Mambo mabaya kwenye utamaduni wa Wasukuma

Mambo mabaya kwenye utamaduni wa Wasukuma

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Tuwe macho na hii kitu ya uchifu. Uchifu kwa makabila mengi uliambatana na mamlaka juu ya ardhi na mara nyingi uliambatana na umwinyi.

Tuliondoa uchifu ili kuweze kuthibiti fulsa ziweze kupatikana kwa wote na kuimarisha demokrasia.

Uchifu pia uliambatana na baadhi ya mila mbaya za kunyanyasa wanawake na makundi fulani kwenye jamii. Utulivu ulikuepo kwa kua kila mtu alitii mamlaka ya chief japo hali ni kandamizi kwa baadhi ya mambo.

Kwa upande wa wasukuma hadi leo uchifu/ utemi unalinda imani za kishirikina na imani zinazokinzana na maendeleo. Waganga wa kienyeji usukumani ni utapeli mtupu.

Karibu uganga wote wa kienyeji ni chonganishishi. Ukiwapa fulsa waganga wa kienyeji kwa kisingizio cha uchifu watapata sapoti kisaikolojia.

Tutaona mauaji wa wazee mauaji ya albino na maovu tele yaliyopungua kwa kiasi kikubwa yakirejea.

Hii kitu ya uchifu tukae nayo mbali kabisa. Badala yake tufanye mambo ya kisayansi kuendeleza jamii. Utamaduni tuendelee kuulinda lakini sio kupitia machifu na watemi kama wale wa usukumani.

Wapinga maendeleo wapo kazini kupitia kila kona. Samia awe macho ili tusianzishe mambo ya kukwamisha maendeleo na umoja wa kitaifa ambao kwa sasa uko imara
 
Tuwe macho na hii kitu ya uchifu. Uchifu kwa makabila mengi uliambatana na mamlaka juu ya ardhi na mara nyingi uliambatana na umwinyi.

Tuliondoa uchifu ili kuweze kuthibiti fulsa ziweze kupatikana kwa wote na kuimarisha demokrasia.

Uchifu pia uliambatana na baadhi ya mila mbaya za kunyanyasa wanawake na makundi fulani kwenye jamii. Utulivu ulikuepo kwa kua kila mtu alitii mamlaka ya chief japo hali ni kandamizi kwa baadhi ya mambo.

Kwa upande wa wasukuma hadi leo uchifu/ utemi unalinda imani za kishirikina na imani zinazokinzana na maendeleo. Waganga wa kienyeji usukumani ni utapeli mtupu.

Karibu uganga wote wa kienyeji ni chonganishishi. Ukiwapa fulsa waganga wa kienyeji kwa kisingizio cha uchifu watapata sapoti kisaikolojia.

Tutaona mauaji wa wazee mauaji ya albino na maovu tele yaliyopungua kwa kiasi kikubwa yakirejea.

Hii kitu ya uchifu tukae nayo mbali kabisa. Badala yake tufanye mambo ya kisayansi kuendeleza jamii. Utamaduni tuendelee kuulinda lakini sio kupitia machifu na watemi kama wale wa usukumani.

Wapinga maendeleo wapo kazini kupitia kila kona. Samia awe macho ili tusianzishe mambo ya kukwamisha maendeleo na umoja wa kitaifa ambao kwa sasa uko imara
Content ya bandiko lako ni tofauti sana na heading, una chuki na wasukuma?
 
Tuwe macho na hii kitu ya uchifu. Uchifu kwa makabila mengi uliambatana na mamlaka juu ya ardhi na mara nyingi uliambatana na umwinyi.

Tuliondoa uchifu ili kuweze kuthibiti fulsa ziweze kupatikana kwa wote na kuimarisha demokrasia.

Uchifu pia uliambatana na baadhi ya mila mbaya za kunyanyasa wanawake na makundi fulani kwenye jamii. Utulivu ulikuepo kwa kua kila mtu alitii mamlaka ya chief japo hali ni kandamizi kwa baadhi ya mambo.

Kwa upande wa wasukuma hadi leo uchifu/ utemi unalinda imani za kishirikina na imani zinazokinzana na maendeleo. Waganga wa kienyeji usukumani ni utapeli mtupu.

Karibu uganga wote wa kienyeji ni chonganishishi. Ukiwapa fulsa waganga wa kienyeji kwa kisingizio cha uchifu watapata sapoti kisaikolojia.

Tutaona mauaji wa wazee mauaji ya albino na maovu tele yaliyopungua kwa kiasi kikubwa yakirejea.

Hii kitu ya uchifu tukae nayo mbali kabisa. Badala yake tufanye mambo ya kisayansi kuendeleza jamii. Utamaduni tuendelee kuulinda lakini sio kupitia machifu na watemi kama wale wa usukumani.

Wapinga maendeleo wapo kazini kupitia kila kona. Samia awe macho ili tusianzishe mambo ya kukwamisha maendeleo na umoja wa kitaifa ambao kwa sasa uko imara

Nyerere aliukataa uchifu Tanzania sababu wengi hawakutaka umoja. Walipigania kila chiefdom iwe nchi inayojitegemea. Kilichomuogopesha zaidi ni jaribio la Katanga kule DRC Congo kujitenga.
Kina Choef Makwaia na Chief Marealle ilibidi waanze kuonja maono mapya ya kuijenga Tanganyika kwa serikali kukataa kuendelea kuwalipa sababu wao ni machief.
Hawa sio asset ya kisiasa. Wanaweza wakaja kusumbua sana kuutunza umoja na mshikamano wetu kama wataendekezwa. Nahisi wengi wanawapenda sababu ya kuamini katika ndumba zao. Ila tuwe makini. Tusije kuisambaratisha nchi yetu sababu ya mambo ambayo hayana tija. Ingekuwa mimi nashauri, ningesema waendelee kukaa hivyo hivyo...sio rasmi na hawana nguvu zozote rasmi. Tusije kuunda system zinazokinzana
 
Tuwe macho na hii kitu ya uchifu. Uchifu kwa makabila mengi uliambatana na mamlaka juu ya ardhi na mara nyingi uliambatana na umwinyi.

Tuliondoa uchifu ili kuweze kuthibiti fulsa ziweze kupatikana kwa wote na kuimarisha demokrasia.

Uchifu pia uliambatana na baadhi ya mila mbaya za kunyanyasa wanawake na makundi fulani kwenye jamii. Utulivu ulikuepo kwa kua kila mtu alitii mamlaka ya chief japo hali ni kandamizi kwa baadhi ya mambo.

Kwa upande wa wasukuma hadi leo uchifu/ utemi unalinda imani za kishirikina na imani zinazokinzana na maendeleo. Waganga wa kienyeji usukumani ni utapeli mtupu.

Karibu uganga wote wa kienyeji ni chonganishishi. Ukiwapa fulsa waganga wa kienyeji kwa kisingizio cha uchifu watapata sapoti kisaikolojia.

Tutaona mauaji wa wazee mauaji ya albino na maovu tele yaliyopungua kwa kiasi kikubwa yakirejea.

Hii kitu ya uchifu tukae nayo mbali kabisa. Badala yake tufanye mambo ya kisayansi kuendeleza jamii. Utamaduni tuendelee kuulinda lakini sio kupitia machifu na watemi kama wale wa usukumani.

Wapinga maendeleo wapo kazini kupitia kila kona. Samia awe macho ili tusianzishe mambo ya kukwamisha maendeleo na umoja wa kitaifa ambao kwa sasa uko imara
Manangwa ndipo waliposheleweshana kupata akili natani anyway
 
Yale-yale ya kuzikana kwenye ngozi ya kondoo ukiwa umeshikishwa mkuki na umekalishwa badala ya kulazwa.
 
Hayo mambo ya machifu yanaleta utengano kwa taifa..
Kule uganda chief kabaka alimsumbua sana Milton obote, ndio maana uhuru ulichelewa. Kabaka alitaka buganda iwe na kutambulika kama state ya kujitegemea..!

Huku pia wachaga walituchelewesha sana walitaka moshi iwe nchi ya kujitegemea chini ya yule jamaa wao Joseph merinyo.

Na wavaa makobazi nao hawakuwa mbali nao walitaka uhuru uchelewe mpaka pale watakapopata haki kuzidi wakristo..

Tuachane no haya mambo yanatugawa, machifu waendelee kutambulika kwenye koo zao tu..
 
Tuwe macho na hii kitu ya uchifu. Uchifu kwa makabila mengi uliambatana na mamlaka juu ya ardhi na mara nyingi uliambatana na umwinyi.

Tuliondoa uchifu ili kuweze kuthibiti fulsa ziweze kupatikana kwa wote na kuimarisha demokrasia.

Uchifu pia uliambatana na baadhi ya mila mbaya za kunyanyasa wanawake na makundi fulani kwenye jamii. Utulivu ulikuepo kwa kua kila mtu alitii mamlaka ya chief japo hali ni kandamizi kwa baadhi ya mambo.

Kwa upande wa wasukuma hadi leo uchifu/ utemi unalinda imani za kishirikina na imani zinazokinzana na maendeleo. Waganga wa kienyeji usukumani ni utapeli mtupu.

Karibu uganga wote wa kienyeji ni chonganishishi. Ukiwapa fulsa waganga wa kienyeji kwa kisingizio cha uchifu watapata sapoti kisaikolojia.

Tutaona mauaji wa wazee mauaji ya albino na maovu tele yaliyopungua kwa kiasi kikubwa yakirejea.

Hii kitu ya uchifu tukae nayo mbali kabisa. Badala yake tufanye mambo ya kisayansi kuendeleza jamii. Utamaduni tuendelee kuulinda lakini sio kupitia machifu na watemi kama wale wa usukumani.

Wapinga maendeleo wapo kazini kupitia kila kona. Samia awe macho ili tusianzishe mambo ya kukwamisha maendeleo na umoja wa kitaifa ambao kwa sasa uko imara
Kwani inakuhusu nini?
 
Mleta mada alilenga mambo mabaya ya masukuma au kuhalalisha uchafu?
 
Back
Top Bottom