Mambo Makuu Yatakayomshangaza Sana Babu Seya

Dada wa taifa sio Lady jay dee ni Mange
 
Reactions: Lee
Kuikuta CCM bado ipo madarakani...THRILLER [emoji32][emoji32][emoji32]kuliko vyote
 
Atashangaa pia wewe kupost huu upuuzi
 
Baba seya mgogoro wake unaanzia huko kwao Congo, wala hakuna uhusiano na suala la ubakaji

kwa lugha nyingine jamaa alikuwa political prisoner, hizo nyingine ni porojo tu.

Issue ya kulawiti ilikuwa ni kum blackmail tu.
Mkuu mwaga nondo
 
1: atakuta kuna mtu anaitwa bashite anakimbiza jiji la dar hatari

2: wabunge na madiwani wakuhama na kuhamia idadi imekua kubwa

3: vitu ambavyo vipo bandarini lakini havina mwenyewe ila serikali inataka kununua

4: bila kusahau ujenzi unaoendelea wa fly over ,ila jengo la tanesco ataliwahi kuliona kabla halijashushwa[emoji3]
 
Mkuu mwaga nondo
Mkuu

Ieleweke kwamba Babu seya na wanawe ni wafungwa wa kisiasa, mengine yalikuwa propaganda tu za kuwaweka behind bars.

Siku moja ukija kujua yule mfalme wa nchi X aliyemuachia kiti huyu wa sasa asili yake ni kongo, nahisi utachanganyikiwa zaidi.
 
Atashangaa kukuta umaskini umeongezeka nchini na maisha uraiani ni magumu kuliko jela
 
Unanifanya nicome
 
Bado tuko na adui wa nchii (kijani), na Bashite ndiye mkuu wa wakuu wa mikoa
 
Atashangaa kukuta nyumba yake ishapitiwa na bomoa bomoa zamaani
 
ATASHANGAA KUONA HAKUNA BUNGE LIVED.

Timu ya azam

Na juice za vijoti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…