Mambo 8 ya kushangaza yanayofanywa na mwili wako kukulinda pasipo wewe kujua

Duh asante kwa elimu mie la mwisho ndo linanitokeaga sana yani nashtukaga sometime mate yanakua yamenipalia kama yamenikaba basi nashtuka fasta mapigo ya moyo sasa yanaenda fast mpaka nikawa naogopa labda ni presha au iziraeli ananinyemelea[emoji1]
Hpn ni hali ya kawaida hiyo mkuu.
 
Nimeipenda sana hio ya machozi ukiwa na maumivu..
Kulia kunapunguza sana maumivu watu wanajifanyaga tu wagumu wanaona kulia ni uzuzu.
Ukilia wakati unauchungu moyoni ni moja ya tiba ya kupunguza hata shinikizo la damu la ghafla maana hasira na maumivu yana kiwango yakizidi yanaweza sababisha hata kupoteza fahamu, kupooza na hata kifo. Hivyo kulia sio ujinga ht kidogo ingawaje wengi hutafsiri hivyo.
 
Sasa hapa kuna watu wa ndoto wanasema eti muotaji atapata mikosi au balaa!!!!
 
Nimeipenda sana hio ya machozi ukiwa na maumivu..
Kulia kunapunguza sana maumivu watu wanajifanyaga tu wagumu wanaona kulia ni uzuzu.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] au wanasema mkosi eti unajichulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…