Mambo mabaya kwenye simu ambayo ulimwengu wa Tech unalazimisha tuone ni ya kawaida

Poa mkuu hiyo ya watt 15 inaweza jaza simu ya mah 5000 ndani ya saa moja?
Hapana haiwezi


Hio review ya A52,

Kwa 15W inachukua Takriban 2 hrs.
 
Yani uhame brand ya simu unayoipenda kisa chaja? Sidhani
Labda kama unazitaka sana Fast charger za Mchina, dakika 9 tu simu imeshajaa [emoji3][emoji3]
Mchina kwenye fast charge hana mpinzani pia anakupa chaji, headphone, cover na glass protector sasa hapo anaachaje kuuza? Shida ya mchina ni software yake tu ndo kapitwa na wengine
 
Mchina kwenye fast charge hana mpinzani pia anakupa chaji, headphone, cover na glass protector sasa hapo anaachaje kuuza? Shida ya mchina ni software yake tu ndo kapitwa na wengine
Shida ya software za Mchina ni bloatware tu, tena zinafutika. Ukishafuta bloatware umemaliza kazi
Anakupa features kibao mpaka unajiuliza umekosa nini
 
Msamehe huyo kenge.
 
Shida ya software za Mchina ni bloatware tu, tena zinafutika. Ukishafuta bloatware umemaliza kazi
Anakupa features kibao mpaka unajiuliza umekosa nini
Hazifutiki mzee mpaka u root simu, pia xiomi zinakula bando kupita kawaida shida nn?
 
Hazifutiki mzee mpaka u root simu, pia xiomi zinakula bando kupita kawaida shida nn?
Sasahivi zinafutika.
Umeona MIUI 14 inafuta bloatware zote kasoro apps 8 tu za muhimu. Nyingine zinafutika, maybe MIUI 11 ndio ilikuwa na apps nyingi zisizofutika, hata hivyo Redmi 9 imeshapata MIUI 14

Usipowasha Data saver MB zako lazima ziende. Kutokana na bloatware nyingi ambazo hujazifuta ukiwasha data zile apps zinatumia MB zako in the background
Unaweza kublock pia zisiaccess MB zako
Solution ni kuwasha Data saver
 
Mchina kwenye fast charge hana mpinzani pia anakupa chaji, headphone, cover na glass protector sasa hapo anaachaje kuuza? Shida ya mchina ni software yake tu ndo kapitwa na wengine
Hao wachina fast charger kali wanaotoa ni wachache tu, hizi lowend labda ila hizo fast charging nzuri unanunua separate na bei ndefu hadi laki mpaka laki na nusu.

Nimetest s20 na 15W ya Samsung pamoja na 27W ya Xiaomi zote zimedunda hakuna inayopeleka zaidi ya 10W,

Pia nimeangalia A24 inasuport Pd+pps charger, ina maana hata Quickcharge kwako haikufai (tech ya Qualcomm).

Tafuta Samsung 25W kama utapata, alternative tafuta pd charger yoyote, na Max kujaza simu yako ni kama saa 1 na nusu, sema kutunza battery lako set ijae kwenye asilimia 85 hivi, utapunguza muda wa kuchaji na pia utatunza betri.
 
Ila naona Wachina wanajitahidi ku include charger kwenye box hata kwenye simu zao premium, charger za 120W, 100W, 90W, 165W na 210W unazikuta kwenye box kabisa

Ile Redmi Note 12 Discovery Edition nimeona inakuja na 210W fast charger (9 min charging time). Motorola, Oppo, Vivo, Realme, One Plus na Xiaomi naona wanaweka sana charger kwenye box



Halafu ili kupata original charger za flagship za Samsung unapaswa uagize wapi, maana naona AliExpress zina bei rahisi kuliko bei wanaotaja phone reviewers, maybe ni fake au?
 
Hapo tatizo linalonihusu ni namba 10 la 3.5mm audio jack tu, mengine yote hayanihusu kwenye simu yangu.
 
Nashukuru kiongozi, mtandaoni naona pd charger za 20w kwe bei ya 20k zitafaa kweli? Au ndo yaleyale nilinunua fast charge ya 15k na simu usiku kucha haijai iko slow mnoo
 
Hio charger feki, toka lini charger ya 45W ikawa travel adapter.
 
Hio charger feki, toka lini charger ya 45W ikawa travel adapter.
Duh... Kwani kwenye kuchagua charger unapaswa kuangalia nini ili kujua ni original
Mfano umenunua Sony Xperia 1 V au Samsung Galaxy S23 Ultra then charger unatafuta mwenyewe

Hapa sielewi wakati wa kutafuta charger ni kitu gani kitakuongoza ili kupata perfect charger kwa simu yako
 
Nashukuru kiongozi, mtandaoni naona pd charger za 20w kwe bei ya 20k zitafaa kweli? Au ndo yaleyale nilinunua fast charge ya 15k na simu usiku kucha haijai iko slow mnoo
20W kwa hio Samsung probably itachaji 10W ama 15W sababu ili utumie 20W effectively inabidi iwe 5V 4A ambazo mara nyingi simu za BBK ndio zinakua hivyo.

Samsung fast charging yao ni 5V x 3A (15W) na 9Vx2.77A (25W)

To be sure mkuu tafuta tu 25W ya Samung, otherwise soma kwenye charger kama hivyo nilivyoandika vipo.

Pia kuna hiki kitu kinaitwa PD-PPS (power delivery programable power supply) hizi ni charger ambazo zina akili na zinawasiliana na simu kupeleka volt na amps zozote zile, kifupi haziwi fixed, ukipata charger yenye label hio pia itakuwa fresh kwa simu yako
 
Njia ya uhakika mkuu ni uwe na usb meter ya kupima amps na voltage, zipo aliexpress 25,000-50,000.

Alternative utumie software kama Ampere ama zifananiazo hizi ni apps zipo playstore, sema naona Ampere kama haisomi vizuri latest charger ila still itasaidia kujua charger si kimeo kabisa. Charger kimeo inachaji simu amp moja kushuka.

Njia hizo mbili zinakusaidia ukienda dukani physically, kama unanunua online inabidi ununue Official kwenye Duka la kampuni husika ama utumie maduka makubwa ya Online ambayo yanauza yenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…