Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wa Bongo au wa Ulaya na USA?
Kwa wa huko majuu wanakula hela ndefu za matangazo. Wa huku black mamba ni mtihani, ila mbele za macho wanaishi maisha ya kutamanisha sana.
Shikamoo Uwoya!!!!
Vipo lakini si kwa namna wanavyotuaminishaKo wao hawana kitu kinacho waingizia ela
Kuna mmoja kila siku alikuwa anakuja hapa gheto kumbembeleza bro ( bro ni bodaboda ) ampeleke Wasafi akajikombe.Ni makapuku tuu ila wanafake sana life..na wengi wao ni kero kubwa kwa kuombaomba na kulia shida
Dau la Irene uwoya ni pesa ngapi ?Kipochi manyoya kwa wanawake
Wanaume sijui
Samahani kama wewe ni wa kiume epuka matumizi ya ko na x badala ya SKo wao wanakula ela za matangazo tu sana sio
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanawake wanauza ule uchumi wa kati,wanaume msingi kiuno
Kweli aisee. Huoni boss wa wasafi kachanganywa na malikia wake mpaka kaimbishwa taarabu. Eti "Litawachoma". Nimependa sana hiyo.Kipochi manyoya kwa wanawake
Wanaume sijui
Samahani kama wewe ni wa kiume epuka matumizi ya ko na x badala ya S
Kwa wenzetu matangazo ni deal mfano Christian Ronaldo kuweka tangazo Insta anakula zaidi ya milion 100 za kibongo na anayeongoza kulipwa ni selena Gomez. Wanaingiza mamilion ya dollar kupitia matangazo kwenye marketing world wanajulikana kama influencers.
Mimi nakazia tu mstari wa kwanza na wa pili maana nimejiskia kichefuchefu, nakala imfikie frenderPH.Samahani kama wewe ni wa kiume epuka matumizi ya ko na x badala ya S
Kwa wenzetu matangazo ni deal mfano Christian Ronaldo kuweka tangazo Insta anakula zaidi ya milion 100 za kibongo na anayeongoza kulipwa ni selena Gomez. Wanaingiza mamilion ya dollar kupitia matangazo kwenye marketing world wanajulikana kama influencers.