Tobias nombo
New Member
- Feb 3, 2015
- 2
- 1
Napenda kujua ni mambo gani mtu anapaswa kufanya kabla ya kuacha kazi kutoka kwa mwajiri wake?
Hii thread ina mengi ya kujifunzaKwa mtu anayetegemea kujiingiza ktk ujasiriamali au biashara, afanye nn?
Usiache kazi kabla hujajua nini unaenda kufanya mtihani,fanya kazi huku unashughulikia huo ujasiriamali muda ambao sio wa kazini,ukiona umeanza kupata faida inayokuridhisha hapo ndo utaamua mwenyewe uache kazi ufanye mambo yako,au ufanye mambo yako huku unaendelea na kazi
Asipofuata ushauri wako, atajuter...Usiache kazi kabla hujajua nini unaenda kufanya mtihani,fanya kazi huku unashughulikia huo ujasiriamali muda ambao sio wa kazini,ukiona umeanza kupata faida inayokuridhisha hapo ndo utaamua mwenyewe uache kazi ufanye mambo yako,au ufanye mambo yako huku unaendelea na kazi
Hakikisha una biashara tayari inaweza ikawa moja au mbili ambazo zimesha simama tayari na unapata kipato kwa mwezi zaidi ya mshahara wako.Napenda kujua ni mambo gani mtu anapaswa kufanya kabla ya kuacha kazi kutoka kwa mwajiri wake? Kwa mtu anayetegemea kujiingiza ktk ujasiriamali au biashara, afanye nn?
Huyu anaamini kalamu 2 zilimshinda Fisi.Usiache kazi kabla hujajua nini unaenda kufanya mtihani,fanya kazi huku unashughulikia huo ujasiriamali muda ambao sio wa kazini,ukiona umeanza kupata faida inayokuridhisha hapo ndo utaamua mwenyewe uache kazi ufanye mambo yako,au ufanye mambo yako huku unaendelea na kazi
Atakuwa anabahatisha huyu!Anajua nn anachotaka kufanya!??
Kuacha kazi ni swala la kibinafisi. Shida yenu mmeisha aminishwa kwamba no Job no Life.Acha kaz
Uone kazi
Kupata kazi
Usidanganywe na motivational speakers wa kibongo ambao 88% wameajiliwa.
Huo muda mwingine nani anasimamia?Usiache kazi kabla hujajua nini unaenda kufanya mtihani,fanya kazi huku unashughulikia huo ujasiriamali muda ambao sio wa kazini,ukiona umeanza kupata faida inayokuridhisha hapo ndo utaamua mwenyewe uache kazi ufanye mambo yako,au ufanye mambo yako huku unaendelea na kazi
Atajuta vipi? Dah huwa nafurahi sana, yaani tusha kuwa Brain wash ndoona huko Makazini tunapelekeshwa ila tupo tu tumekomaa kwa sababu tunajua hakuna maisha bila kaziAsipofuata ushauri wako, atajuter...
Hizi ndo news huwa zina Trade, Sikiliza kila mtu anasimama pekee yake.Jamani msiache kazi bila kuwa na kazi.
Nina shemeji yangu aliacha kazi miaka 4 iliyopita kwa kusikiliza haya mambo ya kilimo kinalipa sasa hivi yupo katika hali mbaya sn kimaisha
Kwahiyo hutaki tuseme walioshindwa?!Hizi ndo news huwa zina Trade, Sikiliza kila mtu anasimama pekee yake.
Kwani huko Kazini kuna nini zaidi ya kufa na Tai shingoni?
Huwezi tolea mfano wa mtu mwingine kwa ajili ya mwingine.
Fulani alishindwa ni yeye, anapata shida ni yeye, biashara imemshinda ni yeye.
Yeye hawezi kuwa mwingine,
Hawezi tumika kama rejea.