KingOligarchy
Senior Member
- Sep 28, 2013
- 139
- 375
Udhamini (scholarships) ni zawadi hivyo mtu akipata hana jukumu la kuilipa , Duniani kuna aina mbalimbali za udhamini zaidi ya maelfu kwa maelfu , zikitolewa kwa vigezo mbalimbali kama vile Watu binafsi , Mashule , Dini , Mashirika ya kijamii , Makampuni n.k
Kabla ya kutafuta udhamini wowote kuna maswali makuu matano ambayo unapaswa kuyatatua majibu yake , Maswali yenyewe na majibu yake ni kama ifuatavyo:
Ø KUNA AINA NGAPI ZA UDHAMINI ZINAPATIKANA
Kunaudhamini wa vyuo vikuu unaotolewa kulingana na SIFA (Merit based), Mtu anaweza kudhaminiwa endapo pale atafikia au kuvuka sifa zinazotakiwa ili kupokea udhamini huo kutoka kwa Mdhamini. Udhamini huo unaweza kutumia vigezo vya ufaulu wa elimu au pia kutumia ufaulu a elimu na kipaji cha muombaji (Mfano. mcheza mpira), jinsia n.k na aina nyingine ni ule unaoangalia vigezo wa uhitaji wa kifedha (Financial Need)
Aina nyingi za udhamini hulenga makundi mbalimbali katika jamii kama vile udhamini wa wanawake au udhamini wa wanafunzi waliomaliza sekondari (High School Seniors) na nyinginezo zikiangalia eneo na aina ya kazi ya wazazi wanapofanya kazi mfano ; Wanajeshi
Udhamini unaweza kuwa wa aina mbalimbali , unaweza ukadhaminiwa kulipiwa kila kitu kitachohusisha elimu kama vile malazi , Ada , chakula , insurance na pia usafiri wa ndege wa kwenda na kurudi na kilinda mfuko au unaweza ukapewa udhamini wa pesa kidogo ili kupunguza ukali wa maisha , Lakini kwa kuangalia njia zote ni bora kuomba udhamini sababu itapunguza gharama ya masomo yako.
Ø NI LINI MUDA MUAFAKA WA KUOMBA UDHAMINI?
Jambo hili mara nyingi hutegemea na siku ya kuomba udhamini , Ni vizuri kuanza kutafuta udhamini mwaka mmoja kabla ya chuo kuanza , kwahiyo kama upo chuo ni muda mzuri wa kuanza kujiandaa , kuchagua na kuomba udhamini .
Ø JINSI GANI YA KUOMBA UDHAMINI?
Kila udhamini una matakwa yake , Hivyo basi kupitia tovuti yenye udhamin husika maelezo yote yatapatikana namna na jinsi ya kuomba udhmini husika . Unatakiwa kusoma na kuyajaza maombi yako vizuri , na kasha kuyatuma kabla ya siku ya mwisho
Ø JINSI YA KUPATA PESA ZILIZOTOLEWA NA MDHAMINI
Inategemea na udhamini. Pesa inaweza ikatumwa kwenda chuo ambacho ulichoombea inaweza ikawa ada ,ama deni ambalo hujamaliza kulilipa na hela zilizobakia kukabidhiwa kwako na chuo au unaweza ukatumiwa hela kwa mumo wa cheki. Mdhamini anatakiwa kutoa taarifa ya nini utegemee baada yaw ewe kuchaguliwa kufaidika na udhamini, endapo hujapata taarifa hizi hakikisha unaulizia mapema
JE UNA GPA NZURI (3.8/5) UNATAKA KUPATA SCHOLARSHIP?? WASILIANA NA MIMI KUPITIA brightonross@live.com NIKUSAIDIE BUREEEEEEEE *NO STRINGS ATTACHED
Kabla ya kutafuta udhamini wowote kuna maswali makuu matano ambayo unapaswa kuyatatua majibu yake , Maswali yenyewe na majibu yake ni kama ifuatavyo:
Ø KUNA AINA NGAPI ZA UDHAMINI ZINAPATIKANA
Kunaudhamini wa vyuo vikuu unaotolewa kulingana na SIFA (Merit based), Mtu anaweza kudhaminiwa endapo pale atafikia au kuvuka sifa zinazotakiwa ili kupokea udhamini huo kutoka kwa Mdhamini. Udhamini huo unaweza kutumia vigezo vya ufaulu wa elimu au pia kutumia ufaulu a elimu na kipaji cha muombaji (Mfano. mcheza mpira), jinsia n.k na aina nyingine ni ule unaoangalia vigezo wa uhitaji wa kifedha (Financial Need)
Aina nyingi za udhamini hulenga makundi mbalimbali katika jamii kama vile udhamini wa wanawake au udhamini wa wanafunzi waliomaliza sekondari (High School Seniors) na nyinginezo zikiangalia eneo na aina ya kazi ya wazazi wanapofanya kazi mfano ; Wanajeshi
Udhamini unaweza kuwa wa aina mbalimbali , unaweza ukadhaminiwa kulipiwa kila kitu kitachohusisha elimu kama vile malazi , Ada , chakula , insurance na pia usafiri wa ndege wa kwenda na kurudi na kilinda mfuko au unaweza ukapewa udhamini wa pesa kidogo ili kupunguza ukali wa maisha , Lakini kwa kuangalia njia zote ni bora kuomba udhamini sababu itapunguza gharama ya masomo yako.
Ø NI LINI MUDA MUAFAKA WA KUOMBA UDHAMINI?
Jambo hili mara nyingi hutegemea na siku ya kuomba udhamini , Ni vizuri kuanza kutafuta udhamini mwaka mmoja kabla ya chuo kuanza , kwahiyo kama upo chuo ni muda mzuri wa kuanza kujiandaa , kuchagua na kuomba udhamini .
Ø JINSI GANI YA KUOMBA UDHAMINI?
Kila udhamini una matakwa yake , Hivyo basi kupitia tovuti yenye udhamin husika maelezo yote yatapatikana namna na jinsi ya kuomba udhmini husika . Unatakiwa kusoma na kuyajaza maombi yako vizuri , na kasha kuyatuma kabla ya siku ya mwisho
Ø JINSI YA KUPATA PESA ZILIZOTOLEWA NA MDHAMINI
Inategemea na udhamini. Pesa inaweza ikatumwa kwenda chuo ambacho ulichoombea inaweza ikawa ada ,ama deni ambalo hujamaliza kulilipa na hela zilizobakia kukabidhiwa kwako na chuo au unaweza ukatumiwa hela kwa mumo wa cheki. Mdhamini anatakiwa kutoa taarifa ya nini utegemee baada yaw ewe kuchaguliwa kufaidika na udhamini, endapo hujapata taarifa hizi hakikisha unaulizia mapema
JE UNA GPA NZURI (3.8/5) UNATAKA KUPATA SCHOLARSHIP?? WASILIANA NA MIMI KUPITIA brightonross@live.com NIKUSAIDIE BUREEEEEEEE *NO STRINGS ATTACHED