Landcruser
Senior Member
- Mar 24, 2017
- 179
- 344
Wakuu amani kwenu.
Kama kichwa kinavyojieleza nisaidieni vitu vya msingi ambavyo ni lazima nivifanye mara tu baada ya kununua gari yard.
Karibu sana wataalamu wote akiwemo RRONDO&Mkuu Jr.
Asanteni sana.
Kama kichwa kinavyojieleza nisaidieni vitu vya msingi ambavyo ni lazima nivifanye mara tu baada ya kununua gari yard.
Karibu sana wataalamu wote akiwemo RRONDO&Mkuu Jr.
Asanteni sana.