kuwa na tume huru ya uchaguzi yaani wasimamizi wasiteuliwe na kiongozi yoyote wasimamizi watume maombi kama wanavyotumia kusimamia daftari la wapiga kura.
4.huru wa katika kuripoti vyombo vya habari za uhakika za sio tetesi kama za mpira.
5.kuwa na wahusika wa vyama tofauti katika kuhesabu na kutangaza matokeo na sio kuwatenga .