Mambo moto

Mambo moto

Anyways msio na bando iko hv,gen z anasema wanajeshi ni rafiki zao kwakuwa wanakuwa wote kwenye maandamano,na wakiwa na wanajeshi polisi hawapigi mabomu ya machozi

Wabunge wakorofu wametenda haki kwa kuharibu nyumba zao

Sasa wana maadui watatu,kwanza Ruto,pili polisi na tatu viongozi wa kanisa kwakuwa wameenda ikulu

Kuhusu polisi,wanasema hivi ukijua polosi wanakaa wapi washituane wakawafanyizie
 
Back
Top Bottom