Mambo arobaini 40 yatakayokuepusha na Kifo cha mapema ndugu mpambanaji mwenzangu

True say umesahau kuwa low profile. Asante sana umesema ukweli mchungu
 
5.Punguza nyama, wali na Bia yes Bia
Kama Janabi ametushindwa kwenye hili wewe ndiye utatuweza kweli? Nyama inasingiwa vingi! Babu zangu walikuwa wanapiga nyama siku 365.5 na waliishi more than 90 years! Au nyama ya sasa hivi imebadilika nini?
 
Ameongea kiusalama zaid kuliko hayo umeongea ameongea kama agent wa mossad
 
Pia dhuluma imekuwa chanzo kikubwa cha vifo vya vijana wengi hasa kizazi hiki
 
Pia dhuluma imekuwa chanzo kikubwa cha vifo vya vijana wengi hasa kizazi hiki
Utapeli utapeli na wiziwizi usio na sababu za msingi, wezi siku hizi wanakuibia hivi hivi unawaona bidhaa ya 2000 unauziwa 20,000 ushapigwa mjini
 
Blood hayo yote uliyoongea ni asilimia chache sana ndo yanatufaa sisi wapambanaji..

Imagine mtu unamwambia asikose soraha kwenye gari lake still enough unamwita mpambanaji..
Mpambanaji wa which..!!? Kama mtu ana gari kabisa..

Kwahyo hapo kuna wengine ni wapambanaji alafu kuna wengine washajipata hvo anaongezea tuu

Ila uwezi sema mi moambanaji ukajiringanisha na mwannangu mtata hapo wakati wewe una gari na nyumba plass mke na watoto...
 
Kama Janabi ametushindwa kwenye hili wewe ndiye utatuweza kweli? Nyama inasingiwa vingi! Babu zangu walikuwa wanapiga nyama siku 365.5 na waliishi more than 90 years! Au nyama ya sasa hivi imebadilika nini?
Nyama ya babu na bibi zetu tofauti na hii kwa 100%.

Nyama ya Babu na Bibi zetu haikuwa inadungwa midawa ya kukuwa kunenepa wala ya malaria n.k

Nyama ya Babu na Bibi zetu ilikuwa na ladha halisi

Nyama ya sasa hivi ina kila kitu mkuu.

Nyama ya sasahivi haina ladha halisi ni lazima uweke makolombwezo kibaao ndo kiduuchuuu unuse harufu nzuri lakini huoati ladha nzuri.
 
Mkuu utaKuwa unaishi Dar au Ulaya mkuu! Usukumani bado tunapata radha ya nyama ya ng'ombe!
 
Kuna mazingatio kwa wenye ufahamu.
Yeah, kwa baadhi ya mambo lakini siyo yote! Sasa kama hilo la kutomwamini mkeo, hilo ni fundisho la wapi? Unataka umwamini nani zaidi ya mkeo? Katika maisha mtu unayeishi naye muda mrefu zaidi ni mke au mme!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…