Marathon day
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 643
- 1,016
Kenya kumechangamka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za kutumia siku nzimaMB25.1
Afu unakuta hamna Cha maanaZa kutumia siku nzima
😂😂ebu nisome commentsAfu unakuta hamna Cha maana
Mkuu simu yangu haijawahi kosa bando hata dkk 1, huwa sizimi data 24/7/365Meku MB 25 zinakutoa roho? Usilale
Amka kafanye kazi
Walianza kama mashujaa lkn huenda kukawa na umwagaji mkubwa wa damuKenya inapoelekea ni pabaya.
Uvivu kivip acha kutupanga chiefMkuu simu yangu haijawahi kosa bando hata dkk 1, huwa sizimi data 24/7/365
Bas mtu akiweka video naonaga uvivu kuangalia
Video za hvo nikifungua nakuta nishaidownloadUvivu kivip acha kutupanga chief
Mwamba hukosi majibu 🤣🤣Video za hvo nikifungua nakuta nishaidownload
Haya makanisa na misikiti yamekuwa vikundi na mapori ya kufichia waharifu.Kila mtu aombewe na mama yake 😆
Hawataki kuombewa kwani hawana mapepo
WellSafi Kabisa, Kanisa ni adui kwa utawala bora.
Hatukuchagua watu waje kutuomnea sisi.
Nikiwa na mzuka wa videoz nazama Insta nakua kama nasearch jina hv nakuta za kumwaga naanza kuangalia miuno wa watoto wa elfu 2Mwamba hukosi majibu 🤣🤣