Mambo ambayo Mwanaume hupaswi kuyategemea kutoka kwa Mwanamke

Soy boy can't understand what I write here, you allowed your dick to drive and decide for you. Expect to perish.

#Tunzashahawazakohukoulikoufalmewako
Semen retention ina placebo effect.... Unaona kama inakusaidia kwasababu umeona shuhuda za watu wengi wakisema inawasaidia, ukaamini...

Ukweli ni kwamba haileti tofauti yeyote....
 
Picha?
 
Semen retention ina placebo effect.... Unaona kama inakusaidia kwasababu umeona shuhuda za watu wengi wakisema inawasaidia, ukaamini...

Ukweli ni kwamba haileti tofauti yeyote....
Keep showering your absurdity, you will soon face the consequences.

#Tunzashahawazakohukondikoulipoufalmewako
 
Huu uzi umenipa somo kubwa sanaaa.

Na Je...? Vipi mwanamke wako hakuheshimu na kijikuta ana Deal sana Na ndugu wa kwao
 
Huu uzi umenipa somo kubwa sanaaa.

Na Je...? Vipi mwanamke wako hakuheshimu na kijikuta ana Deal sana Na ndugu wa kwao
Ignore her.

Kama upo twitter nenda umfollow mtu mmoja anaitwa Amerix.
 
Keep showering your absurdity, you will soon face the consequences.

#Tunzashahawazakohukondikoulipoufalmewako

Sex ina nguvu kubwa mno, na ukiitumia vibaya inaweza kukuumiza kimwili , kihisia na kiroho

Pia ukiweza kudhibiti na kuto kutoa manii/shawaha ovyo ovyo kuna nguvu ambayo inaweza isieleweke lkn unaipata kuanzia kimwili na kiroho

Naungana na wewe mkuu tusifanye ngono ovyo ovyo na tutunze hiyo nguvu ya uhai kwa faida na usafi mwili, akili na roho

Imenichukua muda sana kugundua hii siri lkn inafanya kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…