Mambo 7 yanayo muhusu Guardiola...hili linalo muumiza sasa hajawahi kukutana nalo maishani...

Aaah sasa haya matusi ya nini ??jamani elimu nimuhimu sana sasa huyu Jamaa unaweza jiuliza sasa matusi yanamtoka Kwa sababu gani??? Elimu elimu elimu,,
Ata mm nimemshagaa anatao matusi ya nini kweli unjwaji viroba unatualibia vijana.
 

Noted with thanx
 
Aguero ni mswahili unamaana gani sikuelewi

Kuna mtu humu amesema Pep anamuweka nje Yaya Toure kwa sababu ni mswahili...ndio maana nikajaribu kumkumbusha tu ya kuwa sio Yaya pekee anaekaa nje, pia Aguero nae anakaa nje, je nae ni mswahili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…