Mambo ambayo yanaweza kukufanya uheshimiwe

Mambo ambayo yanaweza kukufanya uheshimiwe

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Mosi, usiruhusu mtu yoyote yule kukusikia ukilalamika,hisia zako si chochote kwa watu wengine,kwa maana nyingine watu hawapo interested kusikia matatizo yako

Screenshot_20241109_180427_Google.jpg


Pili,kubali ukweli pale unapokosea kwani hakuna mkamilifu,hii itakujengea heshima zaidi na utaonekana unawajibika kwa makosa yako

Tatu,hakikisha unadhibiti hisia zako au hasira zako,kwani hisia zako hazitakufanya ufanye maamuzi sahihi,ndio maana inashauriwa usifanye maamuzi ukiwa na hasira

Ni hayo tu!
 
Mosi, usiruhusu mtu yoyote yule kukusikia ukilalamika,hisia zako si chochote kwa watu wengine,kwa maana nyingine watu hawapo interested kusikia matatizo yako

View attachment 3147945

Pili,kubali ukweli pale unapokosea kwani hakuna mkamilifu,hii itakujengea heshima zaidi na utaonekana unawajibika kwa makosa yako

Tatu,hakikisha unadhibiti hisia zako au hasira zako,kwani hisia zako hazitakufanya ufanye maamuzi sahihi,ndio maana inashauriwa usifanye maamuzi ukiwa na hasira

Ni hayo tu!
Upo sahihi mkuu, ili uheshimike na kuyaenjoy maisha, unahitajika kua mwanadiplomasia zaidi kuliko kutumia hisia/mihemko zaidi.
 
Back
Top Bottom