Mambo 5 yanayoweza ku Dhuru Ubongo wako.

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Mambo 5 yanayoweza kuDhuru Ubongo wako.

Kukosa Kifungua Kinywa asubuhi


Watu wanaokosa kifungua kinywa asubuhi wanapata upungufu wa kiwango cha sukari kwenye damu. Hii husababisha upungufu wa madini (nutrients) kwenye ubongo na hatimaye ubongo hudhoofika.

Kula kupita kiasi:
Inasababisha kukaza kwa misuli au mishipa ya Ubongo na hatimaye hupelekea kudhoofika kwa mfumo wa

fahamu.

Kuvuta Sigara:

Kwenye sigara kuna kitu kinaitwa Nikotini ambayo ndani yake kuna chembechembe ambazo zina sababisha makunyanzi kwenye ubongo na kisha kudhoofu.

Kutumia Sukari nyingi:

Matumizi ya sukari nyingi husababisha matatizo katika mfumo wa unyonyaji wa Protini na Madini joto mwilini na kusababisha ugonjwa wa Utapiamlo ambao pia huingilia mfumo wa fahamu

Kuvuta Hewa chafu:

Ubongo ndio mtumiaji mkubwa wa Oxijeni tunayo ivuta. Unapovuta hewa chafu unapunguza mgawo wa Oxijeni kwenye Ubongo na hatimaye kupunguza ufanisi wake
 

Attachments

  • ubongo.jpg
    14.8 KB · Views: 98
  • brain damage.jpg
    19.3 KB · Views: 115
  • brain-damage.jpg
    27.3 KB · Views: 1,729
Sawa mkuu, vp kunanamna ya kuurudisha ktk hali ya awali ukiathirika!...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…