denoo49 JF-Expert Member Joined Mar 29, 2011 Posts 6,113 Reaction score 6,950 Dec 9, 2017 #21 flagship said: Na mtu mwenye swaumu anawezaje kuchimba mtaro mkubwa? Click to expand... Kwasababu anakuwa na njaa sana, na chakula anachoandaliwa na mkewe kinakuwa hakimtoshi, hivyo anafanya maamuzi ya kuchimba mitaro.
flagship said: Na mtu mwenye swaumu anawezaje kuchimba mtaro mkubwa? Click to expand... Kwasababu anakuwa na njaa sana, na chakula anachoandaliwa na mkewe kinakuwa hakimtoshi, hivyo anafanya maamuzi ya kuchimba mitaro.
flagship JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 1,641 Reaction score 1,189 Dec 9, 2017 #22 denoo49 said: Kwasababu anakuwa na njaa sana, na chakula anachoandaliwa na mkewe kinakuwa hakimtoshi, hivyo anafanya maamuzi ya kuchimba mitaro. Click to expand... [emoji849]
denoo49 said: Kwasababu anakuwa na njaa sana, na chakula anachoandaliwa na mkewe kinakuwa hakimtoshi, hivyo anafanya maamuzi ya kuchimba mitaro. Click to expand... [emoji849]
kinjekitile70 JF-Expert Member Joined Oct 11, 2017 Posts 1,072 Reaction score 1,424 Dec 9, 2017 #23 Mama_Aheshimiwe said: Anjela Kairuki yuko madini na ana mtoto wa taifa Click to expand... ukapimwe mkojoo
Mama_Aheshimiwe said: Anjela Kairuki yuko madini na ana mtoto wa taifa Click to expand... ukapimwe mkojoo
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 17,640 Reaction score 22,748 Dec 9, 2017 #24 leo iyo mamaeee
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 18,585 Reaction score 16,780 Dec 9, 2017 #25 Hivi kwani magereza hakuna habari?? Kupata habari ni haki ya kila mtu... Huwa wanasoma magazeti jamani
Hivi kwani magereza hakuna habari?? Kupata habari ni haki ya kila mtu... Huwa wanasoma magazeti jamani
Riadha jr JF-Expert Member Joined Aug 5, 2017 Posts 567 Reaction score 331 Dec 10, 2017 #26 ndege zetu zikishikiliwa na watu kulipwa pesa ya makanikia pamoja na mabilioni ya dr shka 900 kupendeza
ndege zetu zikishikiliwa na watu kulipwa pesa ya makanikia pamoja na mabilioni ya dr shka 900 kupendeza