OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Sisiemu ilishaacha kuwa chama cha siasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba ibirisi mwenyewe anamuogopa jamaa. 😂 😂😂😂😂
Mkuu si tulikubaliana kuwa Chadema imekufa au? Kwani mifano yoyote ya Fisiemu lazima mkachungulie kwa Chama kilichokufa kuwa wao wanafanyaje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata Chadema wanayo hiyo kitu. Tofauti ya CCM na Chadema ni kuwa CCM return ni kubwa ( unaweza lamba uteuzi) wakati Chadema unaishia kupostiwa kwenye mitandao. Zengwe na fitina za Chadema anazijua vzuri Zitto