa na simba washinde mechi. shame ila alikwau na maelekezo
2. Magoli yote offiside ya simba.
Kibendela nae katumwa. yani hii ligi refa ni alajiga tu. wengine wote ni wezi. sio kwamba quality awana ila wanatumwa. kitu awajui . they miss big money in caf
3. Azam FC na Simba sio derby
Why, bosi wa azam fc anawatuma azam fc kwenda kufungwa na simba. the last time they win ni 2022. kila mechi lazima waachie game. washinde. azam wamewapa free chance 5 za kufunga from defence mistake alone.
4. Wachezaji wa Azam FC wakubwa by January wataondoka wote.
Why nimeona frustration ya wachezaji kisa kupanga matokeo. which is bad
5. Simba wanajua kukaba tu. ila pasi awajui.
that's what I saw. amna kipya
6. Huyu kocha wa Azam FC ataondoka mapema sana. a
7. Wachezaji wa Azam FC wamecheza kichovu sana sana.
8. TFF na Kalia. ni muda sasa watupishe . its possible wamepanga matokeo ya hii mechi, wakijua refa alajiga anakuwa caf
9. Mpira ulikuwa mbaya kama sio derby. wastage of money and time
10. Azam FC sio timu serious. mashabiki wake wote ni wajinga wajinga kushabikia timu ina panga matokeo ya derby na simba kila mwaka.
Soma Pia: FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 2024
Azam fc yangu ni matapeli.
..kweli mkuu huyu atakuwa anakunya sebuleni!Title inasema mambo 5, uzi umeeleza mambo zaidi ya nane..
KWa hizi akili huwezi shindwa kujisaidia sebleni
Mkuu shuleni ulichokielewa ni kuweka vituo, yaani katikati ya sentensi ushaweka kituo hata kama hujamaliza hoja yako.1. Refa ni wa simba
Mpira wetu matokeo tunapanga sana. refa katumwa na simba washinde mechi. shame ila alikwau na maelekezo
2. Magoli yote offiside ya simba.
Kibendela nae katumwa. yani hii ligi refa ni alajiga tu. wengine wote ni wezi. sio kwamba quality awana ila wanatumwa. kitu awajui . they miss big money in caf
3. Azam FC na Simba sio derby
Why, bosi wa azam fc anawatuma azam fc kwenda kufungwa na simba. the last time they win ni 2022. kila mechi lazima waachie game. washinde. azam wamewapa free chance 5 za kufunga from defence mistake alone.
4. Wachezaji wa Azam FC wakubwa by January wataondoka wote.
Why nimeona frustration ya wachezaji kisa kupanga matokeo. which is bad
5. Simba wanajua kukaba tu. ila pasi awajui.
that's what I saw. amna kipya
6. Huyu kocha wa Azam FC ataondoka mapema sana. a
7. Wachezaji wa Azam FC wamecheza kichovu sana sana.
8. TFF na Kalia. ni muda sasa watupishe . its possible wamepanga matokeo ya hii mechi, wakijua refa alajiga anakuwa caf
9. Mpira ulikuwa mbaya kama sio derby. wastage of money and time
10. Azam FC sio timu serious. mashabiki wake wote ni wajinga wajinga kushabikia timu ina panga matokeo ya derby na simba kila mwaka.
Soma Pia: FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 2024
Azam fc yangu ni matapeli.
Hata yanga haina ubora wowote mkuu, tusiishi kwa historia.Rafiki yangu pamoja na madudu ya refa Ely sasii ambaye tunajua uwa ni mnazi wa Simba lakini Azam pia kwa namna wanavyocheza kwa sasa ata wangecheza kwa mwezi mzima iyo mechi wasingepata chochote, angalia defence yao, angalia safu yao ya ushambuliaji ni ovyo kabisa, ata wakicheza na timu ndogo wanaangaika kufunga magoli, wenzao wanacheza objective football wao wanacheza Mpira wa kuposes tu ambao auna faida yoyote!
Ilikuwa ngumu jana kuona Azam watafungaje goli kwa style Ile ya uchezaji, mapungufu yao ni mengi sana, na wanapochezaga na Simba uwa mapungufu yanaongezeka maradufu mpaka unashangaa, wanacheza kama timu ya daraja la tatu uko ni aibu!
Simba na Azam zote ni timu ambazo Zina kazi kubwa sana kuufikia ubora wa yanga, kwa namna timu zote izo zinavyocheza yanga atachukua point kwa wote hao ni suala la kusubili tu trh 19 Kuna kishindo kingine kinakuja!
Una homa kali sana wewe. π€£1. Refa ni wa simba
Mpira wetu matokeo tunapanga sana. refa katumwa na simba washinde mechi. shame ila alikwau na maelekezo
2. Magoli yote offiside ya simba.
Kibendela nae katumwa. yani hii ligi refa ni alajiga tu. wengine wote ni wezi. sio kwamba quality awana ila wanatumwa. kitu awajui . they miss big money in caf
3. Azam FC na Simba sio derby
Why, bosi wa azam fc anawatuma azam fc kwenda kufungwa na simba. the last time they win ni 2022. kila mechi lazima waachie game. washinde. azam wamewapa free chance 5 za kufunga from defence mistake alone.
4. Wachezaji wa Azam FC wakubwa by January wataondoka wote.
Why nimeona frustration ya wachezaji kisa kupanga matokeo. which is bad
5. Simba wanajua kukaba tu. ila pasi awajui.
that's what I saw. amna kipya
6. Huyu kocha wa Azam FC ataondoka mapema sana. a
7. Wachezaji wa Azam FC wamecheza kichovu sana sana.
8. TFF na Kalia. ni muda sasa watupishe . its possible wamepanga matokeo ya hii mechi, wakijua refa alajiga anakuwa caf
9. Mpira ulikuwa mbaya kama sio derby. wastage of money and time
10. Azam FC sio timu serious. mashabiki wake wote ni wajinga wajinga kushabikia timu ina panga matokeo ya derby na simba kila mwaka.
Soma Pia: FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 2024
Azam fc yangu ni matapeli.
Umechambua kihisia zaidi kuliko kiufundi...1. Refa ni wa simba
Mpira wetu matokeo tunapanga sana. refa katumwa na simba washinde mechi. shame ila alikwau na maelekezo
2. Magoli yote offiside ya simba.
Kibendela nae katumwa. yani hii ligi refa ni alajiga tu. wengine wote ni wezi. sio kwamba quality awana ila wanatumwa. kitu awajui . they miss big money in caf
3. Azam FC na Simba sio derby
Why, bosi wa azam fc anawatuma azam fc kwenda kufungwa na simba. the last time they win ni 2022. kila mechi lazima waachie game. washinde. azam wamewapa free chance 5 za kufunga from defence mistake alone.
4. Wachezaji wa Azam FC wakubwa by January wataondoka wote.
Why nimeona frustration ya wachezaji kisa kupanga matokeo. which is bad
5. Simba wanajua kukaba tu. ila pasi awajui.
that's what I saw. amna kipya
6. Huyu kocha wa Azam FC ataondoka mapema sana. a
7. Wachezaji wa Azam FC wamecheza kichovu sana sana.
8. TFF na Kalia. ni muda sasa watupishe . its possible wamepanga matokeo ya hii mechi, wakijua refa alajiga anakuwa caf
9. Mpira ulikuwa mbaya kama sio derby. wastage of money and time
10. Azam FC sio timu serious. mashabiki wake wote ni wajinga wajinga kushabikia timu ina panga matokeo ya derby na simba kila mwaka.
Soma Pia: FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 2024
Azam fc yangu ni matapeli.
Sawa bwana mchang'ombe hivi walifungwa nne na yanga nadhani kwa mtazamo wako siku ile azam ndo walikuwa vizuri ndo maana wakala nne ila jana ndo walikuwa ovyo wakala mbili si ndio bwana mchang'ombe?Rafiki yangu pamoja na madudu ya refa Ely sasii ambaye tunajua uwa ni mnazi wa Simba lakini Azam pia kwa namna wanavyocheza kwa sasa ata wangecheza kwa mwezi mzima iyo mechi wasingepata chochote, angalia defence yao, angalia safu yao ya ushambuliaji ni ovyo kabisa, ata wakicheza na timu ndogo wanaangaika kufunga magoli, wenzao wanacheza objective football wao wanacheza Mpira wa kuposes tu ambao auna faida yoyote!
Ilikuwa ngumu jana kuona Azam watafungaje goli kwa style Ile ya uchezaji, mapungufu yao ni mengi sana, na wanapochezaga na Simba uwa mapungufu yanaongezeka maradufu mpaka unashangaa, wanacheza kama timu ya daraja la tatu uko ni aibu!
Simba na Azam zote ni timu ambazo Zina kazi kubwa sana kuufikia ubora wa yanga, kwa namna timu zote izo zinavyocheza yanga atachukua point kwa wote hao ni suala la kusubili tu trh 19 Kuna kishindo kingine kinakuja!
Sawa bwana mchang'ombe hivi walifungwa nne na yanga nadhani kwa mtazamo wako siku ile azam ndo walikuwa vizuri ndo maana wakala nne ila jana ndo walikuwa ovyo wakala mbili si ndio bwana mchang'ombe?Rafiki yangu pamoja na madudu ya refa Ely sasii ambaye tunajua uwa ni mnazi wa Simba lakini Azam pia kwa namna wanavyocheza kwa sasa ata wangecheza kwa mwezi mzima iyo mechi wasingepata chochote, angalia defence yao, angalia safu yao ya ushambuliaji ni ovyo kabisa, ata wakicheza na timu ndogo wanaangaika kufunga magoli, wenzao wanacheza objective football wao wanacheza Mpira wa kuposes tu ambao auna faida yoyote!
Ilikuwa ngumu jana kuona Azam watafungaje goli kwa style Ile ya uchezaji, mapungufu yao ni mengi sana, na wanapochezaga na Simba uwa mapungufu yanaongezeka maradufu mpaka unashangaa, wanacheza kama timu ya daraja la tatu uko ni aibu!
Simba na Azam zote ni timu ambazo Zina kazi kubwa sana kuufikia ubora wa yanga, kwa namna timu zote izo zinavyocheza yanga atachukua point kwa wote hao ni suala la kusubili tu trh 19 Kuna kishindo kingine kinakuja!
Magoma alisemaje.kwaniOyi sikuizi 5 ndo 10?
Ni kiazi mbatataKinaonesha alichoandika ni pumba