jamani wanajukwaa miaka ya nyuma kuna bendi moja ilitoa wimbo wake mmoja ulijulikana kama mambo kwa soksi...dude hilo kwa soksi mwenye nayo nyimbo hiyo au mwenye kujua mashairi yake anitupie hapa....
na hilo dude lilotajwa kwenye huo wimbo ni dude gani
swali moja faida kwa wengi