LOVINTAH GYM
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 459
- 653
Good Luck
Hawa ndio wale watu ambao hushinda Biko, Jackpot, kubahatika kupata scholarship na vile vitu ambavyo kwa nguvu ya kawaida ni ngumu kuamini kuwa mtu angefanikiwa kupata hicho kitu.
Kuwa na kipaji pia inaambatana na kuwa na bahati njema maana si kila mtu amebahatika kuwa na kipaji.
Pia hata kuzaliwa kwenye familia iliyobarikiwa kifedha, status nzuri ya maisha nayo ni bahati.
Beauty
Hapa ni uzuri wa aina zote, uzuri wa sura, uzuri wa maumbile, uzuri wa tabia, uzuri atika jambo fulani utakusaidia wewe kufungua milango ambayo wengine watashindwa ifikia.
Mfano, uzuri wa sura husaidia mtu kupata kazi kama za kuwa mtangazaji katika television, uzuri wa sauti humsaidia mtu kupata kazi katika utangazaji wa radio ama kuwa customer care, uzuri wa tabia humsaidia mtu kupata kazi kama mwalimu, nk
Intelligece
Hapa nazungumzia akili za darasani, maisha, ufundi, utundu wa kimaendeleo.
Ukiwa na akili za darasani ni rahisi kuanza kupata kazi kama mwalimu wa tuition hata kabla hujamaliza shule, ni rahisi kuwa mwandishi wa vitabu.
Ukiwa na akili za maisha hii itakusaidia sana kuweza kuwa mfanya biashara bora bila hata kutumia elimu ya darasani.
Ukiwa na akili za ufundi (kutumia viungo vyako) hii itakusaidia kuwa fundi bora na kuweza kuishi vizuri na kujipatia kipato.
Ukiwa mtundu, hii itakusaidia pia kufika mbali, mfano kuna watu wamebarikiwa na utudu wa kuweza kutengeneza vifaa vya umeme. Kwaio mtu kama huyu akibahatika akapata elimu zaidi na akapata sehemu ambayo itamuendeleza vizuri basi anaweza akafanya mambo makubwa sana.
Hivyo basi, kama Mungu amekujalia kuwa na hivi vitu vyote wewe ni mwenye bahati kubwa sana, kama Mungu amekujalia kimoja wapo pia wewe ni mwenye bahati, na kama unahisi hauna hata kimoja basi tengeneza uzuri wa tabia.
Mwisho kabisa, juhudi ni muhimu sana, unaweza kuwa na bahati, mzuri na unaakili lakin uvivu wako utamfanya kila mtu akuone hufai. Tuombe Mungu atujalie tuwe na vizazi vyenye bahati njema, uzuri na akili. Ameen
Wanasema kwenye maisha ukifika umri wa miaka 20 unatakiwa uanze kujipima.
Je, vitu vyako huwa vinakuja kwa namna gani?
Vinatokea tu kwa kutumia nguvu sana au vinakuja wakati ambapo hutarajii?
Basi ukishapata jibu litakusaidia kutokuwa na stress na anxiety. #beauty #intelligence #lucky #success
Hawa ndio wale watu ambao hushinda Biko, Jackpot, kubahatika kupata scholarship na vile vitu ambavyo kwa nguvu ya kawaida ni ngumu kuamini kuwa mtu angefanikiwa kupata hicho kitu.
Kuwa na kipaji pia inaambatana na kuwa na bahati njema maana si kila mtu amebahatika kuwa na kipaji.
Pia hata kuzaliwa kwenye familia iliyobarikiwa kifedha, status nzuri ya maisha nayo ni bahati.
Beauty
Hapa ni uzuri wa aina zote, uzuri wa sura, uzuri wa maumbile, uzuri wa tabia, uzuri atika jambo fulani utakusaidia wewe kufungua milango ambayo wengine watashindwa ifikia.
Mfano, uzuri wa sura husaidia mtu kupata kazi kama za kuwa mtangazaji katika television, uzuri wa sauti humsaidia mtu kupata kazi katika utangazaji wa radio ama kuwa customer care, uzuri wa tabia humsaidia mtu kupata kazi kama mwalimu, nk
Intelligece
Hapa nazungumzia akili za darasani, maisha, ufundi, utundu wa kimaendeleo.
Ukiwa na akili za darasani ni rahisi kuanza kupata kazi kama mwalimu wa tuition hata kabla hujamaliza shule, ni rahisi kuwa mwandishi wa vitabu.
Ukiwa na akili za maisha hii itakusaidia sana kuweza kuwa mfanya biashara bora bila hata kutumia elimu ya darasani.
Ukiwa na akili za ufundi (kutumia viungo vyako) hii itakusaidia kuwa fundi bora na kuweza kuishi vizuri na kujipatia kipato.
Ukiwa mtundu, hii itakusaidia pia kufika mbali, mfano kuna watu wamebarikiwa na utudu wa kuweza kutengeneza vifaa vya umeme. Kwaio mtu kama huyu akibahatika akapata elimu zaidi na akapata sehemu ambayo itamuendeleza vizuri basi anaweza akafanya mambo makubwa sana.
Hivyo basi, kama Mungu amekujalia kuwa na hivi vitu vyote wewe ni mwenye bahati kubwa sana, kama Mungu amekujalia kimoja wapo pia wewe ni mwenye bahati, na kama unahisi hauna hata kimoja basi tengeneza uzuri wa tabia.
Mwisho kabisa, juhudi ni muhimu sana, unaweza kuwa na bahati, mzuri na unaakili lakin uvivu wako utamfanya kila mtu akuone hufai. Tuombe Mungu atujalie tuwe na vizazi vyenye bahati njema, uzuri na akili. Ameen
Wanasema kwenye maisha ukifika umri wa miaka 20 unatakiwa uanze kujipima.
Je, vitu vyako huwa vinakuja kwa namna gani?
Vinatokea tu kwa kutumia nguvu sana au vinakuja wakati ambapo hutarajii?
Basi ukishapata jibu litakusaidia kutokuwa na stress na anxiety. #beauty #intelligence #lucky #success