Mambo 6 yasiyoweza kusameheka kirahisi katika ndoa/mahusiano

Mambo 6 yasiyoweza kusameheka kirahisi katika ndoa/mahusiano

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Jaribu kuangalia mambo haya sita na uyapange kwa uzito wake wa kusameheka - yaani namba 1 likiwa ni zito kabisa kusameheka hadi 6 jepesi zaidi kusameheka. Yaani lile la kwa 1 kimsingi linaweza kabisa kuvunja uhusiano (definitely) na lile la 6 laweza kushtua au kutikisa kidogo (most probably) lakini linaweza likapita katika historia na watu wakadumu. Ukipenda unaweza ukaelezea kwanini namba zako zivyo hivyo vilivyo.


Kimada/affair nje ya uhusiano (extramarital affair/cheating)
Akaunti za siri (mipango isiyomshirikisha mwenza) - undisclosed accounts
Mtoto wa nje/mtoto wa bwana mwingine
Kupiga au kumuumiza mtu kwa kipigo (domestic violence)
Ulevi/Matumizi ya madawa ya kuleva
Kuingiliwa na wakwe (in-laws intrusion)

Unaweza kupanga yote 6 au kupanga makubwa matatu (your top three). Siji kama wanaume na wanawake tunashindwa kusamehe vitu vile vile au la.

MMM
 
1. Mtoto wa nje/mtoto wa bwana mwingine
(hili halina mjadala-Halikubaliki)

2. Kimada/affair nje ya uhusiano (extramarital affair/cheating)
(hili nalo vile vile-Halikubaliki)

3. Kupiga au kumuumiza mtu kwa kipigo (domestic violence)
(Hili atafikishwa na polisi pia, sheria za nchi zichukue mkondo wake)

4. Ulevi/Matumizi ya madawa ya kuleva
(Hili I will try kumsaidia kidogo, ikishindikana basi)

5. Kuingiliwa na wakwe (in-laws intrusion)
(Hii ni non-factor as far as si extreme. Wazazi wake wanampenda na nitawachukulia tu kama watu wazima, na ku deal nao)

6. Akaunti za siri (mipango isiyomshirikisha mwenza) - undisclosed accounts
(Hili halinikeri hata kidogo. Namshauri atafute wakili wa kumtunzia will yake tu, akifa mali yende kwa nani)
 
1. Mtoto wa nje/mtoto wa bwana mwingine
(hili halina mjadala-Halikubaliki)

2. Kimada/affair nje ya uhusiano (extramarital affair/cheating)
(hili nalo vile vile-Halikubaliki)

3. Kupiga au kumuumiza mtu kwa kipigo (domestic violence)
(Hili atafikishwa na polisi pia, sheria za nchi zichukue mkondo wake)

4. Ulevi/Matumizi ya madawa ya kuleva
(Hili I will try kumsaidia kidogo, ikishindikana basi)

5. Kuingiliwa na wakwe (in-laws intrusion)
(Hii ni non-factor as far as si extreme. Wazazi wake wanampenda na nitawachukulia tu kama watu wazima, na ku deal nao)

6. Akaunti za siri (mipango isiyomshirikisha mwenza) - undisclosed accounts
(Hili halinikeri hata kidogo. Namshauri atafute wakili wa kumtunzia will yake tu, akifa mali yende kwa nani)
leo hii usipoyasamehe haya utaishi na nani???
 
Mtoto wa nje mama ake anamsubmbua sana bro. infact alizaa na wadada 2, ila huyo mwingine alikuwa mchawi na akamfanya bro bushoke..tulivyotrace na kugundua, bro akafanikiwa kunyofoka kwa yule mdada...na akahama mkoa, akawa anakaa na yule mwingine. Kazi sasa ipo kwa yule dada mchawi... sidhani kama bro au sisi wandugu tutamsamehe huyu dada...Hivi wadada mbona mnakuwa na roho za kishetani hivi??
 
Mtoto wa nje mama ake anamsubmbua sana bro. infact alizaa na wadada 2, ila huyo mwingine alikuwa mchawi na akamfanya bro bushoke..tulivyotrace na kugundua, bro akafanikiwa kunyofoka kwa yule mdada...na akahama mkoa, akawa anakaa na yule mwingine. Kazi sasa ipo kwa yule dada mchawi... sidhani kama bro au sisi wandugu tutamsamehe huyu dada...Hivi wadada mbona mnakuwa na roho za kishetani hivi??

Sikujua kama bado Watanzania tunaamini uchawi!

Mlienda kwa mganga na nyie ndio akafanikiwa "kunyofoka" kwa yule dada au?
 
Kimada/affair nje ya uhusiano (extramarital affair/cheating)
Akaunti za siri (mipango isiyomshirikisha mwenza) - undisclosed accounts
Mtoto wa nje/mtoto wa bwana mwingine
Kupiga au kumuumiza mtu kwa kipigo (domestic violence)
Ulevi/Matumizi ya madawa ya kuleva
Kuingiliwa na wakwe (in-laws intrusion)

MMM

Yote hayo na mengineyo yanasemeheka na maisha yanaendelea ... hata maadiko matakatifu yanaelekeza hivyo... assuming pia kama ndoa yenyewe ina utakatifu..

God Bless

BE ( Kabashana - Parish)
 
mi naweza samehe yote inategemea tu nimejulishwa wakati gani na je nimegundua mwenyewe au amenitubu kwangu mwenyewe na sababu za yeye kufanya alichofanya ila kitu sitakaa nisamehe ni dharua kwangu
 
Jaribu kuangalia mambo haya matano na uyapange kwa uzito wake wa kusameheka - 1 likiwa ni zito kabisa kusameheka na 5 jepesi kusameheka. Yaani lile la kwa 1 kimsingi linaweza kabisa kuvunja uhusiano (definitely) na lile la 5 laweza kushtua au kutikisa kidogo (most probably) lakini linaweza likapita katika historia na watu wakadumu. Ukipenda unaweza ukaelezea kwanini namba zako zivyo hivyo vilivyo.


Kimada/affair nje ya uhusiano (extramarital affair/cheating)
Akaunti za siri (mipango isiyomshirikisha mwenza) - undisclosed accounts
Mtoto wa nje/mtoto wa bwana mwingine
Kupiga au kumuumiza mtu kwa kipigo (domestic violence)
Ulevi/Matumizi ya madawa ya kuleva
Kuingiliwa na wakwe (in-laws intrusion)

Unaweza kupanga yote 6 au kupanga makubwa matatu (your top three). Siji kama wanaume na wanawake tunashindwa kusamehe vitu vile vile au la.

MMM
Sina uhakika kwa nini umechagua hayo sita tu (mimi nadhani kuna mengine pia). Hata hivyo katika hayo sita nikianzia gumu zaidi, yanakaa hivi:
1. Kimada/affair nje ya uhusiano (extramarital affair/cheating) na Mtoto wa nje/mtoto wa bwana mwingine - haya kwangu mimi yana uzito sawa na adhabu yake/uamuzi ni moja tu.
2. Ulevi/Matumizi ya madawa ya kuleva - siwezi kulala na mlevi kitanda kimoja
3. Kupiga au kumuumiza mtu kwa kipigo (domestic violence) - Hili nalo ni zito kweli, linakuwa namba tatu kama linatokea mara moja, kama linatokea mara kwa mara, linabeba uzito sawa na hayo ya namba moja
4. Akaunti za siri (mipango isiyomshirikisha mwenza) - undisclosed accounts - Jepesi kama pesa inayoingia huko sio ile ninayoitoa kwa ajili ya matumizi ya wote hapo nyumbani
5. Kuingiliwa na wakwe(in-laws intrusion)/wazazi - Hili linakuwa jepesi kama tu ni wakwe wenyewe ndio wanaingilia, lakini sio mmoja wetu kuwaalika kuingilia (hili litanipa tabu na linabeba uzito wa namba mbili)
 
leo hii usipoyasamehe haya utaishi na nani???

Ndo hapo sasa? You better live alone...hii dunia yetu ambayo kila kukicha kuna jipya ipo kazi kumpata mtu asiyekuwa na tatizo hata moja katika hayo.
 
Jaribu kuangalia mambo haya matano na uyapange kwa uzito wake wa kusameheka - 1 likiwa ni zito kabisa kusameheka na 5 jepesi kusameheka. ...

Mnajua watu wengine mnafeli mitihani kirahisi kweli..

Maelekezo ya huu mtihani yanachanganya pia.......ulitaka 'watahiniwa' tuyapange hayo mambo 6 (5?) kulingana na uzito wake ama tuyape alama 1 mpaka 5 kulingana na zito wake?
 
SMU

Hivi mwanadani wako anajua mapato yako yote na vipi yanatumika


* Nikijitazama bill yangu ya viatu asiione kamwe maana anaweza zimia.
 
Back
Top Bottom