ally ngomanzito
Member
- Oct 7, 2015
- 86
- 108
Mgombea ubunge wa jimbo la ubungo kupitia Chama Cha mapinduzi Profesa Kitila Mkumbo amezungumzia Mambo matano muhimu atakayoanza kuyashughulikia punde tu akiapishwa kuwa mbunge.
Profesa Kitila Mkumbo amesema
"Nina usongo na kuwa mbunge. Nikiapishwa tu naanza kupambana na kero za wana Ubungo haraka iwezekanavyo"
1. Nitaanza na barabara za mitaani. Rais ameshaahidi kutujengea na kazi yangu itakuwa kufuatilia
2. Tutashughulika na mafuriko ya Mto China. Tutajenga kingo imara za mto China na wananchi wataepuka kero za mafuriko ya mara kwa mara
3. Kuboresha Kituo cha Afya cha Makurumla,Kituo hiko kitafanya kazi kwa muda wa saa 24.
Utaratibu wa kuzuia maiti hospitalini kwa sababu ya kudaiwa utakomeshwa. Rais Magufuli ameshatoa uamuzi. Msingi wa kwanza wa CCM ni utu. Hili halitaendelea
Profesa Kitila Mkumbo amesema
"Nina usongo na kuwa mbunge. Nikiapishwa tu naanza kupambana na kero za wana Ubungo haraka iwezekanavyo"
1. Nitaanza na barabara za mitaani. Rais ameshaahidi kutujengea na kazi yangu itakuwa kufuatilia
2. Tutashughulika na mafuriko ya Mto China. Tutajenga kingo imara za mto China na wananchi wataepuka kero za mafuriko ya mara kwa mara
3. Kuboresha Kituo cha Afya cha Makurumla,Kituo hiko kitafanya kazi kwa muda wa saa 24.
Utaratibu wa kuzuia maiti hospitalini kwa sababu ya kudaiwa utakomeshwa. Rais Magufuli ameshatoa uamuzi. Msingi wa kwanza wa CCM ni utu. Hili halitaendelea