Matendo Andrew
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 748
- 367
Ukifuatilia wenye mafanikio makubwa Sana hapa nchini ni watu wa kawaida Sana kielimu.
Hii unamaanisha kwamba tangu siku walipogundua kwamba hawana elimu kubwa waliamua kujisemea moyoni kwana natakiwa kua na vitu vikuu vitatu:
UWAJIBIKAJI
UAMINIFU
NIDHAMU YA FEDHA
Haya ndio Mambo tunayo wazidi wasomi. Ukitaka kuamini fanya utafiti wa aina ya maisha anayoishi msomi mwenye hela na asie msomi mwenye hela utajua ninacho maanisha na Kama hutaelewa comment hapo chini ili niendelee kukushibisha kwenye comment.
Naitwa
Matendo Andrew mgeni
Rais wa wana darasa la saba Tanzania.
Hii unamaanisha kwamba tangu siku walipogundua kwamba hawana elimu kubwa waliamua kujisemea moyoni kwana natakiwa kua na vitu vikuu vitatu:
UWAJIBIKAJI
UAMINIFU
NIDHAMU YA FEDHA
Haya ndio Mambo tunayo wazidi wasomi. Ukitaka kuamini fanya utafiti wa aina ya maisha anayoishi msomi mwenye hela na asie msomi mwenye hela utajua ninacho maanisha na Kama hutaelewa comment hapo chini ili niendelee kukushibisha kwenye comment.
Naitwa
Matendo Andrew mgeni
Rais wa wana darasa la saba Tanzania.