Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 530
- 1,446
Nimekuwa na shauku ya kuanzisha barbershop, au saloon ya kiume hata ya kike naipenda nikipata msimamizi maana mimi sijui hayo mambo ila naogopa maana mambo ya kuwindana kama tuko paredi hapana.
Saloon ya kiume kuna jamaa ananiambia ni biashara nzuri kama utapata site na kinyozi mzuri sijawahi ifanya, nilikuwa nimejichanga changa hapa niko kama na Tsh 3M siwezi kuanzisha barbershop kwa mtaji huo?
Hata ya kike kama wazo linafaa naweza kupata abc ila nitajaribu lwa hii ya kike maana inaugumu wake yakiume simple kuisimamia hata nikiiga kunyoa sitachukua muda nimeelewa ila ya kike changamoto sana nasikia inalipa mno kuzidi ya kiume.
Maana wanawake wako lazi wale dagaa watoto wao ili hela nyingine akasukie.
Nipeni ushauri juu ya hili kama mada inavyojieleza na kichwa cha habari chajieleza barbershop natakiwa kuwa na mtaji wa kiasi gani sitaki yenye madoido mengi sana ila kwa wazo langu huu mtaji unanifaa au niendelee kujichanga changa.
Location napotaka kufungulia ni Katoro, ndio naona pako na heka heka sana kwenye miji inayokuja kwa kasi kibiashara.
Nakaribisha maoni nasoma comment
Saloon ya kiume kuna jamaa ananiambia ni biashara nzuri kama utapata site na kinyozi mzuri sijawahi ifanya, nilikuwa nimejichanga changa hapa niko kama na Tsh 3M siwezi kuanzisha barbershop kwa mtaji huo?
Hata ya kike kama wazo linafaa naweza kupata abc ila nitajaribu lwa hii ya kike maana inaugumu wake yakiume simple kuisimamia hata nikiiga kunyoa sitachukua muda nimeelewa ila ya kike changamoto sana nasikia inalipa mno kuzidi ya kiume.
Maana wanawake wako lazi wale dagaa watoto wao ili hela nyingine akasukie.
Nipeni ushauri juu ya hili kama mada inavyojieleza na kichwa cha habari chajieleza barbershop natakiwa kuwa na mtaji wa kiasi gani sitaki yenye madoido mengi sana ila kwa wazo langu huu mtaji unanifaa au niendelee kujichanga changa.
Location napotaka kufungulia ni Katoro, ndio naona pako na heka heka sana kwenye miji inayokuja kwa kasi kibiashara.
Nakaribisha maoni nasoma comment