Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara gani kwa mfano? Kuna biashara hazina mchakato....ni wewe tu kuoga na kuanza.Hivi kweli hawa wahamasishaji wanataka mambo yote katika kuanza na kufanikisha Biashara?
Naamana yote? Mimi niache kwanza nijifunze kwako!
Karibu!
UthubutuHivi kweli hawa wahamasishaji wanataka mambo yote katika kuanza na kufanikisha Biashara?
Naamana yote? Mimi niache kwanza nijifunze kwako!
Karibu!
Biashara yoyote ambayo itamfanya muhusika kukidhi anayahitaji! Es! Ni kweli ni hayo tunayasemeshwa na watalaamu na kwenye Vitabu?Biashara gani kwa mfano? Kuna biashara hazina mchakato....ni wewe tu kuoga na kuanza.
Uthubutu
Ko.!uthubutu! Unamaanisha uthubutu TU!Uthubutu
9!Wani sio kwa mafumbo tena! Es anasema ,"uthubutu"nauli ni uthubutu TU?
Unaoga una vaa una enda kuuza mihogo 😄Biashara gani kwa mfano? Kuna biashara hazina mchakato....ni wewe tu kuoga na kuanza.
Kwenye vitabu kuna mengi, na kuna machache ambayo hayapo kwenye vitabu na hakuna mtu atakuambia 😹Biashara yoyote ambayo itamfanya muhusika kukidhi anayahitaji! Es! Ni kweli ni hayo tunayasemeshwa na watalaamu na kwenye Vitabu?
Ndiyo uthubutuKo.!uthubutu! Unamaanisha uthubutu TU!
Unaweza Sema wazi zaidi,?Ndiyo uthubutu
Imeanza Sasa kuongea! Sema Sasa!hakuna Siri!ukitaka uhondo wa ngoma lazima uongie kucheza
Unataka nikuaminishe ushirikina? Naona iman yako ndiko inakoelekeaUnaweza Sema wazi zaidi,?
Lb hapa uchawi! Unauanalaizi vipi?Fanya SWOT ANALYSIS
Strength...Je unamtaji wa kutosha.
Weakness......udhaifu wako ni upi....ufanyie kazi
Opportunity......ni fulsa Gani zipo zinakuzunguka ....mfano bidhaa zinazoweza uzika fasta
Threats.....tambua changamoto zilizopo before kuingia field...mfano competition, uchawi [emoji23][emoji23]
Labani mtaalam ameutaja katika SWOT analisisi!Unataka nikuaminishe ushirikina? Naona iman yako ndiko inakoelekea
Biashara ni uthubutu ukipata wazo usijiulize mara mbili tekeleza hapo hapo
Unaoga maji ya baridi au ya moto au ya chumvi au ya mvua au ya bwawaUnaoga una vaa una enda kuuza mihogo 😄